[emoji1][emoji1][emoji1]kwamba huyo mtu anafaa kwenda jumba la makumbusho kwa maajabu hayo.Yani kama utamchagua huyu kiongozi arudi pale mjengoni wewe unatakiwa kuwa miongoni mwa maajabu!
Yani hapa naporomosha mitusi hadi nakera watu.
Kama namuona mamba 😎Rais Magufuli Amteua Mwigulu Nchemba Kuwa Waziri wa Katiba na Sheria
View attachment 1437810
Sent using Jamii Forums mobile app
Haitasaidia. Calm down. BbYani hapa naporomosha mitusi hadi nakera watu.
Yani sisi kama nchi tunafanya utani mwingi sana!Haitasaidia. Calm down. Bb
mzee kachanganyikiwa. ukute amesahau hata kama ameteua mtu aliewahi kumtumbua.Ndio mjiulize kama hufukuza watu kwa masilahi ya Taifa au lengo huwa ni kutaka ku-make headlines.