Mbwa aina ya Bulldog wajeruhi familia

[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kunju yupi huyu mfanya kazi wa GGML au?
 
Afrika ni zero brain,badala wapige risasi za usingizi kisha wachunguze kwa nini wamebadilika ghafla-wao wanaua.
Waliosema akili ni mali hawakubahatisha-kwa kweli.
Nadhani wewe ndio hizo akili hauna
Halafu baada ha hapo wanawapeleka wapi? Kwako eeh?

Mnyama akishakula damu ya binadamu it must die..
 
Pepo ndio kitu gani we mzee,achana na habari za kusadikika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…