Elections 2015 Mbunge wa Jimbo la Monduli, Julius Kalanga (CHADEMA), ajiuzulu na kuhamia CCM

Wabunge wanaohama kwenda CCM ni wachumia tumbo kwa sababu moja tu,wanaenda kugombea tena nafasi ile aliyoiacha,nitawaamini endapo wakiondoka upinzani na kutogombea tena,muangalie nyalando kaacha katulia kimya anafanya mambo yake.
Hapa duniani hakuna binadamu ambaye si mchumia tumbo. Hata mimi na wewe sote ni wachumia tumbo. Ila binadamu wengine wamezidi mno!. Yaani ruzuku yote ya chama kila mwezi inaenda kwenye tumbo moja kulipia madeni hewa yasiyoisha. It is just too much 'uchumia tumbo'!
 
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Monduli kwa Tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , Mhe. Julius Kalanga amejiuzulu na kujiunga na Chama cha Mapinduzi @ccm_tanzania muda huu kwa kile alichoeleza kuwa ni kuunga mkono juhudi za Mh.Rais Dkt @MagufuliJP. Darmpya on Twitter
 
Shida sio kuhama chama ,bali shida ni mabilioni ya pesa ya kodi za wananchi wanyonge yanayotumika kurudia uchaguzi.
 


Yaani wewe mpaka leo hii hujui kwamba bajeti mbadala ya upinzani iko kikatiba na kisheria?
Unadhani wanajitungia tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…