Pre GE2025 Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana

Pre GE2025 Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Akili yangu ya kifugaji na elimu ya la 4B inanisukuma kuamini kuwa Mh. Ole Sendeka ameipiga risasi gari yake ikiwa imesimama na kisha kutoa Taarifa Polisi kwamba ameshambiliwa. Hii ni akili yangu na siamini kuwepo Kwa Uhalisia katika tukio hili. Kama ni kinyume Mzee Sendeka nisamehe.
 
Inasemekana kuwa mbunge wa Simanjiro Mh. Christopher Ole Sendeka amepigwa risasi na watu wasiojulikana akiwa Simanjiro.

Amekimbizwa hospitali katika juhudi za kupambania maisha yake.
Taarifa zaidi zitakujia baadae.
Hakuna alie salama..!!

---

Mbunge wa jimbo la Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka amenusurika kuuawa baada ya watu wasiojulikana kuliahambulia gari lake kwa risasi mapema leo jioni hii.

Baadhi ya mashuhuda waliokuwepo katika eneo hilo wameeleza kwamba walisikia milio ya risasi ikishambulia gari hilo kabla ya washambuliaji kutokomea kusikojulikana.

Taarifa za uhakika kutoka Simanjiro zinaeleza kwamba mbunge huyo pamoja na dereva wake wote wamenusurika baada ya gari lao kushambuliwa kwa risasi wakati wakiwa jimboni humo.


Soma pia > CCM imuadhibu Ole Sendeka kwa kuvamia mashamba na kuharibu amani
Walitakiwa wamtie za paja kama zile alizomiminiwa mchina mweusi "Lee Su"
 
Akili yangu ya kifugaji na elimu ya la 4B inanisukuma kuamini kuwa Mh. Ole Sendeka ameipiga risasi gari yake ikiwa imesimama na kisha kutoa Taarifa Polisi kwamba ameshambiliwa. Hii ni akili yangu na siamini kuwepo Kwa Uhalisia katika tukio hili. Kama ni kinyume Mzee Sendeka nisamehe.
Uchunguzi wa polisi utalibaini hili kirahisi kupitia bunduki na risasi iliyotumika. Upo hapo ewe form 4B??
 
Inasemekana kuwa mbunge wa Simanjiro Mh. Christopher Ole Sendeka amepigwa risasi na watu wasiojulikana akiwa Simanjiro.

Amekimbizwa hospitali katika juhudi za kupambania maisha yake.
Taarifa zaidi zitakujia baadae.
Hakuna alie salama..!!

---

Mbunge wa jimbo la Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka amenusurika kuuawa baada ya watu wasiojulikana kuliahambulia gari lake kwa risasi mapema leo jioni hii.

Baadhi ya mashuhuda waliokuwepo katika eneo hilo wameeleza kwamba walisikia milio ya risasi ikishambulia gari hilo kabla ya washambuliaji kutokomea kusikojulikana.

Taarifa za uhakika kutoka Simanjiro zinaeleza kwamba mbunge huyo pamoja na dereva wake wote wamenusurika baada ya gari lao kushambuliwa kwa risasi wakati wakiwa jimboni humo.


Soma pia > CCM imuadhibu Ole Sendeka kwa kuvamia mashamba na kuharibu amani
Naona Chanzo Cha Matatizo(CCM) mmeanza kutengeneza movie ili kufunika ripoti ya CAG ya zile billion 6 zilizokusanywa na Halmashauri ambazo mpaka sasa hazijulikani zilipo.
 
Mbunge wa Simanjiro Olesendeka ashambuliwa Kwa Risasi usiku huu na watu wasiojulikana. Amefutwa na gari Kwa muda na alipofika katikati ya Ng'abolok na Irkiushi, Kibaya, gari iliyokuwa ikimfuatilia ilijifanya kama inataka kupita na ghafla kuanza kumimina risasi kadhaa kuelekea mlango wa dreva.

Olesendeka na Dreva wote wako salama. Kwa Sasa wapo Kituo cha Polisi Kibaya. Taatifa pia imeshatolewa Kwa RPC -Manyara
View: https://x.com/mariastsehai/status/1773779899175584037?s=46&t=vDlGjN3mpXpeCEHCuyoPFg

Hakuna mwenye Haki ya kummimia risasi mtu yoyote awe mfungwa, CCM au CHADEMA au Layman yoyote no life is worth more than another.....
 
Back
Top Bottom