Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo alimsaidia Lissu kwa makubaliano ya aina gani?Nimemsikiliza Mbowe ktk part 2 ya mahojiano na Kikee , ameongea mengi sana.
Jinsi alivyomsaidia Lissu ktk siasa
Lilinifurahisha zaidi kwamba uchaguzi live kwa kila kura itayopigwa itaonyeshwa live kapigiwa nani. Inaamaana TV zote mpaka za ubelgiji zitakuwepo ukumbini kuonesha kura hii kapigiwa nani na hii kapigiwa nani.
Hii ndio itayomuabisha lissu ktk uchaguzi na ashindwe kuamini, maana swala la kuibiwa kura kwake litakua halipo. Ataanguka vibaya sana
Namshauri Lissu ajitoe kinyang'anyiro hichi
HahahaKwa hiyo alimsaidia Lissu kwa makubaliano ya aina gani?
Kabisa mkuu hata kama ulimsaidia mtu katika mdomo wa mauti huna guarantee ya kumwua Kwa kudai kuwa bila wewe angeshakufa/angeshakufaUkimpa mtu msaada usiutumie kama silaha ya kumuadhibu pale anapokuwa na mtizamo tofauti na wako.
Akitoboa mtasema kaiba kura.Safari hii hatoboi ameishiwa mbinu Mbowe .
Kasema wapi?LISSU ANANITUKANA UCHAGUZI UKIISHA HATUA ZITACHUKULIWA
-FREEMAN MBOWE
Kwenye mahojiano na Kikeke.
Kwani mbowe ana sera? Mbowe Hana lengo la dhati la kuitoa ccm madarakaniLissu na Heche na wananchi wengine wameweka nchi mbele zaidi ya matakwa yao binafsi. Mbowe bado anafikiri kugombea kwao ni kwasababu yake wenyewe wanafikiri ni kwasababu ya kusaidia taifa. Mbowe inabidi atoke kwenye kufikiri kibinafsi. Lengo hapa ni taifa na wenyewe wanafikiri wanaweza kuamsha watu wote kwa manufaa ya nchi. Mbowe bado hajajibu swali ni kitu gani tofauti atafanya tofauti
Hajasema hilo. Tafuta clip uisikilize...Sijawahi kuona lissu akimtukama mbowe, labda tafsiri ya matusi ibadilike
Tangu lini Mwenyekiti wa chama cha siasa amekuwa na sera? Sera ni ya chama, sio ya Mwenyekiti.Kwani mbowe ana sera? Mbowe Hana lengo la dhati la kuitoa ccm madarakani
..hapana.
..uchaguzi wa Chadema kushuhudiwa na viongozi wa Dini, na Mabalozi, ni kuionyesha DUNIA jinsi uchaguzi huo ulivyo safi, huru, na wa kuaminika.
..utakuwa fundisho hata kwa nchi nyingine marafiki, na hata taasisi za kidini.
Mbowe amelijibu. Amesema Lissu kama mwanasheria anajua au anapaswa kujua Vienna Protocol inapiga marfuk mabalozi kujihusisha na siasa za ndani.
Kasema watakachofanya ni kuruhusu kwa mara ya kwanza waandishi na camera kwenye ukumbi, kinyume na kanuni za uchaguzi za chama. Kamati Kuu itapitisha kwa madhumuni mapana.
Hatuhitaji foreign agents to monitor our elections. Huwezi hata kujisimamia uchaguzi wa chama cha upinzani we Mwafrika. Utaweza nini, mchango wako ni nini hapa duniani, kuchonga vinyago vya mpapule ?
We good. We got it.
Foreign agent yeyote atakaekuja kwenye ukumbi wa uchaguzi atapokelewa na tangazo la GTFO
📌🔨Na pia mkuu wakasema, "Hakuna adui wala rafiki wa kudumu isipokuwa maslahi! '"