Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Askofu yule wa Kagera anakwambia " sumu haiui mara mbili" Slaa hatoweza kutisha kisiasa tena.Yuko na Slaa wanaandika katiba ya chama kipya cha siasa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Askofu yule wa Kagera anakwambia " sumu haiui mara mbili" Slaa hatoweza kutisha kisiasa tena.Yuko na Slaa wanaandika katiba ya chama kipya cha siasa!
Kachukua mikoba ya polepole, zamani kulikuwa na mzindakaya. Naona vijana sasa hivi hawaogopiAseme na Ndugai kabanikwa wapi.
Ni kipenzi kweli? Mbona Mara ya Pili alimtosa kwenye baraza?Mmoja kati ya wabunge wenye akili nyingi sana,na kipenzi cha hayati Magufuli.
[emoji1787][emoji1787]Au kaachiwa mikoba ya ku deal na wahuni na bwana balozi[emoji28]
Mwisho wake huwa wanaombana msamaha yanaisha. Hao ndio CCM kila kukicha na matukio wao kwa wao ikifika election, wanayamaliza.Aendelee hivyo hivyo mpaka 2025, ili tuone mwisho wake.
Ataishia kubweka tu ila meno ya kuuma hana.Bunge la Bajeti limeanza, nimejiandaa vizuri nitaweka wazi baadhi ya hoja ngumu ikiwemo kuchelewa bwawa la umeme, kukatikakatika kwa umeme, kupanda bei za bidhaa, kuchafuka kwa Mto mara. Tutayasema yote bila kumuogopa mtu, vitisho kutoka kokote- Luhaga Mpina, Mbunge wa Kisesa.
Ndugu Quinine , kayasemea wapi hayo!!??Bunge la Bajeti limeanza, nimejiandaa vizuri nitaweka wazi baadhi ya hoja ngumu ikiwemo kuchelewa bwawa la umeme, kukatikakatika kwa umeme, kupanda bei za bidhaa, kuchafuka kwa Mto mara. Tutayasema yote bila kumuogopa mtu, vitisho kutoka kokote- Luhaga Mpina, Mbunge wa Kisesa.
Kusifu kunawapasaya wanyoofu wa mioyo..ref Zaburi[emoji1]Hatimae wanaweza kuongea bila kuogopa na sio kusifu na kuabudu.
Aliukataa mwenyewe..Ni kipenzi kweli? Mbona Mara ya Pili alimtosa kwenye baraza?
" Niliona heri nimchague kichaa kama mimi" - JPMMmoja kati ya wabunge wenye akili nyingi sana,na kipenzi cha hayati Magufuli.
Hizi hoja mpaka aanzishe hoja zake ndio ziiubuliwe.Ni vizuri Sana lakini Luhaga nae anatakiwa achunguzwe kwa madhira aliyoyafanya akiwa waziri wa mifugo na uvuvi kipindi Cha JPM.Kwenye opalesheni ya kukomesha uvuvi haramu aliumiza Sana watu hadi wengine kuuwawa .Wavuvu walikua hadi wanapigwa risasi halikadhalika wafungaji.
Pia opalesheni yenyewe iligubikwa na rushwa kubwa Sana na maafisa wote walioshiliki wamekua matajili.
Kama kweli yeye anaona yupo sahihi basi na yeye ashitakiwe kwa kuhujumu uchumi kwa Sababu ni kupitia Hilo zoezi Mpina Kawa bilionea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajaanza leo. Kuna kipindi walikesha yeye, Zitto na Filikunjombe wakilinda ripoti ya kamati yao isiibwe na wahuni wa serikali ya Kikwete.Aendelee hivyo hivyo mpaka 2025, ili tuone mwisho wake.
Mkuu amekutisha kwenye eneo gani, bwawa la umeme, tanesco, mafuta au mto mara.Wewe luhaga,ni nani wa kukutisha useless man kama wewe?
Mm binafsi napenda hivi wanavyotifuana. Ikibidi wagawane kabisa mbao chombo kizame majiniMkuu amekutisha kwenye eneo gani, bwawa la umeme, tanesco, mafuta au mto mara.
Si mpaka apewe hiyo nafasiBunge la Bajeti limeanza, nimejiandaa vizuri nitaweka wazi baadhi ya hoja ngumu ikiwemo kuchelewa bwawa la umeme, kukatikakatika kwa umeme, kupanda bei za bidhaa, kuchafuka kwa Mto mara. Tutayasema yote bila kumuogopa mtu, vitisho kutoka kokote- Luhaga Mpina, Mbunge wa Kisesa.
Ata wewe makalio gang atakuongelea ,maana naona lisu kumkemea makamba naye mmeanza kumuita sukuma gang jinga kabisa nyie watu.Kuwaongelea sukuma gang au?