Pre GE2025 Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Sendeka kamaliza biashara ya Tanzanite Arusha watamuondoa tu. Kaaribu soko watalii hawawezi kwenye kununua Tanzanite migodini! Wachimba mawe hawatamwacha
 
Ole Sendeka ni mtu wa DEAL chafu sana. Isingekuwa siasa angekuwa jambazi. Muache apate mshahara wa dhuluma
 
Tumekuelewa bwana
 
Kuna mijitu Haina shabaha!
 
Tupe kwanza mazingira ya kukoswa koswa na hizo fisasi na mkasa mzima.
Kafumaniwa?
Amepora kitu?

Ole Sendeka anajulikana kwa maongezi yake ya kuudhi, hivyo hatushangai leo kakutana na mkora mwenziwe!
 
Akijieleza kwa Waandishi wa Ayo TV mh Ole sendeka amesema Baada ya kushambuliwa na Wasiojulikana alijibu Mapigo kwa kupiga risasi juu kwa kutumia Silaha nzito nzito na Wasiojulikana wanakimbia

Kumbe Tundu Lisu angekuwa na Silaha siku hawa Wasiojulikana walipomshambulia angeweza kuwadhibiti

Demokrasia ina gharama 🐼
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…