Mbunge Masaburi: Kuna wabunge na viongozi mashoga

Wewe nenda ukalime ujue kazi ya kulima ilivyo ngumu. Kwa nini umpangie mkulima bei? Huku umekaa mjini kazi kuandika nyenyenyenye kwenye mitandao badala ya kwenda kulima
 
Mashoga wote ni waabudu shetani,kosa kubwa lililosababisha Lucifer kufukuzwa mbinguni na kutupwa duniani ni ushoga. Lucifer alikuwa shoga, alipokaripiwa na Mungu juu ya tabia yake ya kuingiliwa kinyume cha maumbile ndiyo akawashawishi mashoga wenzake wakaasi wakataka kufanya mapinduzi ndiyo Mungu akona enough is enough,akamwamuru Mikael malaika jemadari na malaika watiifu ampige Lucifer na mashoga wenzake kisha wakatupwa duniani. Hivyo muelewe kuwa mashoga wote ni waabudu shetani.
 
Yupo Sahihi
100%
Hapanaaa!,mambo ya faraghani watu wamekaa na wezi,waongo,wazinzi,wasengenyaji na kadhalika na watu wao WA karibu hawajui,kwa hili hakuna kujitoa tuhimize watu wawe wafuasi WA amri za Allah maana kwa .nguvu za manadamu Yale ya sodoma yatatuhusu!.
 
WAZIRI AKITOA KAULI NDIO SEREKALI IMESEMA, MKITAKA KILA KAULI ITOLEWE NA RAIS SASA WATEULE WATAKUWA WANAFANYA KAZI GANI?

WAZIRI AKITOA KAULI NDIO SEREKALI IMESEMA, MKITAKA KILA KAULI ITOLEWE NA RAIS SASA WATEULE WATAKUWA WANAFANYA KAZI GANI?
waziri wa habari na mawasiliano ndio mwenye jukumu hilo la kupinga ushoga ? Waziri wa mambo ya ndani anafanya nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…