Mbunge Luhaga Mpina amuunga mkono Rais Samia kuwabana Mawaziri

Mmoja kati ya wabunge wenye akili nyingi sana,na kipenzi cha hayati Magufuli.
 

Nakazia: Tuungane kukataa wahuni.
 
haka kajamaa haka ka luhanga mpina ni ka 'chizi maarifa' flani na kuna wakati hata mwendazake alikuwa ana ka admire sana
 
Wewe luhaga,ni nani wa kukutisha useless man kama wewe?
 
Safi kamanda msikubali kuwa wanyonge kwa faida ya wachache wakati mlifunzwa ujasili kuweni majasili kila la kheri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…