Mbowe vs Lissu = Mtoto wa mjini VS Bushman.. Wewe upande Upi?

Mbowe vs Lissu = Mtoto wa mjini VS Bushman.. Wewe upande Upi?

Born town hadi sasa dakika ya 85 yuko hoi, bush star anaongoza kwa ball possession. Labda born town apate kura za huruma, maana anatia huruma sana
 
Kijisifia utoto wa mjini ni ushamba na ulimbukeni tu. Mtu jisifie ume achieve nini kwenye maisha yako,kuwa mjini halafu huna mipango ya maana ni upumbavu mkubwa sana tu. Mbona Magufuli mliyemuta mshamba aliwapelekea moto hadi mkaukimbia mji wenyewe. Hizi ndiyo tunaita sifa za kijinga. Na mara nyingi hata ukiangalia mashoga wengi hapo mjiji ni wale wanajiita mabontauni,wanataka kuishi maisha ya kimjini wakati hawana mipango ya kupata pesa mwisho wake wanaishia kuwa mashoga.
Hili nalo neno mkuu.
 
Nianze Kwa kukutoeni wenge. Siasa ni mchezo mchafu.

Hakunaga mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili ya watu wengine.

Kila mwanasiasa yupo Kwa ajili ya maslahi Yake binafsi.

So kama una Amini Kuna mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili yako Basi jua wewe bado mtoto mdogo.

Mbowe yupo Kwa ajili ya maslahi Yake na Lissu yupo Kwa ajili ya maslahi Yake.

Back to the point.

Vita Kati ya Lissu Vs Mbowe ni Vita Kati ya mtoto wa mjini Mbowe vs Bushman Lissu.


Mbowe akishindwa itakuwa ni pigo Kwa watoto WA mjini wote.


Kwamba Mbowe mtoto WA mjini kazidiwa mbinu na Lissu kutoka kijijini.


Yatakuwa ni yale Yale ya Nyerere vs Tanu.

Tanu watoto WA mjini wakazidiwa maarifa na Nyerere kijana kutoka Mkoa WA Mara ambae hata Kiswahili chake tu kilikuwa na Matege.


Uncle Mbowe ukishindwa uchaguzi huu utakuwa umewavua nguo watoto wote wa mjini.

Utafanya watoto WA mjini waonekane mafala tu mbele ya mabush men.


Go Mbowe.. I believe unaweza. Usikubali kushindwa na Bushman.

Wewe ni mtoto wa mjini. Huwezi shindwa na Mabush men...

FAM mbele Kwa mbele
Mtoto wa mjini , kakutana na vyuma vipya ambao ni watoto wa mjini kuliko yeye, Mnyukano ni mkali sana , mtoto wa mjini amekili katika baraza la Bavicha
 
Hoja za kitoto, FAM anajisikiaje kupigiwa kampeni na watu wenye akili ya aina yako mtoa mada?

Au ndio the end will justify the means!
Kwamba wewe ni mtaalamu WA kupima Akili za watu Sio? Hongera Sana mkuu ila hukupaswa kuuona uzi wangu kama kampeni Kwa Mbowe.

Akili unazo nyingi Sana ila u think slowly
 
Mtoto wa mjini , kakutana na vyuma vipya ambao ni watoto wa mjini kuliko yeye, Mnyukano ni mkali sana , mtoto wa mjini amekili katika baraza la Bavicha
Mpira dakika tisini
 
Kumshobokea kiasi hicho mwanaume mwenzako haileti afya ya kijisia punguza shobo.
Aisee.

Wewe ni Bushman?

Unaelewa maana ya kushoboka?

Anyways na wewe kuweka picha ya mwanaume mwenzako kwenye avatar yako imekaaje hiyo?
 
Ukitaka kujua bushmen wanangu u angalia maraisi wa Afrikani mashariki,wengi ni mabushmen:Sababu nguvu Nyingi,akili Nyingi,msosi mwingi!
 
Aisee.

Wewe ni Bushman?

Unaelewa maana ya kushoboka?

Anyways na wewe kuweka picha ya mwanaume mwenzako kwenye avatar yako imekaaje hiyo?
Naona nimegusa kidonda chako,umeruka kama umejambishwa vile. Mimi siyo bushman bali mimi ndiye Bush kabisa. Unaringia utoto wa mjini bila pesa utaishia kuwa mchicha mwiba tu.
 
Mpira dakika tisini
Ngoma imeisha isha mkuu, ila mtoto wa mjini chama bado kinamuhitaji sana , kuliko anavyovikiria , hata sanamu lake siku moja atajengewa tu ,

Team mtoto wa mjini hali mbaya
 
Nianze Kwa kukutoeni wenge. Siasa ni mchezo mchafu.

Hakunaga mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili ya watu wengine.

Kila mwanasiasa yupo Kwa ajili ya maslahi Yake binafsi.

So kama una Amini Kuna mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili yako Basi jua wewe bado mtoto mdogo.

Mbowe yupo Kwa ajili ya maslahi Yake na Lissu yupo Kwa ajili ya maslahi Yake.

Back to the point.

Vita Kati ya Lissu Vs Mbowe ni Vita Kati ya mtoto wa mjini Mbowe vs Bushman Lissu.


Mbowe akishindwa itakuwa ni pigo Kwa watoto WA mjini wote.


Kwamba Mbowe mtoto WA mjini kazidiwa mbinu na Lissu kutoka kijijini.


Yatakuwa ni yale Yale ya Nyerere vs Tanu.

Tanu watoto WA mjini wakazidiwa maarifa na Nyerere kijana kutoka Mkoa WA Mara ambae hata Kiswahili chake tu kilikuwa na Matege.


Uncle Mbowe ukishindwa uchaguzi huu utakuwa umewavua nguo watoto wote wa mjini.

Utafanya watoto WA mjini waonekane mafala tu mbele ya mabush men.


Go Mbowe.. I believe unaweza. Usikubali kushindwa na Bushman.

Wewe ni mtoto wa mjini. Huwezi shindwa na Mabush men...

FAM mbele Kwa mbele
Huwezi kumwacha bushman eti aongoze CHAMA, Mbowe anahitajika kwa angalu miaka mitano mingine.
 
Mbowe borntown kitambo afu tajiri hawezi kushindwa na mtu ametoka mwituni mchunga mbuzi uyo Lissu katambulishwa mjini na mbowe
 
Mkuu Likud ujue umemharibia mtoto wa mjini kwa sababu zaidi ya 80% ya hao wapiga kura ni mabushmen ,kwa vile umewa offend wataamua kwenda na wa Bush mwenzao,yaani umemwaga petrol kuzimia moto.
 
Mkuu Likud ujue umemharibia mtoto wa mjini kwa sababu zaidi ya 80% ya hao wapiga kura ni mabushmen ,kwa vile umewa offend wataamua kwenda na wa Bush mwenzao,yaani umemwaga petrol kuzimia moto.
Born town watachakachua
 
Back
Top Bottom