100% FactLissu kakosea kucheza karata zake, angeutaka uwenyekiti wa CDM angeupata tena kiulaini - alichotakiwa ni kuifanya Taasisi imuamni, taasisi ikukuamini moja kwa moja Mbowe angekuachia ili yeye kupumzika mkabaki mnasaidiana sababu Mbowe bado anahitajika sana CDM kama kiongozi mwandamizi wa chama.
Kitendo cha yeye kuanza mashambulizi nje ndani na kati tayari inamwondolea sifa ya kuwa kiongozi bora.
Uongozi ni pamoja na subira, ustahamilivu, kuongoza taasisi ya watu zaidi ya 10m Si lelemama, ndani kuna viumbe wa kila aina - utapigana na wangapi.
Mjumbe makini wa CDM anajua cha kufanya 21st.
Machame hakuna mjini wewe.Nianze Kwa kukutoeni wenge. Siasa ni mchezo mchafu.
Hakunaga mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili ya watu wengine.
Kila mwanasiasa yupo Kwa ajili ya maslahi Yake binafsi.
So kama una Amini Kuna mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili yako Basi jua wewe bado mtoto mdogo.
Mbowe yupo Kwa ajili ya maslahi Yake na Lissu yupo Kwa ajili ya maslahi Yake.
Back to the point.
Vita Kati ya Lissu Vs Mbowe ni Vita Kati ya mtoto wa mjini Mbowe vs Bushman Lissu.
Mbowe akishindwa itakuwa ni pigo Kwa watoto WA mjini wote.
Kwamba Mbowe mtoto WA mjini kazidiwa mbinu na Lissu kutoka kijijini.
Yatakuwa ni yale Yale ya Nyerere vs Tanu.
Tanu watoto WA mjini wakazidiwa maarifa na Nyerere kijana kutoka Mkoa WA Mara ambae hata Kiswahili chake tu kilikuwa na Matege.
Uncle Mbowe ukishindwa uchaguzi huu utakuwa umewavua nguo watoto wote wa mjini.
Utafanya watoto WA mjini waonekane mafala tu mbele ya mabush men.
Go Mbowe.. I believe unaweza. Usikubali kushindwa na Bushman.
Wewe ni mtoto wa mjini. Huwezi shindwa na Mabush men...
FAM mbele Kwa mbele
Huyo anaamini kama uliishi mjini halafu haukuwahi kufanya kazi Disco na burudani, basi wewe ni sawa na kusema haujawahi kuishi mjiniMachame hakuna mjini wewe.
Ulishawahi kusikia Machame Mjini?
Sasa sie watoto wa Jumbe Tambaza tuliogawa ardhi yetu hapo Dar mpaka ikajengwa hiyo iliyo Ikulu leo, tuliojenga misikiti na kutoa ardhi yetu makaburi watu wazikwe, lakini kwa sababu ya maadili ya kifamilia hatujaenda hizo Disco na sie si watoto wa mjini?Huyo anaamini kama uliishi mjini halafu haukuwahi kufanya kazi Disco na burudani, basi wewe ni sawa na kusema haujawahi kuishi mjini
Sasa hivi yupo wapi🤣Watoto wa bush noma au umemsahau mzee wa Kolomije alivyowapa tabu watoto wa mjini. Mzee wa Kolomije yule jamaa anajua kupigana vita balaa
Sasa hivi yuko A-city kwa wale wanaojiita wameshindikana. Naona kaanza na mbunge wao bila shaka madon na watoto wote wa mjini ashawatuliza. Jamaa akiingiai sehemu huwa anahakikisha hakuna anayevuma kuliko yeye.Sasa hivi yupo wapi🤣
Mbowe kazaliwa mjini Daslamu mwaka 1961.Sasa sie watoto wa Jumbe Tambaza tuliogawa ardhi yetu hapo Dar mpaka ikajengwa hiyo iliyo Ikulu leo, tuliojenga misikiti na kutoa ardhi yetu makaburi watu wazikwe, lakini kwa sababu ya maadili ya kifamilia hatujaenda hizo Disco na sie si watoto wa mjini?
Sie wajukuu wa Pazi Chamgui, wazee wetu waliojenga hilo kanisa la Azania Front na kulimaliza mwaka 1903, ambalo Mbowe kalikuta na kasali tu bila kujua nani kajenga, lakini hatukuenda disco kwa sababu ya maadili ya familia, utasema na sisi si watoto wa mjini?
Sijasema Wazaramo, nimesema waliokuwa mjini 1900. Walioanzisha mji.Mbowe kazaliwa mjini Daslamu mwaka 1961.
As a matter of fact hata Hao unao wasema ni wakuja tu. Wazaramo ni wabena.
Wazaramo walitoka Iringa wakapita Milima ya Uluguru then baadae kundi moja likaondoka likaja Hadi Chalinze wakaweka kambi baada ya muda kundi lingine likajikata kuja Mzizima.
Walio baki Moro wakaitwa waluguru walio baki Chalinze wakaitwa wakwere na waliokuja Dar wakaitwa wazaramo.
My mother a zaramo.
My father mdengereko.
Unatakiwa kujua kuwa ccm Ina wenyewe ,hata chadema pia Ina wenyewe .Kwani UDP imekufa ?
KANU imekufa iliyokua na Dola na kila kitu.
Chama ni kupata wapiga kura wengi na kuwa na dira . Siasa za CCM ni za kuua vyama vya upinzani . Hivi inaingia akilini kuwa Chadema ya mbowe inaweza tena kuleta amsha ya wananchi kulinda kura kwa nguvu zote bila kujali mabomu na virunguu
Yaani kwa mfano KIkwete alipokua mwenyekiti wa CCM angesema anabadili katiba ili atawale milele kwa sababu tu umri wake bado na anapendwa na watu unadhani nini kingetokea ?
Sijui kwa nini hatutaki kukubaliana na ukweli kuwa bindam ana tabia ya kukinai jambo isipokua tu tunatakiwa kuwa na kiasi .
Hata mlevi anavyozidi kulewa ndivyo anavyotaka kuongeza pombe mpaka atapike lakini bado anataka kunywa.
Mbowe amelewa madaraka na bahati mbaya amezungukwa na walevi wa madaraka matokeo yake atafikia mahali atatapika na kudhalilika na waliomzunguka watamcheka.
CCM wanaomtaka leo hawamtaki ili aje kuwashinda bali wa amshinde kirahisi .CCM wangekua wanampenda na kujali busara zake wasingekua wana wanaonyang'anya mpaka ubunge wake !
hao hawakuwa watoto wa mjini ila wapelelezi wa tawala mbalimbali ,wazaramo ndo watoto wamjiniSijasema Wazaramo, nimesema waliokuwa mjini 1900. Walioanzisha mji.
Walikuwapo mpaka Wamanyema, Wandengereko, Wahindi, Wamakonde.
Hapo unalazimisha ukabila sasa.hao hawakuwa watoto wa mjini ila wapelelezi wa tawala mbalimbali ,wazaramo ndo watoto wamjini
Chama kimejaa watoto. Ukihesabu watu wazima wanaojitambua ni wachache sana halafu unataka tukupatie nchi kweli?
yupi? We sema tu lissu anatoshaAtakayepatikana awe serious bas na kaz jamani
Wajumbe 1200 ndiyo watafanya hiyo kazi ya taasisi punguzeni jazba mtapata maradhi yasiyotibika shauri yenu.Lissu kakosea kucheza karata zake, angeutaka uwenyekiti wa CDM angeupata tena kiulaini - alichotakiwa ni kuifanya Taasisi imuamni, taasisi ikukuamini moja kwa moja Mbowe angekuachia ili yeye kupumzika mkabaki mnasaidiana sababu Mbowe bado anahitajika sana CDM kama kiongozi mwandamizi wa chama.
Kitendo cha yeye kuanza mashambulizi nje ndani na kati tayari inamwondolea sifa ya kuwa kiongozi bora.
Uongozi ni pamoja na subira, ustahamilivu, kuongoza taasisi ya watu zaidi ya 10m Si lelemama, ndani kuna viumbe wa kila aina - utapigana na wangapi.
Mjumbe makini wa CDM anajua cha kufanya 21st.