Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Mziki wa Heche huoWala siyo yeye. Ni pombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mziki wa Heche huoWala siyo yeye. Ni pombe
ACT ni sawa na gari la budege au zoazoaIla yule afande ni mzinguaji sana
Huyo anaitwa MASATO [emoji2] [emoji4]Labda kama anaitwa Nyangeta au Nyangere .
Hayo ndiyo madahara ya JiweHii nchi ina-watu wa hovyo sana.
Maccm yamelaaniwaAnalia tena bila sababu...Kuvamia mbuga kama Serengeti halafu waachiwe? Mimi ntavamia Ngorongoro basi, ili kama noma na iwe noma
Ataisoma nambaMambo yameanza kunoga kwa wapinzani wa kweli na kuwa segemnege ndani ya CCM.
Tazameni Waitara anavyolia kama mdoli mbele ya wana habari.
Naona sasa mkoa wa Mara unaenda kurudi kwa wana Chadema na safari hii inawezekana tukachukua majimbo yote ya mkoa wa Mara.
Kumbe!! Ndiyo maana anasema chadema wapita Serengeti na wamemsagia kunguni kweli kweli.Mziki wa Heche huo
Sijawahi kumkubali huyu jamaa sijui ni ile anavoongea kama ana kitu cha moto mdomoni?Mambo yameanza kunoga kwa wapinzani wa kweli na kuwa segemnege ndani ya CCM.
Tazameni Waitara anavyolia kama mdoli mbele ya wana habari.
Naona sasa mkoa wa Mara unaenda kurudi kwa wana Chadema na safari hii inawezekana tukachukua majimbo yote ya mkoa wa Mara.
Heche atakuwa Tarime mjiniMziki wa Heche huo
Vyovyote iwavyo tumedhamilia mh Heche awe mbunge mmojawapo hapa MaraHeche atakuwa Tarime mjini
Namuona hata Silinde akilia kama WaitaraSasa analia nini huyo sialiunga mkono juhudi
Tatizo sio mbuga bali anawaza namna gani atarejea kwenye kilinge cha kujadili mambo ya ugaigai
Gambe kupitiliza mkuuSijawahi kumkubali huyu jamaa sijui ni ile anavoongea kama ana kitu cha moto mdomoni?
Usaliti haujawahi kumuacha mtu salamaNamuona hata Silinde akilia kama Waitara
Habari zake zimekwisha maana mbeleko iliyotumika kumpatia ubunge imekwisha chanikaKumbe!! Ndiyo maana anasema chadema wapita Serengeti na wamemsagia kunguni kweli kweli.
Huyu ni Mkurya wa Ukonga, umesahauSasa ndio analia Mkurya wa wapi huyu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sijawahi kuona Chifu analia!!! Huyu hawezi kuwa Chifu wa Wakurya labda ni chifu kiumbe au Q Chief !
😁uzuri wote sio wageni kwenye hii nchiMtaijua CDM nyinyi Sukuma gang