02 April 2023
Kijiji cha Nyanungu
Tarime Vijijini, Tanzania
SABABU ZA MBUNGE WAITARA KULIA MBELE YA VYOMBO VYA HABARI AWEKA WAZI
Afanya mkutano na wananchi kuwaelezea kuhusu kutotambua beacon zilizowekwa.
Mbunge Mwita Waitara atangaza kuanzisha mgogoro na serikali kwa ajili ya kuitafuta haki ya wananchi wa vijiji na vitongoji vilivyoathiriwa kwa kuwa wananchi hawajashirikishwa uwekaji beacons kuonesha maeneo