Mbwa aina ya Bulldog wajeruhi familia

Eti kichwani hamna kitu 😂
Empty set🤣
 
Ukifuga mbwa unatakiwa umzoeshe watu tokea akiwa mdogo, na uwe unampa mazoezi ya kutosha, haswa mbwa wakubwa wenye nguvu.

Watu wanakariri kufuga mbwa wa kizungu fashion, kama unamnunua ili akae bandani atoke usiku tu bora uache.
Sasa anakuzoea halafu anapoteza kumbukumbu nawe ndio unajikuta unampigia mzluzi Kama hujashangaa kaondoka na mdomo wako
 
Eti Simba😂
 
Wazoefu wa mifugo wanasema

Kuwa mifugo kama hiyo ina mda maalumu wa kufugwa yaani ana mda maalumu wa kuwa naye hapo nyumbani kwako na akizidi huo mda anakuwa ana chukua tabia za kibinaadamu yaani anakuwa na wivu na watu wanaomfuga anakuwa na wivu kwenye chakula anataka ale kama anayemfuga au zaidi ya anayemfuga anakuwa na wivu upande wa mapenzi kama utakuwa na mpenzi wako na mapenzi yenu yatakuwa moto moto anakuwa anakuonea wivu yaani atatamani huyo mpenzi wako mke/mme wako awe naye yeye yote hayo ni kupita mda wa kuwa hapo nyumbani na wewe/nyie , mbwa wowote wale wawe wamapambo au wale wa ulinzi hali hiyo inawakuta

Wale wa mapambo huwa wanasusa na kuamua kuondoka kwenye nyumba’ mfano kama umeshawahi kusikia mbwa anatafutwa na picha watu wanaiweka mtandaoni wanaweka na ofa kwa atayempata atapewa kiasi fulani

Wale wa ulinzi uwa wanajeruhi na kuleta madhara kama hivyo

Hii ni kwa wanyama wote wanaokaribishwa nyumbani kama ulinzi au mapambo,chui,simba,mbwa,paka yeyote yule hata awe mamba ilimradi amekaribishwa nyumbani awe rafiki inatakiwa elimu itolewe kama kuna mda fulani ukishapita wapelekwe pahala pa uangalizi wa taifa wao watajua wawafanye nini? Kwani haitakiwi kuishi naye nyumbani tena

Poleni sanaa majeruhi M/Mungu atawapa na nafuu
 
Eti utalia na kusaga meno🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Badili mwaka weka 2024
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…