Mbunge Mwita Waitara amwaga machozi mbele ya Wanahabari

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini, Mwita Waitara ameilalamikia Serikali ya mkoa wa Mara kwa kutomshirikisha katika zoezi la uwekaji wa vigingi vya mipaka katika hifadhi ya Serengeti.

Waitara ametoa malalamiko hayo leo mach 28, 2023 jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari,

Waitara amesema kuwa hapo awali walikubaliana na Serikali ya mkoa wa Mara juu ya zoezi hilo la uwekaji wa vigingi lakini cha kushangaza zoezi hilo limeanza sasa bila kumshirikisha mbunge wa jimbo hilo

Video kwa hisani ya Ngasa TV
Inasikitisha sana...

 
Wewe tuondolee maigizo yako ya kifala fala jitu zima kujiliza na michezo ya kitoto unadhan tuna time na upumbavu huo!?

Eti huyu nae akawa waziri ea JMT jamani nchi hii ina safar ndefu sana...huyu kwa upumbavu huu et nae akawa mtunga sheria w katika bunge la Tanzania huku wasomi kibao wakiwa wanasoma bila raman za msingi.
 
Namfahamu sana Waitara. Hapo alikuwa anamwaga chozi kwasabb ya ulevi (he shed tears under alcohol influence) . Akishalewa Waitara huwa ndiyo zake kulialia.

Waandishi wa habari waliokuwepo wakiwa wakweli wanaweza kuthibitisha hili.
 
Waandishi wa habari kabla ya kukubali mwaliko wa mwanasiasa muwe na uhakika kuwa hajalewa.
 
Namfahamu sana Waitara. Hapo alikuwa anamwaga chozi kwasabb ya ulevi (he shaded tears under alcohol influence) . Akishalewa Waitara huwa ndiyo zake kulialia.

Waandishi wa habari waliokuwepo wakiwa wakweli wanaweza kuthibitisha hili.
Unakuta hapo ametoka mnadani na ananuka nyama 😅

Mleta mada tuletee press nzima ilikua inahusu nini?
 
Back
Top Bottom