THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
- Thread starter
-
- #21
The problem is,you guys think that mna hati miliki ya kuzungumzia hiyo katiba kuliko makundi mengine yyte yale,you are very wrong..!Ulifikiri kuwa Rais ni kwenda kucheza na kuimba taarab? Kwani lazima awe Rais? Anaweza kuacha kama hamtaki akosolewwe. Who the hell cares if you are a woman or a Muslim?
Ulifikiri kuwa Rais ni kwenda kucheza na kuimba taarab? Kwani lazima awe Rais? Anaweza kuacha kama hamtaki akosolewwe. Who the hell cares if you are a woman or a Muslim?
hapo ndio CHADEMA wanakosea. Kwani katiba inasema ruhusa ya mikutano ya kisiasa lazima itoke kwa Rais?THE BIG SHOW ,
..Natofautiana na wewe unapohusisha harakati za Chadema kudai Katiba mpa na suala la IMANI ya Rais Samia Suluhu pamoja na JINSIA yake.
..Kilichotokea kati ya Rais Samia Suluhu na uongozi wa Chadema ni kupishana kwa mitizamo yao kuhusu muda gani ni sahihi kwa suala la Katiba mpya kushughulikiwa.
..sisi tunaowafuatilia viongozi hawa, tunapaswa kupima kauli na misimamo iliyotolewa na kila upande, na kuangali upande upi umejenga hoja iliyo sahihi.
..Binafsi sijakubaliana na hoja ya Rais Samia Suluhu ya kuzuia mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa. Zuio hilo linakwenda kinyume cha katiba na sheria zetu.
..Pia sijashawishika na hoja ya Rais Samia Suluhu kwamba wabunge peke yao ndio wanaoruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara. Uamuzi huo ukitekelezwa utakipendelea chama cha Raisi, CCM, na kuvikandamiza vyama vingine vya siasa.
..Vyama vya upinzani huku Tanganyika vina mbunge ktk jimbo moja tu, hivyo CCM watafanya mikutano ktk majimbo zaidi ya 200++ nchi nzima, huku Chadema wakifanya mikutano katika jimbo moja tu.
..Kwa upande mwingine nadhani Mh.Mbowe anakosea anapolalamika, au kulazimisha, Rais akutane na Chadema. Kama Rais anaamini muda haujafika wa kuonana na Chadema basi wamuache aendelee na ratiba na majukumu yake aliyojipangia.
..Kila upande hapa uendelee na shughuli, ratiba, na mipango yake. Raisi Samia Suluhu aendelee kurekebisha uchumi kama alivyoahidi. Chadema nao waendelee na operation yao ya kuelimisha kuhusu Katiba mpya, na wasibugudhiwe na mtu au chombo chochote.
..Rais Samia Suluhu akirekebisha uchumi Watz wote tutafaidika. Chadema nao wakihamasisha kuhusu Katiba bora umma mzima utafaidika.
Ulifikiri kuwa Rais ni kwenda kucheza na kuimba taarab? Kwani lazima awe Rais? Anaweza kuacha kama hamtaki akosolewwe. Who the hell cares if you are a woman or a Muslim?
Naanza kuamini hawa jamaa wanatumika,yaani wao hawataki kuona kuna utulivu! Wana visirani sana,lakini wasimchukulie mama poa,tena katika hili la katiba kawa mkweli,lakini kwa vile wamezoa kashkash wanaanza tena.The problem is,you guys think that mna hati miliki ya kuzungumzia hiyo katiba kuliko makundi mengine yyte yale,you are very wrong..!
And does she seems like dancing taarabu??mnyonge mnyonge,mnaeza fananisha na yule jamaa yenu mchunga ng'ombe?
Give her a time.., hamtakii ingien barabaran af muone...!!
You must be so so crazy btch btch blocks
Ninyi WENDAWAZIMU hebu tulieni basi, yaani mihemuko yote hii ni kwaajili ya kutetea "ugali" wenu tu? KATIBA MPYA HAIEPUKIKI KWA SASA, hiyo takataka "KATIBA YA VIONGOZI WA CCM" acheni itumike huko huko Lumumba tu.Friends and Enemies,
Mbowe na chadema wanataka kutupeleka wapi Tena??je ni kweli kwamba walishaziea ile hali ya kupelekwa kibabe na mwendazake na wameikumbuka kisha wameanza kutingisha kibiriti??
Katiba mpya ni suala la mchakato,ni suala mtambuka na jumuish kwa makundi mbali mbali ndan ya nchi hii,
Wao kama wanasiasa ni kundi moja tuh wenye maslahi yao na katiba hii,na maslahi yao kama chama Cha siasa ni kushika Dola,lakin Kuna makundi mengine meengi ambayo nayo yana maslahi yao vile vile kama wao,sasa iweje wao walishikie bango kwa kias hiko hadi kutishia kuingia barabaran kufanya fujo??
MMA samia kaahid na kaomba apewe muda,hawataki na wanataka kulazimisha,
Magufuli hakuahid,na alisema siyo kipaombele chake,waliufyata na kukaa kimya,sasa tunawauliza wanataka KUMKWAMISHA huyu mama kwa kuwa ni Muislam au kwa kuwa ni mwanamke??
Wana ajenda gan kwan hawa wachaga...
Kuna baadhi ya waislam madrasa huwa zinawaharibu akili, wewe ni mwisilamu mpumbavu na unaudhalilisha sana uislam, kwako muislam hajawahi kukosea, haya tuambie jpm mpaka anawapiga risasi akina lissu ni kwa Sababu ni mwislam aliyekosolewa vikali na akina mbowe na lissu ambao ni wakrusto?
Ninyi WENDAWAZIMU hebu tulieni basi, yaani mihemuko yote hii ni kwaajili ya kutetea "ugali" wenu tu? KATIBA MPYA HAIEPUKIKI KWA SASA, hiyo takataka "KATIBA YA VIONGOZI WA CCM" acheni itumike huko huko Lumumba tu.
We babu nchi unayoweza ukaishi ukawa na amani ya nafsi ni nchi yenye pure Muslims, hizi nchi zenye dini mseto utapata tabu sana, samia sio Mungu na wala hatuhitaji hisani ya samia kupata katiba mpya tutaendelea kuipigania katiba bila kuchoka Sawa.Madrasa,haijawahi kutuharibu,
Infact hao wote smart leaders mwingi,kikwete and beautiful samia ni zao la madrasa,love it or hate it..
Madrasa is our pride place,don't remind about Magufuli wewe,inanihusu nin Mimi,hiyo labda nikuulize we are you missing him already??
If not why don't you give this mama a time to deliver her abligations...
Mnataka kumpangia,, mbona mwendazake hamkumpangia?
Is it because he was your fellow Christan or because of your fear??
Tatizo ni nyie wapambe, aka advocates. Mlifichama wapi sijui, mlikuwa critical hivi hivi wakati wa JK, kuingiza udini na na mambo yenu kwenye siasa. Nani kakwambia watu wanajali kama yeye ni mama au baba au Mkritu au muislam? Sisi tunataka presidential material siyo brabra. Paka mweusi au mweupe paka mzuri ni yule anayadaka panya, muislam au mkristo, mwanamke au mwanamme Raisi lazima awe imara. Kama huwezi acha kazi.Amekataa kukosolewa??
Ameipinga hoja ya katiba??
Unadhan katiba ni jambo rahis kama kumkatia mumeo viuno na kumkojoza??
It needs money,hiyo budget hao wachaga wanayo??au wanazungumza tuh,
Wanataka kumlazimisha Prezoo wao kama nani??
They are just goddamed Hand to mouth politicians,waje pole pole na busara,katiba ni yetu sote wasijafanye wao ndiyo wahanga Sana,
Naanza kuamini hawa jamaa wanatumika,yaani wao hawataki kuona kuna utulivu! Wana visirani sana,lakini wasimchukulie mama poa,tena katika hili la katiba kawa mkweli,lakini kwa vile wamezoa kashkash wanaanza tena.
Kwani nani kamshangilia JPM? Ukatili wa JPM umemfikisha alipofika, alikataa sayansi, ikamfix.The problem is,you guys think that mna hati miliki ya kuzungumzia hiyo katiba kuliko makundi mengine yyte yale,you are very wrong..!
And does she seems like dancing taarabu??mnyonge mnyonge,mnaeza fananisha na yule jamaa yenu mchunga ng'ombe?
Give her a time.., hamtakii ingien barabaran af muone...!!
You must be so so crazy btch btch blocks
Tatizo ni nyie wapambe, aka advocates. Mlifichama wapi sijui, mlikuwa critical hivi hivi wakati wa JK, kuingiza udini na na mambo yenu kwenye siasa. Nani kakwambia watu wanajali kama yeye ni mama au baba au Mkritu au muislam? Sisi tunataka presidential material siyo brabra. Paka mweusi au mweupe paka mzuri ni yule anayadaka panya, muislam au mkristo, mwanamke au mwanamme Raisi lazima awe imara. Kama huwezi acha kazi.
Kwani nani kamshangilia JPM? Ukatili wa JPM umemfikisha alipofika, alikataa sayansi, ikamfix.
Huyu naye kaja kwa tamaa zile zile za ki-CCM, to consolidate her power, for future terms in office, huku anapuliza. Anayekataa katiba mtu anakuwa aonother despot, she gonna fall in the same trap! Power trap
Mama amepewa siku mia moja ili kuonyesha mwelekeo, kamaliza siku mia moja na kusema hataki siasa na hataki katiba mpya.
Wewe unataka CHADEMA wampongeze kwa hilo?
Wewe unataka CHADEMA wakae kimya?
Suala la kufanya siasa ni suala la kikatiba (halihitaji hisani ya Rais) na suala la katiba mpya ni hitaji la wananchi (ndio maana liliendeshwa rasmi bila kufikia tamati 2011-2015). CHADEMA wameamua kusimamia katiba na kusimama na wananchi. Hapa ni siasa na katiba tu. Uchumi utajengwa na wananchi wenyewe katika mazingira ya siasa safi na uwepo wa katiba sahihi.
Mama yeye aendelee na blah blah zake za kujenga uchumi, tuwaache Chadema waendelee na siasa zao za kudai katiba mpya, wananchi tutaamua wenyewe.
hapo ndio CHADEMA wanakosea. Kwani katiba inasema ruhusa ya mikutano ya kisiasa lazima itoke kwa Rais?
THE BIG SHOW ,
..Natofautiana na wewe unapohusisha harakati za Chadema kudai Katiba mpa na suala la IMANI ya Rais Samia Suluhu pamoja na JINSIA yake.
..Kilichotokea kati ya Rais Samia Suluhu na uongozi wa Chadema ni kupishana kwa mitizamo yao kuhusu muda gani ni sahihi kwa suala la Katiba mpya kushughulikiwa.
..sisi tunaowafuatilia viongozi hawa, tunapaswa kupima kauli na misimamo iliyotolewa na kila upande, na kuangali upande upi umejenga hoja iliyo sahihi.
..Binafsi sijakubaliana na hoja ya Rais Samia Suluhu ya kuzuia mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa. Zuio hilo linakwenda kinyume cha katiba na sheria zetu.
..Pia sijashawishika na hoja ya Rais Samia Suluhu kwamba wabunge peke yao ndio wanaoruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara. Uamuzi huo ukitekelezwa utakipendelea chama cha Raisi, CCM, na kuvikandamiza vyama vingine vya siasa.
..Vyama vya upinzani huku Tanganyika vina mbunge ktk jimbo moja tu, hivyo CCM watafanya mikutano ktk majimbo zaidi ya 200++ nchi nzima, huku Chadema wakifanya mikutano katika jimbo moja tu.
..Kwa upande mwingine nadhani Mh.Mbowe anakosea anapolalamika, au kulazimisha, Rais akutane na Chadema. Kama Rais anaamini muda haujafika wa kuonana na Chadema basi wamuache aendelee na ratiba na majukumu yake aliyojipangia.
..Kila upande hapa uendelee na shughuli, ratiba, na mipango yake. Raisi Samia Suluhu aendelee kurekebisha uchumi kama alivyoahidi. Chadema nao waendelee na operation yao ya kuelimisha kuhusu Katiba mpya, na wasibugudhiwe na mtu au chombo chochote.
..Rais Samia Suluhu akirekebisha uchumi Watz wote tutafaidika. Chadema nao wakihamasisha kuhusu Katiba bora umma mzima utafaidika.
Yes,we need katiba mpya,sasa why wanataka kumpeleka peleka kwa lazima??
Yeye samia ameikataa hiyo hoja??
Tunawauliza hao wachaga kwani katiba ni kama kuitengeneza mbege??
Wasitafute umaarufu wa kisiasa na sympathy kwa wananchi kwa kuegemea kwenye mgongo wa katiba,ya kwao tuh kwanza kama chadema Ina washinda,
Wanaforce iwe saiz,waulize hiyo pesa wao wanayo??
Waache ufa.la