Mbwa aina ya Bulldog wajeruhi familia

Duuh poleni,walikuwa na kichaa?!
 
Utasikia wanawake

"Wanaume wote ni mbwa tu" πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚vilaza
 
Mbona wa bongo wengi tu wanafuga Germany Shepherd na hawana shida. Wako very calm na mbwa wazuri sana kwenye ulinzi. Hao pitbull ni hatari sana
 
Nna ndoto ya kumfuga simba aise

Ova
 
Sikushauri Mkuu Rottweiler sio mbwa wa kutegemea kiusalama ni aggresive sana, likitokea jambo hawezi kufikiri sawa sawa yeye ni kukamata na kurarua, tofauti na German shepherd au Belgian Malinois.

Ushaona wapi jeshi likitumia Rottweiler na ndugu zake kina pitbull, boureboule na bulldog. Marekani na South Africa alijaribu watumia miaka ya 1960/70s ikabuma.

Ni sawa na utumie Chihuahua kwa ulinzi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ni mbwa sawa ila sio mbwa mlinzi.

Kuna mbwa wa show off pitbull na nduguze
Kuna mbwa wa ulinzi G shepherd na B Malinois
Kuna mbwa wa mapambo wakina Chihuahua na midoli wengine
 
Bulldog ni wanyama wa mwituni sio wa kukaa maeneo ya makazi ya watu. Kwenye report za uvamizi wa mbwa kwa wamiliki wao, Bulldog wanaongoza. Wenzetu nje baadhi ya familia wameshaanza kutemana na hii breed.
Mbona mnatumia jina la Bull dog katika kesi isiyo muhusu? Huyo sio Bull dog, huyo ni Pitbull. Bull dog hawapo aggressive hivyo na wengi ni wastarabu.
 
Hawa mbwa mimi sishauri mtu kufuga kwasababu wanashida ya kuwa aggressive haraka. Mfano unaweza mtrain kwa kumdisiplini atii maagizo yako fresh tu ila siku ukafanya nae mzaha wa kumtania kidogo tu au ukafanya kitu ambacho si cha kawaida kwake na hajakipenda atakuzingua sasa kosea umpe nafasi ya kukubali akuzingue hapo ndipo utajua haujui akisha kukosea adabu mara moja ataongeza tena na tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…