Mbowe: Mkisikia nimepigwa risasi iombeeni roho yangu ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele"

Mbowe: Mkisikia nimepigwa risasi iombeeni roho yangu ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele"

Kauli hii ameitoa leo kupitia X Spaces alipokjwa akiwahutubia wananchi wenye mapenzi mema kwa anchi na waliojipanga kushiriki kwa amani maandamano ya tarehe 23 Septemba 2024.

View attachment 3103371
Mbowe amesema kuwa mkisikia amepigwa risasi iombeeni roho yake ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele.

Tanzania Salama bila utekaji na mauaji ya raia inawezekana.

Polisi waache kutishia raia.
Polisi watoe ulinzi kwa waandamanaji
Polisi wasianzishe vurugu
Kama wako siriazi na kesho kuhusu kuandamana usiku wa leo wasilale nyumbani mwao
 
Halafu humu Ant Chadema wana makasiriko na maoni yenye chuki kwanini? Au ndio afya ya akili ndio tatizo ? Mnakosoa utadhani nyinyi ndio Wapinzani???
 
Kauli hii ameitoa leo kupitia X Spaces alipokjwa akiwahutubia wananchi wenye mapenzi mema kwa anchi na waliojipanga kushiriki kwa amani maandamano ya tarehe 23 Septemba 2024.

View attachment 3103371
Mbowe amesema kuwa mkisikia amepigwa risasi iombeeni roho yake ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele.

Tanzania Salama bila utekaji na mauaji ya raia inawezekana.

Polisi waache kutishia raia.
Polisi watoe ulinzi kwa waandamanaji
Polisi wasianzishe vurugu
Hakuna namna nyingine ya kujitoa mbele kutetea nchi zaidi ya hapo.

Yeyote atakaye athirika kutokana na kushiriki kwenye maandamano hayo ni muhimu Chama kwanza na nchi kwa ujumla kuheshimu na kumtambua katika juhudi hizi.

Chama ni lazima kiwe na taratibu za kufanya kazi hiyo ya utambuzi wa watu hawa, popote pale yatakapo wakuta.
 
Haya maandamano yamepamba moto kweli kweli mpaka naogopa, waandamanaji wamechachamaa sana naona safari hii wataiondoa serikali madarakani. Maana Kuna watu nimeongea nao wapi Keko hapo kilometa kama mbili kutoka kitovu cha kuanzia maandamano, wananiambia hata hawajui maandamano yanahusu Nini hivyo Kila mtu anaendelea na ishu zake. Sasa vibe la maandamano ndio kama hivyo, serikali lazima itikisike
 
Kupigwa risasi fika anafahamu hakupo, ispokuwa kwa wakati huu ni lazima aonyeshe ujasiri ili kutetea UENYEKITI WAKE, KWAMBA NI MWENYEKITI IMARA NA THABITI.
Vyovyote na iwavyo, chukua tafsiri unayo itaka wewe. Tamko hilo ni la kishujaa.
 
Kauli hii ameitoa leo kupitia X Spaces alipokjwa akiwahutubia wananchi wenye mapenzi mema kwa anchi na waliojipanga kushiriki kwa amani maandamano ya tarehe 23 Septemba 2024.

View attachment 3103371
Mbowe amesema kuwa mkisikia amepigwa risasi iombeeni roho yake ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele.

Tanzania Salama bila utekaji na mauaji ya raia inawezekana.

Polisi waache kutishia raia.
Polisi watoe ulinzi kwa waandamanaji
Polisi wasianzishe vurugu
"If you're afraid to die, you're afraid to live. You can't have one without the other" author unknown.
 
Back
Top Bottom