Mbwa aina ya Bulldog wajeruhi familia

Daah watu wanafuga Simba bila kujua hao sio mbwa wa kawaida na wana nguvu mno niliwahi kuona jamaa alimfunga na mnyororo wa kawaida kwenye pick up yake nyuma akamwacha baadae yule Bulldog alitoka kama ajafungwa kitu na kuruka nje ya gari bahati nzuri aliemfata kumjeruhi alimchapa risasi bila kujiuliza ilikua maeneo ya Centurion na muhuni aliondoka kama hakuna tukio lililotokea..
 
🀣🀣 hamna kitu kichwani...nguvu tu.
 
Kichwani hamna kitu sio [emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…