Mbowe vs Lissu = Mtoto wa mjini VS Bushman.. Wewe upande Upi?

Mbowe vs Lissu = Mtoto wa mjini VS Bushman.. Wewe upande Upi?

Utashangaa nini ! Wakati watoto wa mjini mko busy kucheza singeli buza kwa mpalange , Bushman anajishughulisha na mambo muhimu kwa ajili ya taifa.
Bushman anatakiwa kulima na kuchunga n'gombe.
 
Mbowe ni pandikizi (undercover) wa wale jamaa wavaa kaunda suti, hata kugombea uenyekiti wa Chadema ni shinikizo kutoka kwa hao mabwana zake ili ku-suppress harakati za kweli za kupigania mabadiliko, Haki na demokrasia. Mbowe hana tofaufi na Augustine Mrema, John Cheyo, au Prof. Ibrahim Lipumba.

Mbowe siyo dhamiri yake kugombea cheo cha uenyekiti wa Chadema Mwaka huu, isipokuwa ameshinikizwa na hao waajiri wake wa kificho, hana uwezo wa kuwakatalia na Wala hawezi kujitoa kwenye kugombea cheo hicho huko Chadema kwa sababu yupo anatekeleza 'special mission' aliyotumwa kuitekeleza. Kwa kawaida, Mwanajeshi kukataa kutii AMRI ya kutoka kwa Kamanda wake inahesabika kuwa ni UHAINI.

Ni kweli kabisa .
Hata Bob wine tumembiwa wazi kule Uganda kuwa alipewa kazi maalumu ya kudhoofisha upinzani . Baada ya kupata umaarufu akaota mkia.
CDF wa Uganda akamwambia wazi kuwa ana bahati Museveni ni mstarabu maana angekua ameshamkata kichwa kwa sababu wao ndio waliomuwezesha kujenga chama chake .
 
Insha' Allah.🙏🙏🙏

Personally sitaki kabisa Lissu achukue Uenyekiti Kwa sababu ana utoto utoto mwingi Sana . Halafu yupo kama kichaa vile anaweza kuleta machafuko

Usiseme Mbowe Vs Lisu
sema
Mbowe Vs CHADEMA .

Mbowe akishinda chama kitakufa chenyewe maana hata kampeni zake hazitakuwa na hoja wala dira.
Lakini pia chama kina jengwa na vijana wenye Moyo kama walivyo BAVICHA .
BAVICHA wote wanamuunga mkono Lisu.

Mbowe akitumia Goli la mkono kushinda atakua alefanya dhambi moja kubwa sana ambayo itamtafuna kizazi chake chote na damu ya wale waliofia chama wakipigania uchaguzi wa haki zitamlaani pia.
 
Usiseme Mbowe Vs Lisu
sema
Mbowe Vs CHADEMA .

Mbowe akishinda chama kitakufa chenyewe maana hata kampeni zake hazitakuwa na hoja wala dira.
Lakini pia chama kina jengwa na vijana wenye Moyo kama walivyo BAVICHA .
BAVICHA wote wanamuunga mkono Lisu.

Mbowe akitumia Goli la mkono kushinda atakua alefanya dhambi moja kubwa sana ambayo itamtafuna kizazi chake chote na damu ya wale waliofia chama wakipigania uchaguzi wa haki zitamlaani pia.
Chadema kubwa kuliko MBOWE na LISSU , Chadema aiwezi kufa ndugu
 
Hivi timu ya mbowe imeshajifia kabla ya muda?
Simuoni bon yai, ntobi,yerico,sugu na zile takataka nyingine zikijibaraguza

Pengine press ya lema na ushindi wa m/bavicha anayemuunga mkono lisu umewasha alarm kwao kuona upepo ulivyobadilika.
 
Usiseme Mbowe Vs Lisu
sema
Mbowe Vs CHADEMA .

Mbowe akishinda chama kitakufa chenyewe maana hata kampeni zake hazitakuwa na hoja wala dira.
Lakini pia chama kina jengwa na vijana wenye Moyo kama walivyo BAVICHA .
BAVICHA wote wanamuunga mkono Lisu.

Mbowe akitumia Goli la mkono kushinda atakua alefanya dhambi moja kubwa sana ambayo itamtafuna kizazi chake chote na damu ya wale waliofia chama wakipigania uchaguzi wa haki zitamlaani pia.
Lissu akishindwa ndio Chama kitakuwaje?
 
Hivi timu ya mbowe imeshajifia kabla ya muda?
Simuoni bon yai, ntobi,yerico,sugu na zile takataka nyingine zikijibaraguza

Pengine press ya lema na ushindi wa m/bavicha anayemuunga mkono lisu umewasha alarm kwao kuona upepo ulivyobadilika.

Mbowe akishindwa uchaguzi itakuwa ni aibu Sana Kwa watoto WA mjini
 
Lissu akishindwa ndio Chama kitakuwaje?

Unajua CCM ina wenyewe ambao ni makampuni au wabangaizaji .
Hawa ndio wanaonunuliwa kofia ,t-shirt, Khanga na vitambaa .
Hawa ndio wanaokipenda chama na kukipigia kura .
Kwa nini wanasikilizwa sana ndani ya CCM hawa wabangaizaji? Ni kwa sababu ndio wengi na wanaojitolea kukipigania chama .

Sasa Lisu akishindwa utakua ni ushindi wa Mbowe na sio ushindi wa wananchi wengi Wapiga kura . Hii itapoteza nguvu ya chama na watu wengi wataachana na siasa za upinzani
 
Nianze Kwa kukutoeni wenge. Siasa ni mchezo mchafu.

Hakunaga mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili ya watu wengine.

Kila mwanasiasa yupo Kwa ajili ya maslahi Yake binafsi.

So kama una Amini Kuna mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili yako Basi jua wewe bado mtoto mdogo.

Mbowe yupo Kwa ajili ya maslahi Yake na Lissu yupo Kwa ajili ya maslahi Yake.

Back to the point.

Vita Kati ya Lissu Vs Mbowe ni Vita Kati ya mtoto wa mjini Mbowe vs Bushman Lissu.


Mbowe akishindwa itakuwa ni pigo Kwa watoto WA mjini wote.


Kwamba Mbowe mtoto WA mjini kazidiwa mbinu na Lissu kutoka kijijini.


Yatakuwa ni yale Yale ya Nyerere vs Tanu.

Tanu watoto WA mjini wakazidiwa maarifa na Nyerere kijana kutoka Mkoa WA Mara ambae hata Kiswahili chake tu kilikuwa na Matege.


Uncle Mbowe ukishindwa uchaguzi huu utakuwa umewavua nguo watoto wote wa mjini.

Utafanya watoto WA mjini waonekane mafala tu mbele ya mabush men.


Go Mbowe.. I believe unaweza. Usikubali kushindwa na Bushman.

Wewe ni mtoto wa mjini. Huwezi shindwa na Mabush men...

FAM mbele Kwa mbele
Tangu enzi za gazeti la Sani timu ya Bush Star ndiyo ilikuwa na mashibiki wengi zaidi.
Mtu Kwao, Bushman ndiyo misingi na asili. Born town siyo asili bali ni upotofu na ni vijitabia fulani vya kishenzi vya kuokoteza okoteza tu.
ili tu afanikiwe jambo lake na apate pesa, born town yupo tayari hata kutembeza na kuuza mabeseni.
 
Nianze Kwa kukutoeni wenge. Siasa ni mchezo mchafu.

Hakunaga mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili ya watu wengine.

Kila mwanasiasa yupo Kwa ajili ya maslahi Yake binafsi.

So kama una Amini Kuna mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili yako Basi jua wewe bado mtoto mdogo.

Mbowe yupo Kwa ajili ya maslahi Yake na Lissu yupo Kwa ajili ya maslahi Yake.

Back to the point.

Vita Kati ya Lissu Vs Mbowe ni Vita Kati ya mtoto wa mjini Mbowe vs Bushman Lissu.


Mbowe akishindwa itakuwa ni pigo Kwa watoto WA mjini wote.


Kwamba Mbowe mtoto WA mjini kazidiwa mbinu na Lissu kutoka kijijini.


Yatakuwa ni yale Yale ya Nyerere vs Tanu.

Tanu watoto WA mjini wakazidiwa maarifa na Nyerere kijana kutoka Mkoa WA Mara ambae hata Kiswahili chake tu kilikuwa na Matege.


Uncle Mbowe ukishindwa uchaguzi huu utakuwa umewavua nguo watoto wote wa mjini.

Utafanya watoto WA mjini waonekane mafala tu mbele ya mabush men.


Go Mbowe.. I believe unaweza. Usikubali kushindwa na Bushman.

Wewe ni mtoto wa mjini. Huwezi shindwa na Mabush men...

FAM mbele Kwa mbele
Chama kimejaa watoto. Ukihesabu watu wazima wanaojitambua ni wachache sana halafu unataka tukupatie nchi kweli?
 
Nianze Kwa kukutoeni wenge. Siasa ni mchezo mchafu.

Hakunaga mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili ya watu wengine.

Kila mwanasiasa yupo Kwa ajili ya maslahi Yake binafsi.

So kama una Amini Kuna mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili yako Basi jua wewe bado mtoto mdogo.

Mbowe yupo Kwa ajili ya maslahi Yake na Lissu yupo Kwa ajili ya maslahi Yake.

Back to the point.

Vita Kati ya Lissu Vs Mbowe ni Vita Kati ya mtoto wa mjini Mbowe vs Bushman Lissu.


Mbowe akishindwa itakuwa ni pigo Kwa watoto WA mjini wote.


Kwamba Mbowe mtoto WA mjini kazidiwa mbinu na Lissu kutoka kijijini.


Yatakuwa ni yale Yale ya Nyerere vs Tanu.

Tanu watoto WA mjini wakazidiwa maarifa na Nyerere kijana kutoka Mkoa WA Mara ambae hata Kiswahili chake tu kilikuwa na Matege.


Uncle Mbowe ukishindwa uchaguzi huu utakuwa umewavua nguo watoto wote wa mjini.

Utafanya watoto WA mjini waonekane mafala tu mbele ya mabush men.


Go Mbowe.. I believe unaweza. Usikubali kushindwa na Bushman.

Wewe ni mtoto wa mjini. Huwezi shindwa na Mabush men...

FAM mbele Kwa mbele
Wote wa bush wale. Lini machame imeanza kuwa mjini bwashee. Sema Mbowe niwizi na jambazi huu ndo utoifauti pekee
 
Lissu kakosea kucheza karata zake, angeutaka uwenyekiti wa CDM angeupata tena kiulaini - alichotakiwa ni kuifanya Taasisi imuamni, taasisi ikikuamini moja kwa moja Mbowe angekuachia ili yeye kupumzika mkabaki mnasaidiana sababu Mbowe bado anahitajika sana CDM kama kiongozi mwandamizi wa chama.

Kitendo cha yeye kuanza mashambulizi nje ndani na kati tayari inamwondolea sifa ya kuwa kiongozi bora.
Uongozi ni pamoja na subira, ustahamilivu, kuongoza taasisi ya watu zaidi ya 10m si lelemama, ndani kuna viumbe wa kila aina - utapigana na wangapi.
Tatizo la kuingia na miguu yote miwili ukiukosa moira ukala miguu wote mnajua kitakachofuatia.

Mjumbe makini wa CDM anajua cha kufanya 21st.
 
Chadema kubwa kuliko MBOWE na LISSU , Chadema aiwezi kufa ndugu
Kwani UDP imekufa ?

KANU imekufa iliyokua na Dola na kila kitu.

Chama ni kupata wapiga kura wengi na kuwa na dira . Siasa za CCM ni za kuua vyama vya upinzani . Hivi inaingia akilini kuwa Chadema ya mbowe inaweza tena kuleta amsha ya wananchi kulinda kura kwa nguvu zote bila kujali mabomu na virunguu

Yaani kwa mfano KIkwete alipokua mwenyekiti wa CCM angesema anabadili katiba ili atawale milele kwa sababu tu umri wake bado na anapendwa na watu unadhani nini kingetokea ?
Sijui kwa nini hatutaki kukubaliana na ukweli kuwa bindam ana tabia ya kukinai jambo isipokua tu tunatakiwa kuwa na kiasi .

Hata mlevi anavyozidi kulewa ndivyo anavyotaka kuongeza pombe mpaka atapike lakini bado anataka kunywa.

Mbowe amelewa madaraka na bahati mbaya amezungukwa na walevi wa madaraka matokeo yake atafikia mahali atatapika na kudhalilika na waliomzunguka watamcheka.

CCM wanaomtaka leo hawamtaki ili aje kuwashinda bali wa amshinde kirahisi .CCM wangekua wanampenda na kujali busara zake wasingekua wana wanaonyang'anya mpaka ubunge wake !
 
Back
Top Bottom