Waende wakaboost TlpYuko na Slaa wanaandika katiba ya chama kipya cha siasa!
Na kuna wanene nyuma yake wanamuambia songa mbele tupo na wewe πJamaa kaanza kuwaka kinoma,it seems he knows something.
Na zoom meeting zinaendeleaAu kaachiwa mikoba ya ku deal na wahuni na bwana balozi[emoji28]
Mmoja kati ya wabunge wenye akili nyingi sana,na kipenzi cha hayati Magufuli.Bunge la Bajeti limeanza, nimejiandaa vizuri nitaweka wazi baadhi ya hoja ngumu ikiwemo kuchelewa bwawa la umeme, kukatikakatika kwa umeme, kupanda bei za bidhaa, kuchafuka kwa Mto mara. Tutayasema yote bila kumwogopa mtu, vitisho kutoka kokote- Luhaga Mpina, Mbunge wa Kisesa.
CHACHANDUSYuko na Slaa wanaandika katiba ya chama kipya cha siasa!
Anaweza kugombea urais 2025 kupitia Chadema.Na kuna wanene nyuma yake wanamuambia songa mbele tupo na wewe π
Inawezekana maana kasema βTutayasema yote bila kumwogopa mtuβ...... watayasema na nani.Na kuna wanene nyuma yake wanamuambia songa mbele tupo na wewe π
Bunge la Bajeti limeanza, nimejiandaa vizuri nitaweka wazi baadhi ya hoja ngumu ikiwemo kuchelewa bwawa la umeme, kukatikakatika kwa umeme, kupanda bei za bidhaa, kuchafuka kwa Mto mara. Tutayasema yote bila kumwogopa mtu, vitisho kutoka kokote- Luhaga Mpina, Mbunge wa Kisesa.
Kuwaongelea sukuma gang au?Bora awepo mtu wakutuongelea kama alivyokuwa slowslow
Wewe luhaga,ni nani wa kukutisha useless man kama wewe?Bunge la Bajeti limeanza, nimejiandaa vizuri nitaweka wazi baadhi ya hoja ngumu ikiwemo kuchelewa bwawa la umeme, kukatikakatika kwa umeme, kupanda bei za bidhaa, kuchafuka kwa Mto mara. Tutayasema yote bila kumuogopa mtu, vitisho kutoka kokote- Luhaga Mpina, Mbunge wa Kisesa.
Safi kamanda msikubali kuwa wanyonge kwa faida ya wachache wakati mlifunzwa ujasili kuweni majasili kila la kheriBunge la Bajeti limeanza, nimejiandaa vizuri nitaweka wazi baadhi ya hoja ngumu ikiwemo kuchelewa bwawa la umeme, kukatikakatika kwa umeme, kupanda bei za bidhaa, kuchafuka kwa Mto mara. Tutayasema yote bila kumuogopa mtu, vitisho kutoka kokote- Luhaga Mpina, Mbunge wa Kisesa.
Wahuni watamnyamazisha tuAu kaachiwa mikoba ya ku deal na wahuni na bwana balozi[emoji28]