Mbuzingombe
JF-Expert Member
- Apr 14, 2024
- 353
- 828
Labda wakubali serikali tatu, passport ni suala la muungano,Na wao wapewe passport wakiingia Tanganyika wakaguliwe kama wanazo ndio waruhusiwe.
Anayezuia kuvunjwa muungano si anajulikana lakini🤣Nahisi Hili wazanzibar wanalitamani Sana sijui kwanini..
Sasa hapo Jiulize huyo ni Mbunge,Je wananchi watakuwaje?
Nao pia wakija bara wawe nazo wasitutanie aseee!
Baadae itakuwa Kuingia Mkoa mmoja kwenda mwingine itatakiwa passport kama hoja Watu wa Bara wanapora viwanja na kujenga majumba.Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.
Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.
“Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.
Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.
“Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.
Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.
=====
My Take
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Kwani mama yao anayeung'ang'ania Urais wa Tanganyika anasemaje!?Mimi ningekuwa Rais ,Kwanza task ya Kwanza wale wote waliokuja bara baada ya Uhuru nawaambie mrudi kwenu natoa mwaka mmoja kila mtu awe ameshaondoka, na kinyume chake aliyeko Zanzibar baadae ya Uhuru Rudi ulikotoka, task ya pili kila taifa liwe na Uhuru wake na sio kama Sasa Tanganyika tunafanywa mbeleko zao,
Task ya tatu anayetaka kuja bara awe na passport ya kumruhusu kukaa Kwa sheria za kimataifa na anayetaka kwenda Zanzibar na yeye itabidi awe na passport yake Kwa sheria za kimataifa.
NB undugu utakuwepo kama ilivyo Msumbiji naTanzania au ENGLAND NA SCOTLAND tumechoka kuibiwa .
Mkuu ukifika visiwani ndio utawajua zaidi, huwa wanatuita machogo,Yani wapemba walivyojaa mbagala. Niliwahi kusema hapa wazanzibari ni wabaguzi kuliko jamii yoyote Tanzania hii
🤔🤔Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.
Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.
“Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.
Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.
“Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.
Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.
=====
My Take
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Mfano wako wa China siyo sahihi; na wala hauelezi mahitaji yetu kuwa na Muungano na Zanzibar.Wazenji wako tayari hata kesho,Bara ndio hawataki.
Kwamba Taiwan na Hong ziwe Nchi huru na jirani ya China? Thubutu.
Tanzania ni Moja ila Tabia ndo zinatofautiana kulingana na Kabila, Koo na Watu Flani. Ukijumlisha Idadi ya Wazanzibar walioko Bara wanaomiliki nyumba kama Watanzania, Wanamiliki leseni za Biashara kama Watanznia, Wanamiliki NIDA, Wameoa na kuolewa kama Watanznia.Kwanini wasiombe tu muungano uvunjwe.
Mbunge mjinga huyu na bado akili yake bado ya kipuuzi sana.Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Mimi sidhani kama kuna haja ya hiyo passport. Shida hakuna mpango miji, kila sehemu ukitaka kujenga mwisho wa siku watu watakata tuu miti na misitu ili kujenga, ishu hapo Zanzibar yale maghorofa aliyojenga karume kipindi kile basi yalitakiwa kuendelezwa hiyo hivyo, shida wameacha jenga nyumba za kwenda juu wameruhusu watu watambae na kujenga sehemu yoyote ile. Shida zao wala urojo wanataka kuleta mpaka kwa watu wengime wasiyo husika.Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Siyo akili zake hizo ni akili za kuambiwa. Kuna wakubwa wako na interest na huo mpango.Mbunge mjinga huyu na bado akili yake bado ya kipuuzi sana.
Dhana za uzanzibar ni lazima zivunjwe, ili baadae iwe kama DUBAI.Siyo akili zake hizo ni akili za kuambiwa. Kuna wakubwa wako na interest na huo mpango.
Pia WANOTOKA ZANZIBr kuja Bara wawe na passport .Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.
Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.
“Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.
Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.
“Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.
Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.
=====
My Take
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Mbunge WA CCM kama wewe,angesema haya maneno,ungepiga mokofi na vigele gele.Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.
Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.
“Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.
Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.
“Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.
Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.
=====
My Take
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Kwahiyo Tanganyika iendelee kuwa kama shamba la bibi tuu, na hao Zanzibar wanatumia Tanganyika kama shamba la bibi tuu.Dhana za uzanzibar ni lazima zivunjwe, ili baadae iwe kama DUBAI.