Mbowe na siasa zake za "I am the only negro incharge in here"

Wakikuelewa usiache kutuletea mrejesho. Haijulikani wanataka au hawataki nini na wala kuwa wanamsemea nani.
CDM ilizidi kulala usingizini,

Naziona HOJA na siasa zenye nguvu sana za Ukombozi zitakazoanzishwa na viongozi wa Dini,

Ni hatari, lakini ndo jambo litatokea ikiwa CCMMM na CDM zitaendelea kuweka mbele kujikinai na kiburi ambacho wanapewa na wananchi wengi wasio na vyama.

Wengine tumejaaliwa macho yaonayo mbele na mbali sana.

Tusubiri.
 
Umesema ukweli ila hawa Nyumbu ni wagumu sana kuelewa wala kujitambua!
 
Usichokijua ni kuwa watu hao wanaomsaport Mdude, Mwabukusi na Slaa ndo wanaisapot CDM.
Inaweza kuonekana hivyo machoni.

Lakini ndani huwezi kujua mpaka tu uwe umejaliwa karama ya kuona Kwa macho ya ndani..

Sisi tunaona kwa macho ya rohoni kuwa hakuna kitu hapo..!!!!
Suluhu ni kuungana, Si kuanzisha chama kipya.
Waende wakajiunge CHADEMA.

Na kumbuka, ili kufanya harakati za kisiasa Tanzania, basi ni sharti u - comply na sheria za nchi zinazoongoza shughuli za kisiasa..

Au la, fanya mambo yako kama mwanaharakati huru. Na hapo walipo, ndipo mahali pao...

Ni makosa kuiingiza CHADEMA kwenye harakati zao kwa position yao na inapowakatalia kushiriki pamoja nao waelewe na si kuwanalaumu wenzao..
Chama kipya kitapunguza nguvu ya UMOJA wa watz na nguvu ya CDM kama main opposition party.
Sio kweli...
Mpaka sasa kuna legally registered political parties zaidi ya 20. Kipi kimeipunguzia kasi CHADEMA hata kukitoa kwenye position yake?
Narudia HOJA za Mbowe hazikuwa na mashiko.
Kwanza kumbuka hizo sio hoja za Freeman Mbowe. Hizo ni hoja na ni msimamo wa CHADEMA kama taasisi uliotolewa na Mwenyekiti wao..

Na hoja hizo zina mashiko na impact kuliko udhaniavyo. Na huyu ndiye kiongozi hasa...

Na kila mtu mwenye akili anaweza kuthibitisha sasa kuwa, kumbe CHADEMA kina akili na kina viongozi wanaoona hatari iliyo mbele yao na kuikwepa kirahisi. Ndiyo maana kipo na kitaongoza nchi hii kama chama tawala muda si kitambo...

Siasa za Tanzania zinahitaji umakini na sio mihemko na pupa. Dr Wlbroad Slaa na wenzake wako emotional sana. Mikakati yao ni very fragile and predictable..

Nakuhakikishia kitu komoja kuwa, hawatafanikiwa na wanaweza kuzimwa kirahisi sana unless wamerudi kwenye drawing board na kwa hekima na heshima wawavute wenzao na kupanga mikakati Kwa utaratibu wa pamoja step by step..!
 

..ila hoja za Mwabukusi kwamba vyama vya upinzani ni magenge maslahi ya ubunge na ruzuku ina mashiko!?
 
Huu sio uchochezi, huoni mikutano ya Lissu hapewi umuhimu?
Mbowe anatmia chopa Lissu magari.
Mbowe mkutano unapambwa lkn Lissu majukwaa mabovu.

Japo Lissu anajaza watu kwa mvuto wake wa kujenga hoja.
Funguka
Mbowe anajaza watu Kwa chopa
 
Naimani kubwa na viongozi wa chadema.

Wapumbavu/vigeugeu kama slaa wafie mbele ka magufuri.

Wanataka kutumia chadema kama platform ili waonekane na wao kama wapigania haki za wananchi.

Waache usenge
 

..kwani mikutano ya Chadema ya operation 255 katiba mpya ina tatizo gani?

..badala ya kuwapa moyo kwanini mnawakatisha tamaa waandaaji wa mikutano hiyo?

..adui yetu ni Ccm sio Chadema.
 
Achana na Chadema hangaika na ccm yako.
 
..kwani mikutano ya Chadema ya operation 255 katiba mpya ina tatizo gani?

..badala ya kuwapa moyo kwanini mnawakatisha tamaa waandaaji wa mikutano hiyo?

..adui yetu ni Ccm sio Chadema.

Kwani mikutano ya kina Mwabukusi ilikuwa na tatizo gani ku merit response hii?


View: https://m.youtube.com/watch?v=63aDMuscAFU
Wewe unaona ni sawa bin sawia?

Bado wapi umeona tatizo na +255 na awaye yote au hata hili la kukatisha tamaa unalosema?
 
Hizo confrontation politics ambazo wanataka Mbowe aende nazo dhidi ya misisiyemu watakaoumia ni cdm wala siyo misisiyemu.Kibaya zaidi watz majority hawaziwezi siasa za hivyo kwa sababu ya uoga wa police na vizimba vya mahakama
 
Suala ni kuanzisha chama chako tu . Ofisi za msajili ziko hapo kwa Ajili ya kazi hiyo wala idadi haina limit no room for lamentations
 
Mbowe ningemdharau sana kama angeshiriki haya maandamano ya akina Slaa na Mdude, mtu yoyote mwenye akili aliyeona ile press conference yao ya kuipa serikali siku 30 angesema hawa watu ni vichaa
Kwanza Chadema kama taasisi haiwezi kuburuzwa na kuingizwa mzobemzobe kwenye movement ambayo wamehusishwa kwetu final stage tu . Waache akina slaa waendelee
 
..nyinyi ambao sio chawa wa Mbowe mmefanya nini? Mbona inaonekana hamna mbadala wa mtu, na hata ideas?
Wanakuambia kwamba Mbowe wanaanza naye vizur kisha anawabutua dakika za mwisho
 
Mtego wa Kitengo tumeuvuka salama Mungu mkubwa.

✌️✌️✌️
 

..response hiyo ni baada ya Adv.Mwabukusi kudai vyama vya upinzani ni magenge ya kusaka ubunge na ruzuku na havitetei maslahi na agenda za wananchi. Na Mbowe ametumia DIPLOMASIA na busara kuwajibu Sauti ya Watanzania.
 
..suala la maandamano halipaswi kuharakishwa.

..wacha mikutano ifanyike kuelimisha wananchi, na wakishahamasika ndio maandamano yafanyike.
Miaka 30 mikutano inafanyika bado Wananchi awajahamasika?
 
..response hiyo ni baada ya Adv.Mwabukusi kudai vyama vya upinzani ni magenge ya kusaka ubunge na ruzuku na havitetei maslahi na agenda za wananchi. Na Mbowe ametumia DIPLOMASIA na busara kuwajibu Sauti ya Watanzania.

Si ulisema hakuna mgogoro unakuzwa na watu? Tena ukasema suluhu ni kupoteza muda? Sasa haya ya uliyoandika hapa ya Nini Tena?
 
Ngombe wewe Mbowe anafungwa magereza miezi 8 kuna kima aliandamana ili Mbowe achiwe?
Hakuna mwenye akili TIMAMU aandamane kwa ajili ya maslai binafsi ya mtu flani.Angekua anapigania maslai ya wananchi Mbowe asingekaa ndani hata nusu dk
 
Matarajio yetu kwa Mwamba Mbowe yako pale pale.

Huko Maria Space Bundi waliohongwa ili watengeneze mgogoro ndani CHADEMA tunawajua.

People's Power ✌️✌️✌️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…