Mwenye ushahidi wa pesa za Abdul ni marehemu.Hatoi ushahidi wa kuridhisha? Unauliza anashindwa nini kuwakilisha kwenye vikao? Unajua Lissu kahojiwa na CHADEMA kuhusu hizi tuhuma na karekodiwa kabisa?
Unajua Lissu kawa challenge CHADEMA watoe hiyo video ya alivyohojiwa mpaka sasa uongozi wa Mbowe umekataa?
Haya mambo unayafuatilia kwa karibu au unayarukia tu?
Hapana,Mwenye ushahidi wa pesa za Abdul ni marehemu.
Hahahaha kaguta au sio na ana timu ya ushindi wakina ntobi na yeriko.Mugabe atahangaikaje wakati DULLY yupo?
Tutumie mbinu ya Musumbiji? maana ndizo sera za Lissu hataki maridhiano.Sasa tunatumia hoja Gani ili kuwalazimisha ccm waondoke cdm ichukue dola kama mbowe hataki ku stepdown
Wewe ni mjinga ujueThe difference is clear.
Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.
As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.
Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
Unao ushahidi wa jambo hilo.....au na wewe ndio wale tumesikia... π πmbowe ataongea Nini?kwani ni uongo kwamba yeye binafsi anahusika na njama za hao watu wa Chadema ambao wamekuwa wakitekwa, kushambuliwa au kuuawa kutoka kwenye chama hicho?yeye ni mchora ramani Mkuu wa matukio hayo, amekuwa akiwauza wenzake kwa mumiani.
R.I.P Mzee Kibao, Sultan Mbowe ameshindwa hadi kutoa salamu za siku kuu kwa wanachama wake. Akijitokeza tu mitandaoni wanachama wanapiga kwenye kichwa.The difference is clear.
Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.
As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.
Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
Kwanii waliochukua fomu ya kugombea ni Lisu na Mbowe tu........mbona wa tatu ampendi kumuongelea?Kama kuna wanachama wa CHADEMA wanataka kuchallenge uongozi wa Mbowe, kihalali, kwenye uchaguzi wa ndani, kwa nini unawalazimisha waende ACT?
Nilikuwa nawasema vibaya sana wanaharakati wa mitandaoni ambao si wanachama wa CHADEMA waliokuwa wanamkataa Mbowe kwa kusema "Mbowe Must Go". Hoja yangu kubwa ilikuwa kwamba wanaharakati hao hawana uhalali wa kutaka kumuondoa Mbowe kwenye uenyekiti, kwa sababu hawana hata uanachama (majority). Hatujui kama wao ni washabiki wa CHADEMA kweli au ni mapandikizi ya CCM yanayotaka kuivuruga CHADEMA. Mambo ya CHADEMA, waachiwe wanachama halali wa CHADEMA kuamua.
Kauli yangu hii haikuwa endorsement kwa Mbowe. Ilikuwa kanuni ya kwamba watu wasio wanachama hawana kauli kwenye mambo ya chama.
Baada ya Tundu Lissu kuchukua fomu kugombea uenyekiti wa CHADEMA, criticism hii haipo tena. Kwa sababu sasa wanaotaka kumuondoa Mbowe si wanaharakati tu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA naye anataka kumuondoa Mbowe kwenye uenyekiti.
Sasa wewe ni nani umwambie Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu, anayetumia haki yake ya kikatiba ndani ya CHADEMA kugombea uongozi, hana haki ya kuwania uenyekiti?
Unatumia kanuni gani kumkataza Lissu kuwania uenyekiti wa CHADEMA?
Acha uchawa kwa ilipofika chadema inahitaji falsafa mpya mbowe hafaiThe difference is clear.
Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.
As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.
Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
Pumbavu, sasa mnapigania nini huko upinzani? Kama "overstaying is not an issue" kwanini basi CCM isiachwe tu ikaendelea kutawala milele? Ajabu sana, pesa za Abdul zimewatoa akili kabisa.Overstaying is not an issue so long as katiba haijavunjwa.
Chawa wa Mbowe mnajidanganya sana,wanachama,washabiki na wapenda mageuzi wote wako upande wa Lissu sasa kama atawahonga hao 1200 watakaopiga kura wakamchagua ajue ndiyo atakuwa ameilekeza Chadema qibla.The difference is clear.
Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.
As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.
Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
Hivi Lissu akishinda Msigwa atarudi Chadema?Yupo bize na akina dr slaa,maria sarungi na Msigwa huko x,wanakipaka matope chama anachoomba kukiongoza
Hii ni ajabu sana
dah!The difference is clear.
Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.
As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.
Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
CCM inapambana na kushinda.Pumbavu, sasa mnapigania nini huko upinzani? Kama "overstaying is not an issue" kwanini basi CCM isiachwe tu ikaendelea kutawala milele? Ajabu sana, pesa za Abdul zimewatoa akili kabisa.
Baada ya miaka 10 ya uongozi wa Kikwete kama Mwenyekiti wa CCM, kwanini hakupambania tena? Acha ujingaCCM inapambana na kushinda.
Hata hao chadema wapambane na mshindi apatikane. Sio kuachiana madaraka kama urithi.
CCM uenyekiti unakoma baada ya kumpata rais mpya. Kiitifaki yeye ndiye anakuwa mwenyekiti wa chama. Sasa ulitaka Jakaya aendelee vipi? rais Samia amekuwaje mwenyekiti CCM?Baada ya miaka 10 ya uongozi wa Kikwete kama Mwenyekiti wa CCM, kwanini hakupambania tena? Acha ujinga
Tangu lini chawa wakawa na aibu? Sifa kubwa ya kuwa chawa ni kujitoa ufahamu.Hivi huoni aibu kumuunga Mbowe mkono? Kabisa na akili zako timamu unamuunga Mbowe mkono dah!
Atarudi ππHivi Lissu akishinda Msigwa atarudi Chadema?
Wafuas wa kizmkazi na ccm ni mapumbavuHuwezi kupata unachotaka bila kununua na kuuza.