Mbowe vs Lissu = Mtoto wa mjini VS Bushman.. Wewe upande Upi?

Mbowe vs Lissu = Mtoto wa mjini VS Bushman.. Wewe upande Upi?

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Nianze Kwa kukutoeni wenge. Siasa ni mchezo mchafu.

Hakunaga mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili ya watu wengine.

Kila mwanasiasa yupo Kwa ajili ya maslahi Yake binafsi.

So kama una Amini Kuna mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili yako Basi jua wewe bado mtoto mdogo.

Mbowe yupo Kwa ajili ya maslahi Yake na Lissu yupo Kwa ajili ya maslahi Yake.

Back to the point.

Vita Kati ya Lissu Vs Mbowe ni Vita Kati ya mtoto wa mjini Mbowe vs Bushman Lissu.


Mbowe akishindwa itakuwa ni pigo Kwa watoto WA mjini wote.


Kwamba Mbowe mtoto WA mjini kazidiwa mbinu na Lissu kutoka kijijini.


Yatakuwa ni yale Yale ya Nyerere vs Tanu.

Tanu watoto WA mjini wakazidiwa maarifa na Nyerere kijana kutoka Mkoa WA Mara ambae hata Kiswahili chake tu kilikuwa na Matege.


Uncle Mbowe ukishindwa uchaguzi huu utakuwa umewavua nguo watoto wote wa mjini.

Utafanya watoto WA mjini waonekane mafala tu mbele ya mabush men.


Go Mbowe.. I believe unaweza. Usikubali kushindwa na Bushman.

Wewe ni mtoto wa mjini. Huwezi shindwa na Mabush men...

FAM mbele Kwa mbele
 
Watoto wa bush noma au umemsahau mzee wa kolomije alivyowapa tabu watoto wa mjini. Mzee wa kolomije yule jamaa anajua kupigana vita balaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tena Bushman.. tumekaa hapaaa.. huyo Bowe hana utoto wa mjini wowote.. tapeli wa siasaaa . Sasa hivi zimefika 40 zake.. na kaisha elekea kibla
Mpira ni dakika tisini
 
Mpira ni dakika tisini
Hata 🎾 ni mpira na basketball pia .. na kitenesi nacho... Akikaa mshale unatoboa kichwaaa.. aondoke tu.. watu washajua janja yake.. hakuna marefu yasio na misho
 
Nianze Kwa kukutoeni wenge. Siasa ni mchezo mchafu.

Hakunaga mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili ya watu wengine.

Kila mwanasiasa yupo Kwa ajili ya maslahi Yake binafsi.

So kama una Amini Kuna mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili yako Basi jua wewe bado mtoto mdogo.

Mbowe yupo Kwa ajili ya maslahi Yake na Lissu yupo Kwa ajili ya maslahi Yake.

Back to the point.

Vita Kati ya Lissu Vs Mbowe ni Vita Kati ya mtoto wa mjini Mbowe vs Bushman Lissu.


Mbowe akishindwa itakuwa ni pigo Kwa watoto WA mjini wote.


Kwamba Mbowe mtoto WA mjini kazidiwa mbinu na Lissu kutoka kijijini.


Yatakuwa ni yale Yale ya Nyerere vs Tanu.

Tanu watoto WA mjini wakazidiwa maarifa na Nyerere kijana kutoka Mkoa WA Mara ambae hata Kiswahili chake tu kilikuwa na Matege.


Uncle Mbowe ukishindwa uchaguzi huu utakuwa umewavua nguo watoto wote wa mjini.

Utafanya watoto WA mjini waonekane mafala tu mbele ya mabush men.


Go Mbowe.. I believe unaweza. Usikubali kushindwa na Bushman.

Wewe ni mtoto wa mjini. Huwezi shindwa na Mabush men...

FAM mbele Kwa mbele

Mbowe ni pandikizi (undercover) wa wale jamaa wavaa kaunda suti, hata kugombea uenyekiti wa Chadema ni shinikizo kutoka kwa hao mabwana zake ili ku-suppress harakati za kweli za kupigania mabadiliko, Haki na demokrasia. Mbowe hana tofaufi na Augustine Mrema, John Cheyo, au Prof. Ibrahim Lipumba.

Mbowe siyo dhamiri yake kugombea cheo cha uenyekiti wa Chadema Mwaka huu, isipokuwa ameshinikizwa na hao waajiri wake wa kificho, hana uwezo wa kuwakatalia na Wala hawezi kujitoa kwenye kugombea cheo hicho huko Chadema kwa sababu yupo anatekeleza 'special mission' aliyotumwa kuitekeleza. Kwa kawaida, Mwanajeshi kukataa kutii AMRI ya kutoka kwa Kamanda wake inahesabika kuwa ni UHAINI.
 
Nianze Kwa kukutoeni wenge. Siasa ni mchezo mchafu.

Hakunaga mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili ya watu wengine.

Kila mwanasiasa yupo Kwa ajili ya maslahi Yake binafsi.

So kama una Amini Kuna mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili yako Basi jua wewe bado mtoto mdogo.

Mbowe yupo Kwa ajili ya maslahi Yake na Lissu yupo Kwa ajili ya maslahi Yake.

Back to the point.

Vita Kati ya Lissu Vs Mbowe ni Vita Kati ya mtoto wa mjini Mbowe vs Bushman Lissu.


Mbowe akishindwa itakuwa ni pigo Kwa watoto WA mjini wote.


Kwamba Mbowe mtoto WA mjini kazidiwa mbinu na Lissu kutoka kijijini.


Yatakuwa ni yale Yale ya Nyerere vs Tanu.

Tanu watoto WA mjini wakazidiwa maarifa na Nyerere kijana kutoka Mkoa WA Mara ambae hata Kiswahili chake tu kilikuwa na Matege.


Uncle Mbowe ukishindwa uchaguzi huu utakuwa umewavua nguo watoto wote wa mjini.

Utafanya watoto WA mjini waonekane mafala tu mbele ya mabush men.


Go Mbowe.. I believe unaweza. Usikubali kushindwa na Bushman.

Wewe ni mtoto wa mjini. Huwezi shindwa na Mabush men...

FAM mbele Kwa mbele
Mbowe atakua bwege sana kama ameachiwa chama na baba mkwe wake,kinachoingiza mabilioni kwenye ukoo,Kisha aje kuwapa wakuja tu,
Nitamshangaa sana aisee
 
Mbowe ni pandikizi (undercover) wa wale jamaa wavaa kaunda suti, hata kugombea uenyekiti wa Chadema ni shinikizo kutoka kwa hao mabwana zake ili ku-suppress harakati za kweli za kupigania mabadiliko, Haki na demokrasia. Mbowe hana tofaufi na Augustine Mrema, John Cheyo, au Prof. Ibrahim Lipumba.
Inabidi ashinde Sasa uchaguzi asikubali kushindwa na mafala kama Kina Lissu
 
Mbowe atakua bwege sana kama ameachiwa chama na baba mkwe wake,kinachoingiza mabilioni kwenye ukoo,Kisha aje kuwapa wakuja tu,
Nitamshangaa sana aisee
Mimi pia nitamshangaa zaidi
 
Waliomtuma Walimsaidia, Wanamsaidia na wataendelea kumsaidia Mbowe mpaka afanikishe vizuri mission waliyomtuma, hili liko wazi kabisa.
Insha' Allah.🙏🙏🙏

Personally sitaki kabisa Lissu achukue Uenyekiti Kwa sababu ana utoto utoto mwingi Sana . Halafu yupo kama kichaa vile anaweza kuleta machafuko
 
Back
Top Bottom