Jidanganyeni safari hii kuna Mahakama ya Kimataifa na tuliasiniZamani sana hii, sikua hata naelewa vizuri maana uchaguzi ila ndio lilikua chimbuko la neno ngunguri
GENTAMYCINE Ulikua wapi kipindi kile
View attachment 1612049.....
Wanalipwa teuzii
Teuzi ni nyingi tunafyeka maDC,RC,DAS,RAS,RSO,mabalozi ,MaDED ,wakurugenzi wa mashirika ya umma,Wenyeviti wa taasisi za serikali nk
Nadhani unatakiwa taasisi ya urais isafishe vibaraka wa mafisadi zaidi ya 100K
Kumbuka Chadema walifungiwa mikutano ya hadhara CCM ikawa peke yake
Kumbuka pia CCM imetumia Mabilioni ya fedha ili kuiuwa Chadema
Kipindi hiki nilikuwa ninapata 'Elimu' yangu ya 'Ordinary' na 'Advanced' kutoka kwa 'Walimu' wa Kiganda na Taifa zuri 'Kielimu' hapa EAC la Uganda.Zamani sana hii, sikua hata naelewa vizuri maana uchaguzi ila ndio lilikua chimbuko la neno ngunguri
GENTAMYCINE Ulikua wapi kipindi kile
View attachment 1612049.....
Mlisema nyie kuwa Nyomi sio kura ama?mm sjasema kuhusu nan alikua anafanya siasa miaka minne, nmesema chadema nliokua naijua 2015 na inaonekana apa ni mda wa kuwaonea huruma, lissu ameenda arusha watu waliompokea skutegemea, nmeangalia kuanzia yupo njiani mpaka anafika town, yaani barabara nzima, tengeru, philips, sanawari , mianzini mpaka sku anarudi sina la kusema zaidi ya huruma itumike tu, mna hali mbaya!
- nkiangalia jinsi ccm wameingia moshi na arusha kuanzia himo watu waliokua barabaran mpaka mkutano mkuu, sina usemi
Heshma yako bro👍Kipindi hiki nilikuwa ninapata 'Elimu' yangu ya 'Ordinary' na 'Advanced' kutoka kwa 'Walimu' wa Kiganda na Taifa zuri 'Kielimu' hapa EAC la Uganda.
Mlisema nyie kuwa Nyomi sio kura ama?
Watanzania Leo Kuna jamaa yangu kaniambia yupo kwenye usimamizi wa uchaguzi
Sasa semina Yao ya siku mbili iliyoanza leo wamepewa 80000/=
Chakushanga maneno waliyoambiwa kwamba presha huku nje ipo kubwa sana kwaiyo ikiwezekana kuua wakala waue tu ili mradi Maghufuri ashinde.
Kwanza walitolewa wote ambao walifatiliwa habari zai zikaonekana zinavinasaba vya upinzani.
Jaman tuweni makini uchaguzi huu ni hatari sana Kuna watu wapo tayari kuwa ili Meko ashinde usimwamini mtu.
Haki huinua TAIFA
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mwaka huu mh mbowe tutagombana ,maana mh lissu akisha kua rais anatakiwa kuniteua Mimi kuwa waziri mkuu kwa kweli....(natania ndugu zangu ,Mimi nawaombea katika yeye hatupae pumzi)Mbowe amesema katika saa 72 zijazo Tundu Lissu atakuwa Rais wa Tanzania na Mimi nitakuwa Rais
Chanzo: Mwananchi online
====
Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema ndani ya saa 72 zijazo, mgombea wao wa Urais, Tundu Lissu anakwenda kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mbowe ametoa kauli hiyo leo Jumapili Oktoba 25 katika mji mdogo wa Bomang'ombe wilaya ya Hai wakati akihutubia mkutano wa hadhara wa kampeni huku akisema Mungu akipenda, yeye anakwenda kuwa Waziri mkuu.
Hata hivyo, Mbowe ambaye pia anagombea ubunge jimbo la Hai, alitahadharisha kuwa kitendo chochote cha kuwazuia mawakala wao 80,160 nchi nzima wasiingie kwenye vituo vya kupigia kura Oktoba 28, kunaweza kubadili historia ya Tanzania.
Hivyo, aliisihi Tume ya Taifa ya Uchaguzi na vyombo vya Usalama, kuhakikisha hakuna jaribio lolote la kuwazuia mawakala wao kuingia kwenye vituo kusimamia upigaji kura na wao watakuwa tayari kukubali matokeo kama uchaguzi utakuwa wa huru na haki.
"Uchaguzi huu sio kati ya Chadema na CCM wala uchaguzi huu sio kati ya Lissu na Magufuli (mgombea urais wa CCM) bali ni kati ya wanaopenda uhuru na haki na waliokandamiza uhuru na demokrasia," alisema Mbowe.
Mbowe amesema wamezunguka mikoa yote ya Tanzania na wananchi wapo tayari kufanya mabadiliko ya uongozi na kusisitiza kuwa kwa mwonekano na hamasa waliyoionyesha Watanzania, Lissu anakwenda kuwa Rais ndani ya saa 72 zijazo.
Hivyo, ameitaka NEC kuhakikisha uchaguzi huu hauvurugwi kwa namna yoyote kwa sababu gharama yake itakuwa kubwa na kusisitiza kuwa wako tayari kukubali kushindwa kama NEC na vyombo vingine vitahakikisha uchaguzi umekuwa wa wazi, huru na haki.
Ni hatari sana kuunga mkono chama ambacho hata viongozi wake ndani ya chama hawajaungana - waziri mkuu mstaafu Mzee Sumayemm sjasema kuhusu nan alikua anafanya siasa miaka minne, nmesema chadema nliokua naijua 2015 na inaonekana apa ni mda wa kuwaonea huruma, lissu ameenda arusha watu waliompokea skutegemea, nmeangalia kuanzia yupo njiani mpaka anafika town, yaani barabara nzima, tengeru, philips, sanawari , mianzini mpaka sku anarudi sina la kusema zaidi ya huruma itumike tu, mna hali mbaya!
- nkiangalia jinsi ccm wameingia moshi na arusha kuanzia himo watu waliokua barabaran mpaka mkutano mkuu, sina usemi
Nawe pia Heshima yako japo sijajua kama Wewe ni 'Brother' kama Mimi au labda Wewe ni 'Sister' japo kwa 'ID' yako 'ninahisi' utakuwa ni Ndito tu.Heshma yako bro👍
ukitaka kujua matokeo ya uchaguzi mzima wa kesho kutwa, hii video ina majibu yote! shirikisha ubongo maaana data anazosemaMlisema nyie kuwa Nyomi sio kura ama?
Bila Wizi na uenguaji ilikuwa tunapiga 70% kwa sababu ya mpango ya Wizi Mimi nilikuwa mwanaCCM najua- yes excatly! hapo unapata hint tu, ndo maaana nkasema chadema ya 2015 na hii nayoona apa ni mnahitaji huruma tu, sasa ntasema nn zaidi ya hii, mm najua PCS zenu lakini sio kwamba nmeangalia nyomi najua tu kura zenu znacheza 20% to 30%, kuanzia 2020 imeanza mpaka leo mnachezea apo statistically, natumia na data za 2015 pia
Mimi sister👍Nawe pia Heshima yako japo sijajua kama Wewe ni 'Brother' kama Mimi au labda Wewe ni 'Sister' japo kwa 'ID' yako 'nahisi' utakuwa ni Mwanamke.
Exit Polls ndio Ramli muhimuukitaka kujua matokeo ya uchaguzi mzima wa kesho kutwa, hii video ina majibu yote! shirikisha ubongo maaana data anazosema
ni watu walilipwa kufanya uchunguzi huu utajua wap mnakosea na mwaka huu mnatoka na ngap