Lini wananchi tulikaa na kukubaliana kwamba sasa' mahitaji yetu ni kupambana na corona na kuinua uchumi?! Msitupangie kwa maslahi
yenu. CCM siyo wanachi, ni genge
Badilisheni kwanza katiba ya Chadema punguani wewe.Wewe mtanzania au wewe mpuuzi fulani wa CCM?
Katiba ya wananchi ilitakiwa miaka 30 iliyopita. HUSUBIRIWI MTU.
“Ombi la Mama Samia kwamba tumpe muda hatupo tayari kumpa muda na natoa agizo kwa Viongozi Nchi nzima wajiandae kwa mikutano ya hadhara siku ambayo tutaitangaza”———M/kiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.
Mlivyokuwa mapunguani mnashangilia, si mnashikiwa akili na Mbowe jiandaeni na maandamano au maandamano yenu kama kawaida mnafanyia JF.
Achana na maneno ya Nyerere, yeye pia katawala kwa hii Katiba.Siku ukitia akili kichwani wewe GOI GOI utaelewa tu lakini kwa sasa endelea na UZWAZWA wako. View attachment 1837222
We shetani katiba ya CDM inaathiri vipi wananchi kupatiwa Katiba mpya ya nchi yao? JK alipoanzisha mchakato ule mbona hakulalamikia katiba ya CDM?Badilisheni kwanza katiba ya Chadema punguani wewe.
Achana na maneno ya Nyerere, yeye pia katawala kwa hii Katiba.
Tujadili maneno.ya mfalme wenu Mbowe.
“Madai ya Katiba tutadai asubuhi, mchana hadi usiku, kama wanataka tukae mezani turidhie kama wasiporidhia tutakutana Barabarani, hatutoridhia kushiriki Uchaguzi wowote bila kuwa na Katiba au Tume ya Uchaguzi”———
Vipi upo tayari kuingia barabarani?
Wewe niite upendavyo jibu swali langu.We shetani katiba ya CDM inaathiri vipi wananchi kupatiwa Katiba mpya ya nchi yao? JK alipoanzisha mchakato ule mbona hakulalamikia katiba ya CDM?
Nchi ni shwari imebadilika kuna uhuru wa kudai katiba kama tulivo pewa haki kwenye katiba ya sasaAcha UPUMBAVU wewe!!! maneno ya Nyerere huyataki lakini ya huyo mama wa KUDEMKA ndiyo unayakubali!!! Akili za wapi hizi? Unadhani huyo wa kudemka ana haki zaidi ya Baba wa Taifa katika Nchi hii!? Mtaua wangapi mpuuzi wewe!!!! Kulikuwa na mwenye jeshi lenye nguvu Afrika kama Mubarak? Mbona nguvu ya UMMA ilimpiga chini pamoja na jeshi lake zuri?
Hahahaaa hahaaaWangeanza na Katiba Ya chama chao Kwanza....! We M/kiti Kang'ang'ana Kwenye Kiti Ka Ruba.
Kaandamane uone kenge weweWananchi Wanataka KATIBA MPYA hatwishwi Mtu hapa
Utawala wa awamu ya tano kwa mara ya kwanza watanzania tulishuhudia mvi za Mbowe.Nchi ni shwari imebadilika kuna uhuru wa kudai katiba kama tulivo pewa haki kwenye katiba ya sasa
Ingekua enzi za Jiwe wacha kuingia barabarani hata huu mkutano usingekuwepo.
Watu walishakimbilia Dubai , Belgium ,Canada,Kenya, wewe.mwenyewe upo huru unatukana matusi yote na kama una matusi mapya ruksa kitukana
Ingekua Jiwe yupo huu mkutano umefanyika karibu na Segerea !
Nchi ni shwari imebadilika kuna uhuru wa kudai katiba kama tulivo pewa haki kwenye katiba ya sasa
Ingekua enzi za Jiwe wacha kuingia barabarani hata huu mkutano usingekuwepo.
Watu walishakimbilia Dubai , Belgium ,Canada,Kenya, wewe.mwenyewe upo huru unatukana matusi yote na kama una matusi mapya ruksa kitukana
Ingekua Jiwe yupo huu mkutano umefanyika karibu na Segerea !
Sisi huwa hatuko na akina Mbowe. Ila kwa uhuru wa mikutano ya hadhara tuko nao sana! Hata Tundu Lisu hatukuwa naye pamoja, lakini alipoonewa toka kumiminiwa risasi tuko naye hadi leo. Kuoanga ni kuchagua. Kama Rais wa sasa naye anataka legacy ya ubabe ataipataWanaukumbi
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu asiyetambua umuhimu wa Katiba Mpya; tunapishana sehemu ndogo sana ‘timing’ na vipaumbele vya kitaifa kwa sasa viwe ni 1.Katiba Mpya au kupambana na 2.Janga la Corona na 3.Kuinua Uchumi na hali za wananchi masikini?
Sisi Watanzania tumechagua muhimu 2 na 3.
Mbowe na wafuasi wako mnachekesha sana hivi mnataka rais wetu afuate mnachotaka nyie kwa maslahi yenu?
Rais akitumia madaraka yake kama katiba unavyomtaka mtaanza tena kulia kuwa Tanzania hamna demokrasia.
Nakushauri Mbowe zile pesa mlizorudishiwa na mahakama jengeni ofisi kwanza ondokeni Ufipa mlilpopanga vyumba viwili hamna mtanzania anaweza kuwaamini wewe na kundi lako.
Hasira zote hizi Mbowe baada ya kujikuta yeye na hawara yake Mukya hawapo mjengoniUislam umeingiaje hapa? Au Mbowe ndiyo kawatuma kujibu pumba.
Nani kampa mamlaka Mbowe ya kuwasemea watanzania?
Uislamu unaingiaje hapo? Hii thd imetaja dini? Kama huna cha kuchangia piga kimya.Kwani rais anatakiwa afanye kwa utashi wake au katiba na matakwa ya wananchi wake? Tatizo wewe unaangalia mambo kwa jicho la uislamu
Mfuate alikoASANTE MUNGU KWA MAISHA YA MPENDWA WETU JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI. KWANI WADHURURAJI WOTE WALIKIMBIA NCHI
R. I. P CHUMA
Kwa mazingira ya katiba yetu na jamii ya kitanzania jinsi ilivyo issue kama hii maamuzi ya mwisho yatategemea matakwa ya kiongozi mkuu hatakama hili ni takwa la kisheria. Kinyume na hapo ni sawa na kelele za mbwa wakati mwenye nyumba kalala, Kumbuka siku zote haki haiombwi ila haki inadaiwa swali ni je! ujasiri huo unao?.
Tuendelee kusubiri nadhan yajayo yatakua mema.Kwa mazingira ya katiba yetu na jamii ya kitanzania jinsi ilivyo issue kama hii maamuzi ya mwisho yatategemea matakwa ya kiongozi mkuu hatakama hili ni takwa la kisheria. Kinyume na hapo ni sawa na kelele za mbwa wakati mwenye nyumba kalala, Kumbuka siku zote haki haiombwi ila haki inadaiwa swali ni je! ujasiri huo upo?.
Hatumfuati mpaka tumalizane na nyinyi fisi majiMfuate aliko