Hivi kwanini hoja za huyu Lissu zisijibiwe?
Utaanza kufa Wewe kabla yake maana ushetani wako hautafanikiwa kamwe kama baba yako alivyompiga risasi 16 lakini sasa kaanza kufariki yeyehuyu ni wa kuuawa tu over tena unaanza kukata kidole Kimoja Kimoja pua sikio na wewe tunakuonya uache mara moja tabia yako ya umbea
acheni kutisha watu enyi walamba viatu wa watawala, huna chochote unachoweza kumfanya Lisu hata angerejea nchini leo!.Na kwa jinsi asivyokuwa na akili timamu anaweza kuamua kuja kweli!
Tupo tunamsubiri; atatukuta!
Na kwa jinsi asivyokuwa na akili timamu anaweza kuamua kuja kweli!
Mungu anamlinda Tundu lisu kama alivyompinda risasi 16 zisiondoe uhai wakeacheni kutisha watu enyi walamba viatu wa watawala, huna chochote unachoweza kumfanya Lisu hata angerejea nchini leo!.
alistahili hata risasi 100Ungekuwa na wewe umepigwa risasi 16 tungekusikiliza.
Watu wenye roho mbaya huko CCM ndiyo wanashabikia mabaya aliyotendewa Tundu lisu hawataki kumwacha Tundu lisu na yeye aseme machungu yakeLast time mlisema akija atapigwa risasi, lkn alikuja na akawachamba vilevile na akasepa bila kufanywa kitu
Wewe ndiyo ulisitahili hizo risasi kwa roho yako mbaya na utakufa mapema kwani mwenye Roho mbaya kama yako kafariki kabla ya aliyepigwa risasi 16alistahili hata risasi 100
CCM wengi waliopo mitandaoni huwa hawajui kujibu hoja bali hujiandikia andikia hovyo hovyo tu pasipo kutafakari kablaJibuni hoja , nimesoma article nzima hakuna dhihaka ule ni upande wa pili wa shilingi usio na sugarcoating
Wewe hapo upigwe risasi 16 unusurike kifo utaabike miaka mitatu hospitalini, uporwe ushindi kwenye uchaguzi, ubambikiwe kesi kibao za uonevu, Utakuja hapa jukwaani kuandika hivi vyako ulivyoleta hapo juu? Jaribu kuwa na ubinadamu kwanza kabla ya kuwa unawaza uteuzi pasipo kutafakari vizuri
CCM ya Hayati haikuwa na uwezo wa kujibu hoja wao walitumia wasiojulikana tu,ni tofauti na CCM ya kikwete mkapa ambao walijitahiti kujibu hoja pasipo kutumia risasi na nguvu zisizo na maanaHuu nao ni uchochezi na uvunjifu wa amani. Mkabilini kwa hoja siyo kwa nguvu. Tatizo ni kuwa hamna uwezo wa kupambana kwa hoja badala yake mnatumia nguvu. Hata kushambuliwa kwake kwa risasi ni matokeo ya kushindwa kuoambana naye na kujibu hoja zake kikamilifu. Mada kama hii ni ushahidi wa kushindwa kujibu hoja badala yake kujiandaa kutumua nguvu. Ujinga!
Walisha zoea manguvu, hoja kujibu kwao ni shida,Hivi kwanini hoja za huyu Lissu zisijibiwe?
Ushahidi ni kitendo cha kuzuia Dua mbalimbali misa za kumuombea na ushahidi mkubwa ni kile kitendo cha kuwakamata watanzania waliovaa tshart zenye picha na maandishi ya kumtakia Lisu kupona haraka, Ushahidi mwingine nenda Ubalozi wa marekani kitengo cha FBI waombe report ya uchunguzi wao watakupa ushahidi wote kuanzia DSM mpaka Dodoma na Dodoma mpaka moro na kisha Dsm na waliompiga risasi wote wanajulikana vizuri , Tundu Akili zake siyo kama jina lake, ana Akili timamu isipokuwa hujamuelewa tu kwani hakuna binadamu atafanyiwa unyama kama ule alafu akae kimya pasipo kulalamika popote.Hayo yote alfanyiwa na nani??? Kwa ushahidi upi??? Halafu anachofanya Sasaivi kinamaidia nini?
Mwambie Tundu muungwana akivuliwa nguo huchutama..... kama hajitambui ajue yuko uchi mwachoni pa watanzania na dunia.
Yaani Tundu akili zake kama jina lake mfyuuuu
msaliti wa nchi adhabu yake ni kifo. Hii ni kanuni ya asili ilitumiwa hata na mitume wa Mungu.Wewe ndiyo ulisitahili hizo risasi kwa roho yako mbaya na utakufa mapema kwani mwenye Roho mbaya kama yako kafariki kabla ya aliyepigwa risasi 16