Mbowe, mkanye Lissu

Mbowe, mkanye Lissu

Hivi kwanini hoja za huyu Lissu zisijibiwe?

Zijibiwe na marehemu akiwa kwenye jeneza?

Haya, watanzania wamemjibu na wataendelea kumjibu
20210325_072832.jpg


Na dunia inaongea sasa.... kibaraka hana nafasi Tanzania
IMG-20210324-WA0088.jpg


Tundu hana utu wala maadili, ukimsikiliza unaweza kujiuliza kama alizaliwa na kulelewa ndani ya nchi hii ukiachilia mambo ya jando na unyago na mafunzo kitanzania

Atuache kwanza tuomboleze mfyuuu
 
Kwani mjango si ni sela yetu kumkabili Ndugu Lisu kwa Maneno,Matendo ya aina zote na hata ikibidi kwa SILAHA za aina zote? na KWA hayo tupo tayari, Eeh!!!! labda unambinu nyingine mpya Zaidi ya hizo? kama zipo tujuze tuzifanyie mazoezi.
Angalizo, Bwana Kabende.Mh, Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa na kulelewa katika njia na maadili ya kumuogopa mwenyezi Mungu (God fear Mother)
Hivyo kudhani kuwa atafanya kazi kuwapendeza baadhi ya watu,futa wazo timiza wajibu wako tuijenge nchi yetu, tusijenge uadui na watu
UKITIMIZA WAJIBU,LISU NAMI TUKATIMIZA WAJIBU MAMA HATA KUWA NA INDA ATATUPA HAKI YETU, AMINA.
 
huyu ni wa kuuawa tu over tena unaanza kukata kidole Kimoja Kimoja pua sikio na wewe tunakuonya uache mara moja tabia yako ya umbea
Utaanza kufa Wewe kabla yake maana ushetani wako hautafanikiwa kamwe kama baba yako alivyompiga risasi 16 lakini sasa kaanza kufariki yeye
 
Wewe hapo upigwe risasi 16 unusurike kifo utaabike miaka mitatu hospitalini, uporwe ushindi kwenye uchaguzi, ubambikiwe kesi kibao za uonevu, Utakuja hapa jukwaani kuandika hivi vyako ulivyoleta hapo juu? Jaribu kuwa na ubinadamu kwanza kabla ya kuwa unawaza uteuzi pasipo kutafakari vizuri
 
acheni kutisha watu enyi walamba viatu wa watawala, huna chochote unachoweza kumfanya Lisu hata angerejea nchini leo!.
Mungu anamlinda Tundu lisu kama alivyompinda risasi 16 zisiondoe uhai wake
 
Last time mlisema akija atapigwa risasi, lkn alikuja na akawachamba vilevile na akasepa bila kufanywa kitu
Watu wenye roho mbaya huko CCM ndiyo wanashabikia mabaya aliyotendewa Tundu lisu hawataki kumwacha Tundu lisu na yeye aseme machungu yake
 
Jibuni hoja , nimesoma article nzima hakuna dhihaka ule ni upande wa pili wa shilingi usio na sugarcoating
CCM wengi waliopo mitandaoni huwa hawajui kujibu hoja bali hujiandikia andikia hovyo hovyo tu pasipo kutafakari kabla
 
Tutamlinda Tundu Lissu kwa gharama yoyote hata ikiwa kuwa magaidi.
 
Unachokiandika hapa kinadharirisha sana Chama Cha Mapinduzi pamoja na Rais wetu mpendwa.

1. Kwamba ninyi ni genge la mumiani.

2. Kwamba ninyi ni chombo " kinachowakabili kwa vitendo" watu wote ambao wanataka kusema vitu ambavyo ninyi hamvijui ama kutaka kusema jambo ambalo ninyi hamtaki lisemwe.

3. Kwamba ninyi ni watu ambao "mnakabili watu kwa vitendo", bila hata kwenda mahakamani.

Rais wangu anelikuwa hai, angeona ni bora "uhuni" wa Tundu ambao ni uhuru wa kutoa mawazo, ni nuru kubwa kwa taifa kuliko "ushetani " unaoonekana kwenye macho yako maana genge lolote la namna hii ni hatari kwa dunia.
 
Wewe hapo upigwe risasi 16 unusurike kifo utaabike miaka mitatu hospitalini, uporwe ushindi kwenye uchaguzi, ubambikiwe kesi kibao za uonevu, Utakuja hapa jukwaani kuandika hivi vyako ulivyoleta hapo juu? Jaribu kuwa na ubinadamu kwanza kabla ya kuwa unawaza uteuzi pasipo kutafakari vizuri

Hayo yote alfanyiwa na nani??? Kwa ushahidi upi??? Halafu anachofanya Sasaivi kinamaidia nini?
Mwambie Tundu muungwana akivuliwa nguo huchutama..... kama hajitambui ajue yuko uchi mwachoni pa watanzania na dunia.
Yaani Tundu akili zake kama jina lake mfyuuuu
 
Huu nao ni uchochezi na uvunjifu wa amani. Mkabilini kwa hoja siyo kwa nguvu. Tatizo ni kuwa hamna uwezo wa kupambana kwa hoja badala yake mnatumia nguvu. Hata kushambuliwa kwake kwa risasi ni matokeo ya kushindwa kuoambana naye na kujibu hoja zake kikamilifu. Mada kama hii ni ushahidi wa kushindwa kujibu hoja badala yake kujiandaa kutumua nguvu. Ujinga!
CCM ya Hayati haikuwa na uwezo wa kujibu hoja wao walitumia wasiojulikana tu,ni tofauti na CCM ya kikwete mkapa ambao walijitahiti kujibu hoja pasipo kutumia risasi na nguvu zisizo na maana
 
Hayo yote alfanyiwa na nani??? Kwa ushahidi upi??? Halafu anachofanya Sasaivi kinamaidia nini?
Mwambie Tundu muungwana akivuliwa nguo huchutama..... kama hajitambui ajue yuko uchi mwachoni pa watanzania na dunia.
Yaani Tundu akili zake kama jina lake mfyuuuu
Ushahidi ni kitendo cha kuzuia Dua mbalimbali misa za kumuombea na ushahidi mkubwa ni kile kitendo cha kuwakamata watanzania waliovaa tshart zenye picha na maandishi ya kumtakia Lisu kupona haraka, Ushahidi mwingine nenda Ubalozi wa marekani kitengo cha FBI waombe report ya uchunguzi wao watakupa ushahidi wote kuanzia DSM mpaka Dodoma na Dodoma mpaka moro na kisha Dsm na waliompiga risasi wote wanajulikana vizuri , Tundu Akili zake siyo kama jina lake, ana Akili timamu isipokuwa hujamuelewa tu kwani hakuna binadamu atafanyiwa unyama kama ule alafu akae kimya pasipo kulalamika popote.
 
Wewe ndiyo ulisitahili hizo risasi kwa roho yako mbaya na utakufa mapema kwani mwenye Roho mbaya kama yako kafariki kabla ya aliyepigwa risasi 16
msaliti wa nchi adhabu yake ni kifo. Hii ni kanuni ya asili ilitumiwa hata na mitume wa Mungu.
 
Back
Top Bottom