Watu wengi wamepanic ila kwa kesi hii ambayo ni ya ugaidi na uhujumu uchumi ,ukizingatia na uzito wake isingekua rahisi kwa jaji kuitupilia mbali.
Japokua itakost maisha ya watu gerezani lakini mwaka huu kila kitu kitafunuliwa .
Tutegemee kuona maajabu na uozo wa huu mchongo ulivyo.
Kuna baadhi ya viongoz watawajibishwa kwa hili ,kichama na kiserikali
IGP jiandaye ni shaid mmojawapo 'sabaya naye ajiandaye na kingai naye ngoma ngumu kwenu
Wengi mmemcheka kibatala kwa baadhi ya maswali aliyoyauliza kwamba mengi yalikua hayahusiani na hii kesi ila mtashuhudia majibu yake kipindi cha pili.
Kipindi cha kwanza serikali imeogea mvua ya magoli 'sasa hivi kipindi cha pili wanataka majina ya mashahidi 'hahaaaa watanzania tuwe na subra mema yanaijia tanzania