Mbowe vs Lissu = Mtoto wa mjini VS Bushman.. Wewe upande Upi?

Mbowe vs Lissu = Mtoto wa mjini VS Bushman.. Wewe upande Upi?

Lissu kakosea kucheza karata zake, angeutaka uwenyekiti wa CDM angeupata tena kiulaini - alichotakiwa ni kuifanya Taasisi imuamni, taasisi ikukuamini moja kwa moja Mbowe angekuachia ili yeye kupumzika mkabaki mnasaidiana sababu Mbowe bado anahitajika sana CDM kama kiongozi mwandamizi wa chama.

Kitendo cha yeye kuanza mashambulizi nje ndani na kati tayari inamwondolea sifa ya kuwa kiongozi bora.
Uongozi ni pamoja na subira, ustahamilivu, kuongoza taasisi ya watu zaidi ya 10m Si lelemama, ndani kuna viumbe wa kila aina - utapigana na wangapi.

Mjumbe makini wa CDM anajua cha kufanya 21st.
100% Fact
 
Nianze Kwa kukutoeni wenge. Siasa ni mchezo mchafu.

Hakunaga mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili ya watu wengine.

Kila mwanasiasa yupo Kwa ajili ya maslahi Yake binafsi.

So kama una Amini Kuna mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili yako Basi jua wewe bado mtoto mdogo.

Mbowe yupo Kwa ajili ya maslahi Yake na Lissu yupo Kwa ajili ya maslahi Yake.

Back to the point.

Vita Kati ya Lissu Vs Mbowe ni Vita Kati ya mtoto wa mjini Mbowe vs Bushman Lissu.


Mbowe akishindwa itakuwa ni pigo Kwa watoto WA mjini wote.


Kwamba Mbowe mtoto WA mjini kazidiwa mbinu na Lissu kutoka kijijini.


Yatakuwa ni yale Yale ya Nyerere vs Tanu.

Tanu watoto WA mjini wakazidiwa maarifa na Nyerere kijana kutoka Mkoa WA Mara ambae hata Kiswahili chake tu kilikuwa na Matege.


Uncle Mbowe ukishindwa uchaguzi huu utakuwa umewavua nguo watoto wote wa mjini.

Utafanya watoto WA mjini waonekane mafala tu mbele ya mabush men.


Go Mbowe.. I believe unaweza. Usikubali kushindwa na Bushman.

Wewe ni mtoto wa mjini. Huwezi shindwa na Mabush men...

FAM mbele Kwa mbele
Machame hakuna mjini wewe.

Ulishawahi kusikia Machame Mjini?

Kama familia yako haikuwa Dar mwaka 1900 wewe wakuja tu.
 
Machame hakuna mjini wewe.

Ulishawahi kusikia Machame Mjini?

Kama familia yako haikuwa Dar mwaka 1900 wewe wakuja tu

Mbowe kazaliwa Dar mwaka 1961
 
Huyo anaamini kama uliishi mjini halafu haukuwahi kufanya kazi Disco na burudani, basi wewe ni sawa na kusema haujawahi kuishi mjini
Sasa sie watoto wa Jumbe Tambaza tuliogawa ardhi yetu hapo Dar mpaka ikajengwa hiyo iliyo Ikulu leo, tuliojenga misikiti na kutoa ardhi yetu makaburi watu wazikwe, lakini kwa sababu ya maadili ya kifamilia hatujaenda hizo Disco na sie si watoto wa mjini?

Sie wajukuu wa Pazi Chamgui, wazee wetu waliojenga hilo kanisa la Azania Front na kulimaliza mwaka 1903, ambalo Mbowe kalikuta na kasali tu bila kujua nani kajenga, lakini hatukuenda disco kwa sababu ya maadili ya familia, utasema na sisi si watoto wa mjini?
 
Sasa hivi yupo wapi🤣
Sasa hivi yuko A-city kwa wale wanaojiita wameshindikana. Naona kaanza na mbunge wao bila shaka madon na watoto wote wa mjini ashawatuliza. Jamaa akiingiai sehemu huwa anahakikisha hakuna anayevuma kuliko yeye.
 
Sasa sie watoto wa Jumbe Tambaza tuliogawa ardhi yetu hapo Dar mpaka ikajengwa hiyo iliyo Ikulu leo, tuliojenga misikiti na kutoa ardhi yetu makaburi watu wazikwe, lakini kwa sababu ya maadili ya kifamilia hatujaenda hizo Disco na sie si watoto wa mjini?

Sie wajukuu wa Pazi Chamgui, wazee wetu waliojenga hilo kanisa la Azania Front na kulimaliza mwaka 1903, ambalo Mbowe kalikuta na kasali tu bila kujua nani kajenga, lakini hatukuenda disco kwa sababu ya maadili ya familia, utasema na sisi si watoto wa mjini?
Mbowe kazaliwa mjini Daslamu mwaka 1961.

As a matter of fact hata Hao unao wasema ni wakuja tu. Wazaramo ni wabena.

Wazaramo walitoka Iringa wakapita Milima ya Uluguru then baadae kundi moja likaondoka likaja Hadi Chalinze wakaweka kambi baada ya muda kundi lingine likajikata kuja Mzizima.

Walio baki Moro wakaitwa waluguru walio baki Chalinze wakaitwa wakwere na waliokuja Dar wakaitwa wazaramo.


My mother a zaramo.

My father mdengereko.
 
Ngoja nikupe falsafa moja toka kitabu kikuu duniani: Mungu ameumba vitu vyenye nguvu na vinyonge kutoa somo kuwa dharau si nzuri. Cha ajabu chenye nguvu hufedheheshwa na kinyonge, kula chuma hicho!
 
Mbowe kazaliwa mjini Daslamu mwaka 1961.

As a matter of fact hata Hao unao wasema ni wakuja tu. Wazaramo ni wabena.

Wazaramo walitoka Iringa wakapita Milima ya Uluguru then baadae kundi moja likaondoka likaja Hadi Chalinze wakaweka kambi baada ya muda kundi lingine likajikata kuja Mzizima.

Walio baki Moro wakaitwa waluguru walio baki Chalinze wakaitwa wakwere na waliokuja Dar wakaitwa wazaramo.


My mother a zaramo.

My father mdengereko.
Sijasema Wazaramo, nimesema waliokuwa mjini 1900. Walioanzisha mji.

Walikuwapo mpaka Wamanyema, Wandengereko, Wahindi, Wamakonde.
 
Kwani UDP imekufa ?

KANU imekufa iliyokua na Dola na kila kitu.

Chama ni kupata wapiga kura wengi na kuwa na dira . Siasa za CCM ni za kuua vyama vya upinzani . Hivi inaingia akilini kuwa Chadema ya mbowe inaweza tena kuleta amsha ya wananchi kulinda kura kwa nguvu zote bila kujali mabomu na virunguu

Yaani kwa mfano KIkwete alipokua mwenyekiti wa CCM angesema anabadili katiba ili atawale milele kwa sababu tu umri wake bado na anapendwa na watu unadhani nini kingetokea ?
Sijui kwa nini hatutaki kukubaliana na ukweli kuwa bindam ana tabia ya kukinai jambo isipokua tu tunatakiwa kuwa na kiasi .

Hata mlevi anavyozidi kulewa ndivyo anavyotaka kuongeza pombe mpaka atapike lakini bado anataka kunywa.

Mbowe amelewa madaraka na bahati mbaya amezungukwa na walevi wa madaraka matokeo yake atafikia mahali atatapika na kudhalilika na waliomzunguka watamcheka.

CCM wanaomtaka leo hawamtaki ili aje kuwashinda bali wa amshinde kirahisi .CCM wangekua wanampenda na kujali busara zake wasingekua wana wanaonyang'anya mpaka ubunge wake !
Unatakiwa kujua kuwa ccm Ina wenyewe ,hata chadema pia Ina wenyewe .
Sasa wenye chadema Yao sio LISSU , HECHE Wala LEMA.
LISSU na LEMA walikaribishwa chadema kutoka vyama vingine iweje wamseme vibaya mwenyekiti wao Kwa kuwa alimpokea LOWASSA kutoka ccm ?
Wenye chadema pamoja na Mbowe wasimame kweli kweli kuakikisha chadema inapata watu sahihi na sio mamluki kama LEMA NA LISSU.
Dispora pamoja na TEC wanatumia vibaya ushawishi na udhamini wao wakijua wanaijenga chadema ya Sasa kumbe wanaiaribu mfano hivi Sasa chadema imeshagawanyika, wanaomfuata Mbowe na wanaomfuata lisuu .
Kuna watu awatakiwi kabisa kuongea chochote juu ya chadema Kwa Sasa mfano Lissu , LEMA na HECHE
 
JIULiZe swali dogo

Kwann watoto wa bush wanaweza ishi na wanyama wakali kama Simba ,chui ,tembo na wengine wakati watoto wa mjini wakiona hao wanyama wanajinyea nyea

wajuze kama wao watoto wamjini wambie wamekutana na warthog maarufu kasongo
 
Sijasema Wazaramo, nimesema waliokuwa mjini 1900. Walioanzisha mji.

Walikuwapo mpaka Wamanyema, Wandengereko, Wahindi, Wamakonde.
hao hawakuwa watoto wa mjini ila wapelelezi wa tawala mbalimbali ,wazaramo ndo watoto wamjini
 
Chama kimejaa watoto. Ukihesabu watu wazima wanaojitambua ni wachache sana halafu unataka tukupatie nchi kweli?

Huo ndio ujinga unaoligharimu Taifa hili . Watu wana waza vyama vya watu wachache badala ya Taifa.
Hii nchi sio ya CCM wala Chadema .
Mtu makini asiye na hulka za ufisadi anapigania Taifa sio kakikundi ka wetu wachache .

Watu bora wasiopenda ufisadi wapo ndani ya vyama vyote . Ukitaka wazee wapo wenye uzalendo kila chama wapo lakini pia hatuwezi kukubali kuwa vijana wanahitajika sana kwa sababu wazee ni waroho wa madaraka kwa misingi ya hofu kuwa wao ndio wenye nchi na wanaweza kuwaridhisha watoto wao
 
Kijisifia utoto wa mjini ni ushamba na ulimbukeni tu. Mtu jisifie ume achieve nini kwenye maisha yako,kuwa mjini halafu huna mipango ya maana ni upumbavu mkubwa sana tu. Mbona Magufuli mliyemuta mshamba aliwapelekea moto hadi mkaukimbia mji wenyewe. Hizi ndiyo tunaita sifa za kijinga. Na mara nyingi hata ukiangalia mashoga wengi hapo mjiji ni wale wanajiita mabontauni,wanataka kuishi maisha ya kimjini wakati hawana mipango ya kupata pesa mwisho wake wanaishia kuwa mashoga.
 
Lissu kakosea kucheza karata zake, angeutaka uwenyekiti wa CDM angeupata tena kiulaini - alichotakiwa ni kuifanya Taasisi imuamni, taasisi ikukuamini moja kwa moja Mbowe angekuachia ili yeye kupumzika mkabaki mnasaidiana sababu Mbowe bado anahitajika sana CDM kama kiongozi mwandamizi wa chama.

Kitendo cha yeye kuanza mashambulizi nje ndani na kati tayari inamwondolea sifa ya kuwa kiongozi bora.
Uongozi ni pamoja na subira, ustahamilivu, kuongoza taasisi ya watu zaidi ya 10m Si lelemama, ndani kuna viumbe wa kila aina - utapigana na wangapi.

Mjumbe makini wa CDM anajua cha kufanya 21st.
Wajumbe 1200 ndiyo watafanya hiyo kazi ya taasisi punguzeni jazba mtapata maradhi yasiyotibika shauri yenu.
 
Back
Top Bottom