Kimekugonga mfupani mh Mtuhuru [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91]
Kwa mara ya kwanza nashuhudia chairman umepanic!
Makonda amerudi utakwenda tena lockdown dadeki!
Bandari ni zaidi ya maridhiano,bandari inagusa maslahi ya NCHI maridhiano ni mambo binafsi,unafikiri Kwa kutumia niniYeye Mbowe anaaminika?
Aweke hadharani Maridhiano tuyaone
Kuongoza Chadema ni Kazi rahisi sana kwa sababu Wanachama hawana Vichwa ni shingo tu!Mbowe kamgomea makamu wake Lissu kumpa nakala ya Maridhiano ila anataka Mikataba iwekwe hadharani
Nime screenshot comment yako Kwa kumbukumbu. Asante Kwa maoni Bora Sana.Ukweli ni kwamba, tukiukubali uhuni wa IGA, tumeuza vizazi vyetu vyote.
Mpaka sasa IGA ipo vile vile, hakuna kilichobadilika. DP wakati wowote huko mbeleni wana uwezo wa kutudani tutimize masharti ya IGA, tukigoma, tutashtakiwa, na lazima tutalipishwa kwa kukiuka makubaliano.
Siku hizi za mwanzoni wanaweza wasitudai chochote kuhusiana na IGA, ili tujisahau na tuamini kuwa IGA haipo, lakini huko mbeleni ni lazima watatugeuka.
Utasema yote Komredi Makonda karejea jiandae kurudi Dubai 😀🔥
DuaRais Samia asifikiri kumweka Makonda kwenye nafasi hiyo ndio nafuu kwake, hapa, anajidanganya, tena huyo Makonda tuna kazi naye atakapokuja mtaani kwetu, lapili kama mkataba wa DP World umebeba maoni kweli ya wananchi atakuwa salama, kama kafanya janja janja hawezi kubaki salama kisiasa, sababu watu walifanya dua mbalimbali Na kwa makundi mbalimbali, tuone mwisho wake
Wew tumika tu kama life gurd afu unatupwaVipi umeshapona ukichaa wako ulioupata baada ya uteuzi wa komandoo Makonda? Maana akili ilikuruka ghafla
Kwa hiyo tumeachana na maandamano ya kina Mzee Slaa tunahamia kwny maombi?Rais Samia asifikiri kumweka Makonda kwenye nafasi hiyo ndio nafuu kwake, hapa, anajidanganya, tena huyo Makonda tuna kazi naye atakapokuja mtaani kwetu, lapili kama mkataba wa DP World umebeba maoni kweli ya wananchi atakuwa salama, kama kafanya janja janja hawezi kubaki salama kisiasa, sababu watu walifanya dua mbalimbali Na kwa makundi mbalimbali, tuone mwisho wake
Unamzungumzia Pascal aliyeambulia kura 1 ya maoni ?Pascal Mayalla kasema Mbowe keshapigwa dafrao😁😁🤣😂
HujakoseaCCM nailinganisha na shetani
We umewahi kushinda kesi gani?Weka ushahidi wa uyasemayo, huo wa nchi zingine.
Kumbuka mahakama zipo aina mbili, kuna mahakama za wazi na kuna mahakama za chamber. Amazo hata huelewi kinajadiliwa nini humo.
Anayepewa ushauri akusikiliza bila kuufanyia kazi, huyo ni nusu mtu
Anayepewa ushauri akausikiliza na akaufanyia kazi huyo ni mtu kamili.
Anayepewa ushauri asiusilize kabisa, huyo ni mtu sifuri, hakuna mtu hapo.
Wewe ni mkongwe JF. Jaribu kubalance hisia hasa unapowaongelea viongozi wategemewa na wananchi.Tatizo la chadomo na mwenyekiti wao, hawana sera ya chama chao, wao huwa wanadandia matukio tu.
Wanasikitisha sana.
Kwa mama Samia wamefika, yeye huwa hajibu kabisa ujinga. Siasa zao za kuchokoza (provoke) pale zimegonga mwamba.
Tutabishana nao sisi tu JF hapa, mama akiibuka ni kazi tu.
Nchi yetu imejaa wajinga wengi sana kiasi kwamba wale wenye akili wanaonekana ndio wajinga na wajinga wanawekwa kundi la werevu.Akihutubia Maelfu ya Wananchi huko Nkasi kwenye ile Oparesheni Kabambe inayoitwa Oparesheni 255 okoa Bandari zetu, Mwenyekiti wa Chadema, Feeman Mbowe, amesema Rais Samia haaminiki na ili tuamini kile kilichosainiwa jana alichodai ni mkataba wa bandari na DP WORLD ya Dubai basi mkataba huo uwekwe hadharani. Hii ni kwa sababu tunaweza kuwa tumepigwa (zilongwa mbali zitendwa mbali).
Awali Wananchi walimtaka Mbowe aombe nakala ya mkataba huo ili wauone na kujiridhisha kama kilichosemwa ndicho kilichoandikwa .
Kama Mbowe alidiriki kuchukua pesa mwaka 2015 kama unavyodai huoni maoni yako yanadharilisha mifumo yetu inayosimamia utawala bora hasa Takukuru ambayo walikuwa na wajibu wa kumkamata Mbowe kupokea rushwa au kuviolate sheria ya uchaguzi?Hizo allegation zisizo na kichwa wala miguu mtaziacha lini?Mbowe aache utapeli wake hapa wa kuwahadaa wafuasi wake ambao alishawachukulia kama manyumbu wake. Yeye ndiye haaminiki ambaye alishakifanya chama kama mradi wake binafsi, ndio maana aliuza chama 2015 akapiga pesa zake akatulia pembeni akawa anatumbua tu pesa kwa raha zake.
Mbowe huyo huyo alikuwa anakirundikia chama madeni yasiyo hata risiti wala makubaliano lakini akawa anajilipa tu kupitia watu wake aliowachomeka kijanja. Miaka yote Mbowe amekuwa akitafuna Ruzuku kama mchwa mwenye njaa mpaka akashindwa hata kujenga choo tu cha ofisi pale kwenye ofisi za kupanga. Mbowe alishindwa kupaka hata rangi tu ya ofisi zile za kupanga wanazoendelea kubanana utafikiri mbuzi wa mnadani.
Sasa Mbowe ataaminika kwa nani zaidi ya nyumbu wake wasiojitambua? Nani atamsikiliza Mbowe aliye dalali mkuu wa kutumia chama kwa manufaa yake binafsi huku wanachama wakitumika kama makarai tu?
Rais wetu anaaminika na ndio maana Anaendelea kuungwa mkono na watanzania wote ikiwepo viongozi wa Dini zote hapa nchini. Mbowe akae kwa kutulia na kuendelea kutafuna pesa za nyumbu wake.
IGA bila ya kuziondoa zile sheria walizoanza kuzifanyia kazi na kupeleka mswada Bungeni, na baadae kuondoa kwa aibu; hiyo IGA haina nguvu.IGA iko vilevile.
Kitanzi kipo palepale
Samia akishaondoka
Majaliwa akishaondoka
Mpango akishaondoka
IGA IKO VILEVILE!
Badala ya kupambana na SHUGHULI zetu ili kujikwamua KIUCHUMI, tunakazana kuwasikiliza Akina Mbowe ambao hata njaa HAWANA....maana utawakuta Ikulu wakinywa chai na Mama...Akihutubia Maelfu ya Wananchi huko Nkasi kwenye ile Oparesheni Kabambe inayoitwa Oparesheni 255 okoa Bandari zetu, Mwenyekiti wa Chadema, Feeman Mbowe, amesema Rais Samia haaminiki na ili tuamini kile kilichosainiwa jana alichodai ni mkataba wa bandari na DP WORLD ya Dubai basi mkataba huo uwekwe hadharani. Hii ni kwa sababu tunaweza kuwa tumepigwa (zilongwa mbali zitendwa mbali).
Awali Wananchi walimtaka Mbowe aombe nakala ya mkataba huo ili wauone na kujiridhisha kama kilichosemwa ndicho kilichoandikwa .