Vipi?Kwa maoni yako na kwa mujubu wa mwenendo wa kesi umeona kuna mahala pametajwa kwamba Mbowe anashtakiwa kwa kushirikiana na wanajeshi??
Enhe akiomba radhi asemeje ? Ebu msaidie wewe ambaye ni baba yako.Sio baba yako, hata akifungwa hutapoteza wala kupungukiwa chochote..
Familia isiwe wajinga kutumika kisiasa..
Tujiandae kisaikolojia. FAM leo hawezi kuwa huru. Watesi wake bado hawajapata wanachokitaka toka kwake. Wanataka FAM awaombe msamaha kama mbinu ya kumuua kisiasa. Jaji tayari ana hukumu yake mfukoni na maelekezo mezani kwake.
Tujiandae kwa utetezi.
Asanteni sana wakuu mliojitoa kutuhabarisha toka kesi hii imeanza Nyendo , The Sheriff , Suley2019 na wengine.
Hii kesi ikiisha leo tutamshukuru sana Mungu, Mheshimiwa Mbowe na Makomandoo waungane na Familia zao, mapambana ya kudai katiba Mpya yaendelee
Hii akili ungekuwa nayo tangu miaka hiyo, walahi sasa hivi ungekuwa mbali, akili ile ilikuchelewesha sana walahi!!!
Alikuwa na simu ya kurekodi kinachozungumzwa na hii nyingine ametumia kuchapa maneno kwa ku-play ile aliyerekodi. Ndivyo inavyokuwa, kwa hiyo hakuna muujiza hapo, hata darasa la saba angeweza kuchapa bila kukosea!Niko kama wewe nimejiuliza sana kuhusu huyu mtu, speed yake katika typing ni hatari.
Yeah mkuuWatu wengi wamepanic ila kwa kesi hii ambayo ni ya ugaidi na uhujumu uchumi ,ukizingatia na uzito wake isingekua rahisi kwa jaji kuitupilia mbali.
Japokua itakost maisha ya watu gerezani lakini mwaka huu kila kitu kitafunuliwa .
Tutegemee kuona maajabu na uozo wa huu mchongo ulivyo.
Kuna baadhi ya viongoz watawajibishwa kwa hili ,kichama na kiserikali
IGP jiandaye ni shaid mmojawapo 'sabaya naye ajiandaye na kingai naye ngoma ngumu kwenu
Wengi mmemcheka kibatala kwa baadhi ya maswali aliyoyauliza kwamba mengi yalikua hayahusiani na hii kesi ila mtashuhudia majibu yake kipindi cha pili.
Kipindi cha kwanza serikali imeogea mvua ya magoli 'sasa hivi kipindi cha pili wanataka majina ya mashahidi 'hahaaaa watanzania tuwe na subra mema yanaijia tanzania
Nani sasa UvCcm?
Serikali enyewe haikatagi PAYE au NSSF kwa casuals leo Mbowe ndo alazimike kulipa PAYE casuals wake? Wewe mbona hujawahi kupeleka PAYE au NSSF ya housegirl wako?Mahakama iko sahihi kuna kesi ya kujibu kama hao makomandoo waliajiriwa kama walinzi wa mbowe au Lisu je taratibu za ajira zikizingatiwa? Wakkatwa Kofi ya mapato ya TRA na NSSF kipindi chote cha hiyo ajira yao iwe ya siku moja au wiki au nk sababu ukiajiri kibarua hata kwa Siku moja lazima ukate TRA na NSSF
Hao makomandoo waliajiriwa kwa mkataba UPI? It appears waliitwa kwa ajira IPI hiyo isiyotambuliwa sheria za ajira,NSSF na TRA? Kama siio ugaidi
Tuna solder huku mtaani wastaafu wapo kwenye kazi za ulinzi hata kwenye sheria za kuanzisha kampuni ya ulinzi moja ya sharti la kugungua lazima one of director awe ameshapitia vyombo vya ulinzi na usalamaOnce a soldier u die a soldier! Wale wana viapo na wengi bado wanatumika na dola. Hapo Mbowe alijichanganya. Wengi wastaafu wanakua kama wapelelezi. Kupata wataoside na wewe in 100% ni ngumu mno.
Binafsi huwa sijawahi kuwaamini maaskari au wastaafu...wote wanoko tu!
Jaji hajakosea,hajamtia mtu hatiani ,amesema washtakiwa Wana kesi ya kujibu.Inabidi wajitetee ili kuraise doubt katika ushahidi wa prosecution ndo hukumu itatoka.Justice was not served. Huyo jaji ni pussy ass. Hope he gets to meet an early death for such a plain and gross injustice.
kuna yule mmoja nafikiri ni Likwenya baada ya kufukuzwa jeshini kwa utovu wa nidhamu yeye aliamua kwenda kujishughulisha na upasuaji wa kokoto,na yeye anasema barua ya kuondolewa jeshini anayo,je angeishiji mtaani ama wao wanatakiwa waishi kwa kujikimu vipiOnce a soldier u die a soldier! Wale wana viapo na wengi bado wanatumika na dola. Hapo Mbowe alijichanganya. Wengi wastaafu wanakua kama wapelelezi. Kupata wataoside na wewe in 100% ni ngumu mno.
Binafsi huwa sijawahi kuwaamini maaskari au wastaafu...wote wanoko tu!
Kwani amesha wafunga au wanatakiwa kujibu kesi, kujitetea?!Vipi maombi yako yamesikilizwa au?,[emoji23][emoji23][emoji23] Shukrani zimwendee jaji anayesimamia kesi hii,Kama yumo humu naomba aje PM yangu nimpe ya bia[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa maoni yako na kwa mujubu wa mwenendo wa kesi umeona kuna mahala pametajwa kwamba Mbowe anashtakiwa kwa kushirikiana na wanajeshi??
Badala ya kujionea huruma wewe mwenyewe kwa kuwa mjinga! Eti unawaonea huruma watu wengine! Maajabu haya.