Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Siku hizi ni Mlinzi, walishatuma picha ni Mlinzi sikumbuki WA Kampuni ganiKuna kamanda alikuaga Dodoma wa jina Kama Muliro, yule wa kipigo Cha mbwa Koko, siku hizi simsikii kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi ni Mlinzi, walishatuma picha ni Mlinzi sikumbuki WA Kampuni ganiKuna kamanda alikuaga Dodoma wa jina Kama Muliro, yule wa kipigo Cha mbwa Koko, siku hizi simsikii kabisa
Sio kweliMbowe anatudanganya au muriro ndio anatudanganya?, Kama mbowe anatudanganya wanachadema ni wazi amepoteza mwelekeo na hafai.
You can't be serious, kutoka RPC hadi mlinzi wa kulipwa laki tatu?Siku hizi ni Mlinzi, walishatuma picha ni Mlinzi sikumbuki WA Kampuni gani
nakusihi mapema sana,Fujo unazileta wewe
we hesabu tu hakuna andamano lolote january 24Mbowe anatudanganya au muriro ndio anatudanganya?, Kama mbowe anatudanganya wanachadema ni wazi amepoteza mwelekeo na hafai.
Acha kukariri. Kasome Katiba inavyosema, watu hawakurupuki..Ndiyo kuomba kibali kwenyewe huko!
Sio kweli Nini? Hebu tupe clip ya kauli ya muriro kukubali!Sio kweli
Karma kaziniSiku hizi ni Mlinzi, walishatuma picha ni Mlinzi sikumbuki WA Kampuni gani
MmmmmghMwenyekiti yupo kazini kwa kutufanya mazuzu watanzania.
Hili la mandamano lipo organised na chama tawala hata zile harakati za kwenda ubalozi mbali mbali ni kiini macho na hili la MULIRO ni kiini macho, lengo kumpaisha KIZIMKAZI kama ameruhusu kuandamana.
Mwenyekiti bado yupo kwenye payroll
Anaitwa Mroto.Kuna kamanda alikuaga Dodoma wa jina Kama Muliro, yule wa kipigo Cha mbwa Koko, siku hizi simsikii kabisa
Serikali itaruhusu ili kutomkwaza Rais Samia katika ziara yake Vatican na nchi za Ulaya inayotarajiwa hivi karibuni!Mmhh una imani kuwa jeshi la police linaweza kuruhusu maandamano ya cdm?
Mmh! Chawa wa mama mbona una hofu sana?Chochote cha kihalifu endapo kitajitokeza nashauri " Iwe ni mwisho wa maandamano, na katiba iende kuondolewa kifungu kinachoruhusu maandamano" just simply....!
Nguruwe wa ccm ni wapumbavu sana mara ooh miguu itavunjwa wajinga Karisa.Nyumbu hovyo kabisa, jumatano ni siku ya kazi. Ina maana wafanyakazi haya maandamano hayawahusu?
tatizo la watanzania ni hili, people are not serious. Ona wewe sasa unaleta utani kweye mambo serious. Kwni huko uliko sukar ni bei gani? petrol? residentura mbona unaniangusha?Mimi nina tatizo la miguu, naweza kuandamana nikiwa kwenye gari langu/kiti mwendo ama lazima nitembee!!??
Sio maajabu, hii ndio Tanzania mpya!. Tukutane rodini hiyo kesho.Jeshi hilihili la police liruhusu maandamano ya cdm? Mbona itakuwa maajabu ya Dunia?
Hongera jeshi la polisi
Ameandika Mbowe katika ukurasa wake wa mtandao wa X;
"Team yetu ya Chama ikiongozwa na Naibu Katibu Mkuu, Bara Mhe Benson Kigaila imekuwa na kikao na Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum, Dar Es Salaam ACP Jumanne Muliro na timu yake kuhusiana na Maandamano ya Amani yanayopangwa na kuratibiwa na CHADEMA siku ya Jumatano, 24 Januari 2024.
"Makubaliano yamefikiwa kuwa maandamano yaendelee kama yalivyopangwa.
"Nalipongeza Jeshi la Polisi kwa busara hii. Karibuni Watanzania wote, tuandamane kwa Amani."
Pia Soma; Jeshi la Polisi: Hatujakubali au kukataa maandamano, tutawapa majibu tarehe 23