Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Tatizo ni mahakama zetu ukiwaona majaji na mahakimu wakiwa na mavazi Yao unasema Hawa ni watu wa kazi ngoja sasa ifike muda wa kuamua kesi ni ujinga mtupu, Rostam alikuwa sahihi sanaWith a rotten system, Mwisho wa movie lazima ataachiwa huru tu. Manakumbuka Kigwangala aliwahi kutuhumiwa kumpiga mtu risasi ya mguu? Nini kiliendelea? Bashite na Sabaya wapo uraiani na kulikuwa na evidence za uhalifu hadi footage za CCTV camera. Msitarajie jipya hapo, baada ya Wiki moja hili sakata litasahaulika
Daaah hii sentensi ina maana snKama sabaya yupo huru kila mtu kutoka ccm kinawezekana
Salakasi tu hizo
Angemuomba Lema amvusheUsaliti ni laana
Uongo wake!chanzo....?
Wakili Madeleka tayari Yuko huko nafikiri kesho kesi inafunguliwa. Hii Kasi sio ya kitoto.Hii story ina kasi sana!
Story za Abunuwasi za mashabiki wa Gekul kufanya spin.Hahaha GEKUL, akili kisoda !!.
Inawezekana kabisa picha lilikua hivi..
Wabaya wake walimpenyezea Taarifa za uongo kua Kuna madogo wanataka wakuwekee sumu.
Wabaya wakamwambia, tutakusaidia hao madogo walotumwa tuwakomoe .
Naye kwakua anakikundi Cha Wahuni, akawasikiliza.
Madogo wakatekwa kweli Ofisin kwake , Wabaya wakiendelea kurekodi video na sauti.
Kwakua madogo hawakutenda, ikawalazimu madogo wakatae katakata !!.
GEKUL akichokonolewa na wabaya wake, wafanye hivi ,wafanyie hivii...
Wabaya wakawa wamepata walichonacho.
Wabaya wakaamua kulilipua mtandaoni .
Wabaya hao hao wanamwambia toroka ,torokaaa .
GEKUL akili kisoda, naye huyoooo !!.
Katika kipindi alichotakiwa kutulia ni hiki.
Nimeandika humu, GEKUL achukuliwe hatua za SHERIA , Ndani yake Kuna upepelezi Ndani yake Kuna Kila kitu mpaka SHERIA kutoa hatima .
GEKUL akijichanganya ,Kila kitu chake kitaenda mrama !!.
GEKUL atajiua !!
Wabaya watashinda, HUSUSAN WABAYA WAKE AMBAO NI WATI WAKE WANAOFANYA NAYE BIASHARA NA MADEALS MAKUBWA KUBWA !!.
Kama Panya buku(Hamas) wa Palestine wanavyo ishiWatu waovu wenye mamlaka wakivuliwa mamlaka huwa waoga sana. Anakimbia nini na wananchi anawaachia nani awawakilishe? Wanasheria wameisha nchi hii? Hapa ndio wanawake sasa tunaonekana tunaweza kuhimili mikiki au lah. We can never be men aiseee
kumbe mwanzo alikuwa ni cdm!!! then akakimbilia ccmUsaliti ni laana
hana alicho ibiwa...chawa wake alimwambia kuwa mmoja wawafanyakazi wake muhudumu wa hoteli yake amekuja hapo kwaajili ya kumpeleleza na kumuwekea dawa za kienyeji...
huyu mbunge kwa kutumia akili za makalio akamteka huyo mfanyakazi wake na kumtesa mateso yaliambatana na kuamrisha aungiziwe chupa sehemu za siri
Walio vamia Clouds FM live bila chenga!!!!Waliompiga Lissu risasi mpaka leo hawajakamatwa.
Jambazi aliyeuwa, na yeye anahukumiwa kuuawa. Je, jambazi aliyemuingizia mtu chupa makalioni inafaa ahukumiwe adhabu gani?Duh huyu kweli jambazi