Mbowe na siasa zake za "I am the only negro incharge in here"

Mbowe na siasa zake za "I am the only negro incharge in here"

Hii hoja ya wacha wananchi waelimishwe kwanza ndiyo hoja hiyo hiyo Samia anaitumia kwenye katiba mpya kuwa "wacha wananchi waelimishwe kwanza".

Sikia elimu haina mwisho!. Ila kuendelea na mfumo huu wa sasa hata kwa mwaka mmoja mbele ni mzigo!. Thats why cheche zozote za kupeleka struggle to the next level lazima zisaidiwe, zilelewe, ziungwe mkono na ziwezeshwe. Siyo kurudia the same old politics ambazo Mbowe kazifanya kwa miaka zaidi ya 20 sasa na tuko palepale!.
Insanity is doing the same thing over and over again expecting different results!
Hawa jamaa wamejaa porojo sana.Eti wananchi wapewe elimu, Wananchi wanalala giza anakuja mwanasiasa anasema wananchi wapewe elimu ya katiba kwanza hahahahhah.
 
..kama Mbowe anaonekana hafai basi wajitokeze wengine wenye uwezo na mbinu mpya.
Ndio inatakiwa nyie chawa wake muelewe Mbowe sasa kachoka, yule now yupo kimaslai zaidi. Kitendo cha nyie kuendelea kushikilia kuwa Mbowe ana uwezo wa kuleta mabadiliko mnasababisha CCM waendelee kutawala na mkiendelea na siasa hizi CCM itatawala milele
 
Mbowe ni mfanyabiashara ya siasa...usitegemee mageuzi pale...akipewa chake anakaa kushoto
 
..kama Mbowe anaonekana hafai basi wajitokeze wengine wenye uwezo na mbinu mpya.

..kwanini nguvu kubwa inaelekeza kumlaumu Mbowe kuliko kudai katiba mpya?

..Nadhani tumepoteza muelekeo hivi karibuni.

Tunamlaumu Mbowe kwa sababu huwa tunakwenda naye vizuri ila ikifika critical hour huwa anabutua, anachomesha!

1. Ndivyo alivyobutua kwa kuua Umoja wa Kudai Katiba mpya kwa kumleta Mpinga Katiba mpya inchief bwana Lowasa kuwa Mgombea mwaka 2015.

2. Ndivyo alivyochomesha baada ya kuwa watu tumeshakuwa tayari na maandamano ya UKUTA

3. Na Sasa Umma umeikalia kooni serikali ya CCM ktk ishu ya bandari, Maji yalianza kuizidi CCM, nayo kimkakati ikaamua kuchukua njia ya kukaa kimya, kuwazuia makada wao kuzungumza chochote kuhusu bandari ili upepo upite. Sasa wananchi wazalendo wanataka kukkep the flame alive, na kuipiga presha CCM na serikali yake. Mbowe anachomesha tena!. Kama kawaida, tulianza naye vizuri pale Bulyaga Temeke, then tumefanikiwa kuislow CCM na serikali yake katika hii ishu, cha ajabu at the moment tunahitaji tuunganishe naye nguvu, Mwamba anatuchoma tena!

4. At the Moment Samia anadelay kutupa katiba mpya, wananchi wanataka kumpiga presha, Mwamba kama kawaida yake, at the last minute anajichomoa!. Thats why tunahisi labda Mwamba ni Gatekeeper. He is only allowed by CCM to go far up to where CCM let him go, beyond that, it is a red line!

Usikute DP World wameshapenyeza Rupia!
 
Ngoja chawa wake waje wakupopowe na mawe. Miongoni mwa viumbe vya ajabu duniani basi ni Wafuasi wa Mbowe au Chadema kwa ujumla. Wao wanaamini wako sahihi muda wote na wengine hawako sahihi. Wao wanaamini kila anayewakosoa ni CCM au ACT.Hii nchi kungekua na upinzani wa maana swala la Bandari na saizi umeme yalitosha kuitoa ccm madarakani au hata kuipa adabu tu CCM.Mbowe na genge lake wanawaza ubunge tu na sio kuleta mabadiliko yoyote Tanzania. Siasa zao ni za kujipendekeza kwa watawala angalau 2025 wawalegezee kwenye Ubunge. Wanafanya SIASA za kuogopa kuikwaza CCM wasije wapiga pini huko mbele.Hiki sio chama cha siasa bali genge la wahuni.

Inasikitisha sana kwa hakika.

imhotep Kuna wito huku.
 
Hapana. Mimi ninakupinga. Mbowe bado ni kiongozi sahihi wa chama kinachojifia CHADEMA. Ukimtoa Mbowe kwenye uenyekiti unaweza kumweka nani mwenye akili timamu kutoka kwenye hichi chama cha kidini? Halafu msitake kuingilia biashara ya mtu kwa kisingizio cha harakati. CHADEMA ni mali binafsi ya Mbowe aliyorithishwa na baba mkwe. Acheni kuingilia biashara za familia ya watu. Kwa sasa Mbowe anajiandaa kumrithisha mwanae aitwae James.
 
Tunamlaumu Mbowe kwa sababu huwa tunakwenda naye vizuri ila ikifika critical hour huwa anabutua, anachomesha!

1. Ndivyo alivyobutua kwa kuua Umoja wa Kudai Katiba mpya kwa kumleta Mpinga Katiba mpya inchief bwana Lowasa kuwa Mgombea mwaka 2015.

2. Ndivyo alivyochomesha baada ya kuwa watu tumeshakuwa tayari na maandamano ya UKUTA

3. Na Sasa Umma umeikalia kooni serikali ya CCM ktk ishu ya bandari, Maji yalianza kuizidi CCM, nayo kimkakati ikaamua kuchukua njia ya kukaa kimya, kuwazuia makada wao kuzungumza chochote kuhusu bandari ili upepo upite. Sasa wananchi wazalendo wanataka kukkep the flame alive, na kuipiga presha CCM na serikali yake. Mbowe anachomesha tena!. Kama kawaida, tulianza naye vizuri pale Bulyaga Temeke, then tumefanikiwa kuislow CCM na serikali yake katika hii ishu, cha ajabu at the moment tunahitaji tuunganishe naye nguvu, Mwamba anatuchoma tena!

4. At the Moment Samia anadelay kutupa katiba mpya, wananchi wanataka kumpiga presha, Mwamba kama kawaida yake, at the last minute anajichomoa!. Thats why tunahisi labda Mwamba ni Gatekeeper. He is only allowed by CCM to go far up to where CCM let him go, beyond that, it is a red line!

Usikute DP World wameshapenyeza Rupia!

..Ndio nasema kama hiyo ndio experience yenu na Mbowe basi kuna tatizo kuendelea kutegemea.


..Ppl seem to be doing the same thing, with the same person[ mbowe] over and over, and expect different results.

..kumlaumu Mbowe wakati alishaharibu mara kadhaa huko nyuma ni ukiachaa. Kwanini hamjatafuta mbadala mpaka leo hii?
 
Tunamlaumu Mbowe kwa sababu huwa tunakwenda naye vizuri ila ikifika critical hour huwa anabutua, anachomesha!

1. Ndivyo alivyobutua kwa kuua Umoja wa Kudai Katiba mpya kwa kumleta Mpinga Katiba mpya inchief bwana Lowasa kuwa Mgombea mwaka 2015.

2. Ndivyo alivyochomesha baada ya kuwa watu tumeshakuwa tayari na maandamano ya UKUTA

3. Na Sasa Umma umeikalia kooni serikali ya CCM ktk ishu ya bandari, Maji yalianza kuizidi CCM, nayo kimkakati ikaamua kuchukua njia ya kukaa kimya, kuwazuia makada wao kuzungumza chochote kuhusu bandari ili upepo upite. Sasa wananchi wazalendo wanataka kukkep the flame alive, na kuipiga presha CCM na serikali yake. Mbowe anachomesha tena!. Kama kawaida, tulianza naye vizuri pale Bulyaga Temeke, then tumefanikiwa kuislow CCM na serikali yake katika hii ishu, cha ajabu at the moment tunahitaji tuunganishe naye nguvu, Mwamba anatuchoma tena!

4. At the Moment Samia anadelay kutupa katiba mpya, wananchi wanataka kumpiga presha, Mwamba kama kawaida yake, at the last minute anajichomoa!. Thats why tunahisi labda Mwamba ni Gatekeeper. He is only allowed by CCM to go far up to where CCM let him go, beyond that, it is a red line!

Usikute DP World wameshapenyeza Rupia!
Huwa nawaambia vijana kuwa Mbowe ni tapeli na yupo Kimkakati sana kuhakikisha CCM inaendelea kutawala ila LAZIMA UWE SMART SANA kuelewa hili.Huwezi mkuta Mbowe anaikalia kooni CCM mwanzo mwisho.Hili la bandari CCM ilikua imezidiwa ila kwakua tuna wahuni wenye koti la wapinzani tunaona CCM inaendelea kupeta. CCM ilibanwa kiasi kila siku inaitisha press kutoa ufafanuzi plus kutumia chawa wao kujibu mashambulizi. Now CCM wana amani na hukuti chawa wao wakijibu mashambulizi licha ya Chadema kujifanya wanaendelea na operation kwasababu wanayoongea huko kwenye operation ni cheap sana.CCM ikipigwa spana kama wanazopiga akina Mwabukusi huku na kule kesho tu lazima waingize polisi mtaani kukamata watu.
 
Ndio inatakiwa nyie chawa wake muelewe Mbowe sasa kachoka, yule now yupo kimaslai zaidi. Kitendo cha nyie kuendelea kushikilia kuwa Mbowe ana uwezo wa kuleta mabadiliko mnasababisha CCM waendelee kutawala na mkiendelea na siasa hizi CCM itatawala milele

..nyinyi ambao sio chawa wa Mbowe mmefanya nini? Mbona inaonekana hamna mbadala wa mtu, na hata ideas?
 
..kama Mbowe anaonekana hafai basi wajitokeze wengine wenye uwezo na mbinu mpya.

..kwanini nguvu kubwa inaelekeza kumlaumu Mbowe kuliko kudai katiba mpya?

..Nadhani tumepoteza muelekeo hivi karibuni.

Tulipojikwaa ni hapa:

Wanasiasa, wanaharakati: mnyukano unapotulia

Yatakiwa busara kurudi kwenye reli.

Lissu anaweza kuwa mediator mzuri pekee tuliye naye.

It's never too late.
 
RPJVA3VYDJOPVJVSCBGFXCU7HQ.jpg

NO HATE NO FEAR! FREEDOM IS COMING!
 
..kwanini hizi harakati zisiongozwe na watu tofauti zaidi ya Mbowe au Lissu?

..Slaa, Mwabukusi, na Mdude, kwani hawaingii wenyewe mtaani na kuitisha maandamano?
Sikiliza, Tunahitaji taasisi kubwa ya kisiasa nchini ya CHADEMA ishirikiane na nguvu za umma kufanya mabadiliko ya kweli nchini, badala ya kuleta excuses kama alizoleta Mbowe!.

Kwa nini CHADEMA zaidi, kwa sababu mosi ina watu wengi zaidi, na ina mtandao mpana zaidi, Na infact Sisi wananchi tumesaidia kuijenga CHADEMA kwa ruzuku zetu kwa miaka mingi, na tumeilea kwa kuitetea kwa siri na dhahiri. Sasa tunataka hiyo taasisi itusaidie kwenda next level ktk struggle, Mwenyekiti wake analeta mazongezonge, figisufigisu, anajitoa badala ya kuisaidia movement inayotaka action badala ya maneno!

Kwa hiyo tupo hapa kumwambia Mbowe, kama hawezi kuvumilia joto la jikoni atoke!, La sivyo tunataka siasa mpya siyo za kupetiwapetiwa na CCM kwenye meza feki za mazungumzo wakati CCM wanabuy time tu, hawako serious!
 
..nyinyi ambao sio chawa wa Mbowe mmefanya nini? Mbona inaonekana hamna mbadala wa mtu, na hata ideas?
Sisi kazi yetu ni kumwambia Mbowe na chawa wake hawana nia ya dhati ya kuitoa CCM madarakani na tunatoa elimu kwa wafuasi nyumbu.
 
..kwanini hizi harakati zisiongozwe na watu tofauti zaidi ya Mbowe au Lissu?

..Slaa, Mwabukusi, na Mdude, kwani hawaingii wenyewe mtaani na kuitisha maandamano?

Tatizo si kuongozwa. Tatizo ni kupingwa Tena hadharani kwa faida ya CCM.

Kinachoengelewa hapa ni reflection tu kuwa - was it really necessary?

Wewe huoni umuhimu wa kuachana na vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe tukaelekeza mapigo yetu kwa adui yetu ambaye ni CCM?

Kwanini Lissu mnamuongelea? Kwanini asiachwe akasema mwenyewe? Wapi imesemwa inahitaji Lissu au Mbowe kuongoza harakati zozote?

By the way nimesema Lissu ku mediate kumaliza sintofahamu hii. Haiwezekani Lissu kuwa agent wa utengano. Huyo ni muumini wa umoja. Huyo si muumini wa maridhiano uchwara na CCM.

"Kwanini msingependa akajihusisha kuleta maelewano?"
 
Tayari umeandika hisia zako!
Tafuta nyingine, ila elewa ndie mpambanaji anae aminika kwa sie wapenda mabadiliko
Wakti ananyanyaswa n Serikali mpaka kuwekwa maabusu kuna mtu liandamana kuonesha mshikamano nae? Au wataka yeye tu asurubiwe nakukashifiwa familia yake?
Wacha afanye kwa wakati wake mpaka pale wabongo mtakapo jitambua
Na alivyotoka mahabusu akaenda moja kwa moja Ikulu kunywa juisi na rais wa serikali iliyomuweka ndani, halafu wafuasi wake wanamshangilia
 
Tatizo si kuongozwa. Tatizo ni kupingwa Tena hadharani kwa faida ya CCM.

Kinachoengelewa hapa ni reflection tu kuwa - was it really necessary?

Wewe huoni umuhimu wa kuachana na vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe tukaelekeza mapigo yetu kwa adui yetu ambaye ni CCM?

Kwanini Lissu mnamuongelea? Kwanini asiachwe akasema mwenyewe? Wapi imesemwa inahitaji Lissu au Mbowe kuongoza harakati zozote?

By the way nimesema Lissu ku mediate kumaliza sintofahamu hii. Haiwezekani Lissu kuwa agent wa utengano. Huyo ni muumini wa umoja. Huyo si muumini wa maridhiano uchwara na CCM.

"Kwanini msingependa akajihusisha kuleta maelewano?"

..Chadema haijamletea yeyote yule vita.

..Chadema ndio imeletewa vita na wanaharakati na Ccm wamedandia humohumo.

..Inawezekana kuna mambo yamepangwa hapa ili kuidhoofisha Chadema na operation yao ya 255 Katiba Mpya, Linda rasilimali.
 
Sikiliza, Tunahitaji taasisi kubwa ya kisiasa nchini ya CHADEMA ishirikiane na nguvu za umma kufanya mabadiliko ya kweli nchini, badala ya kuleta excuses kama alizoleta Mbowe!.

Kwa nini CHADEMA zaidi, kwa sababu mosi ina watu wengi zaidi, na ina mtandao mpana zaidi, Na infact Sisi wananchi tumesaidia kuijenga CHADEMA kwa ruzuku zetu kwa miaka mingi, na tumeilea kwa kuitetea kwa siri na dhahiri. Sasa tunataka hiyo taasisi itusaidie kwenda next level ktk struggle, Mwenyekiti wake analeta mazongezonge, figisufigisu, anajitoa badala ya kuisaidia movement inayotaka action badala ya maneno!

Kwa hiyo tupo hapa kumwambia Mbowe, kama hawezi kuvumilia joto la jikoni atoke!, La sivyo tunataka siasa mpya siyo za kupetiwapetiwa na CCM kwenye meza feki za mazungumzo wakati CCM wanabuy time tu, hawako serious!

..actually mnaisaidia Ccm ku-buytime kwa kumshambulia Mbowe, badala ya kuishambulia Ccm.

Kwani aliyewanyima Watz katiba mpya, umeme, ajira, elimu bora, etc etc ni Ccm au Mbowe?
 
..Chadema haijamletea yeyote yule vita.

..Chadema ndio imeletewa vita na wanaharakati na Ccm wamedandia humohumo.

..Inawezekana kuna mambo yamepangwa hapa ili kuidhoofisha Chadema na operation yao ya 255 Katiba Mpya, Linda rasilimali.

Nilidhani wanaharakati na chadema wote wana akili timamu na aliyemkuu ni mwananchi.

Kulikoni kutojielekeza kwenye amani badala ya kuwa sehemu kwenye kuipigana hii stupid war kwa faida ya CCM no matter ilikoanzia?

1664543999224.jpg


Unadhani ni wanaharakati ndiyo wanaona wameleta hii vita?

Ukombozi gani tunaopigania kwa mawazo yenu haya?

Kwamba mboga imemwagwa sasa ugali na umwagwe tu?

Kabila gani nyie?

Kenya hawako hivi. No wonder wanatembea.
 
..actually mnaisaidia Ccm ku-buytime kwa kumshambulia Mbowe, badala ya kuishambulia Ccm.

Kwani aliyewanyima Watz katiba mpya, umeme, ajira, elimu bora, etc etc ni Ccm au Mbowe?
Tunamueleza ukweli Mbowe kwa sababu anachofanya now ni kama kuisiadia CCM. Anaipa life support kwa siasa zake za "sisi siyo pressure group", nani alimwambia kuwa chama cha siasa siyo pressure group?. Hilo alilipata wapi?. Infact Chama cha siasa ni MAJOR pressure entity. Ndiyo maana tunasema amezingua sana kutowapa ushirikiano sauti ya Watanzania.
 
Back
Top Bottom