Los santos
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 1,167
- 2,591
Hao mbwa hata ukiwatupa kuzimu shetani anakimbia ,sitaki hata kuwasikia aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ulichojibu ni pumbaaa uliemjibuu kakupotezea tuu ila nimeona nikwambieee hao sio mbwa wakusema utamfundisha akafundishikaaaa... akiwa anashambulia mtu wew mwenye nae huwezi mkataza zaidi atakugeukia na wewe.Ungesoma nilichojibu na kuangalia Majibu yangu kwenye huu mjadala nafikiri usingekurupuka kujibu .....Rudi angalia niliyemjibu alikuwa ameandika Nini... Muwe mnasoma kuelewa sio mnasoma kujibu ...na msome aliyejibu alijibu(aliquote Nini).... Niliyemjibu ni Oppomall ambaye alisema " Hao mbwa wangepelekwa polisi wakafunzwe" ..ndio nikamjibu " samaki mkunje ingali mbichi " wanapelekwaje polisi kufundishwa wakiwa wakubwa hivyo ... !!? Pia, nilikoment mwanzo kabisa kabla ya hicho ulichosema nilisema mwanzo " hao mbwa hata uwazoee vipi hata kama unalala nao" .... Wakicharuka wanacheza na wewe.... Sasa sijui UMEKULA MAHARAGE YA WAPI .... kurupu... Punguzeni ujuaji..soma kuelewa alichoandika mtu na ufuatlilie michango yake katika mjadala husika.....
hatari sana hata wale rotwellers nao sio mchezooo...!! ila bulldog ni full stop sio wa kufugaaa kabisaShida ya watu wengi wanakurupuka tu kuanza kufuga bila kujua aina salama ya mbwa wa kufugwa majumbani. Yaani hao sio mbwa kabisa na sio uongo hata ulale naye kitanda kimoja ipo siku tu lazima atakudhuru tu. .
Wote kweli wamefanya uzembe!Hao watoto kuna namna alikosea, mbwa ukute kanguruma wao wakaanza mbio au madihara nae.
Hao watoto ndio walitakiwa kumuita jina, huyo mama na kaka hawakupaswa maana mbwa anaweza tafsiri kama amri ya kushambulia sababu kwanza anayemwita anamjua na probably atamwita kwa uoga au vilio so kwa mbwa ni kuwa mmiliki wake yupo hatarini. Aisee hatakuacha salama.
Mbwa ni wakorofi ils hakuna mbwa mkorofi kwa mtu anayeweza kummudu. Kumpa mbwa chakula sio kigezo eti hatakushambulia. Kigezo pekee ni kuweza kummudu tu.
Point nyingine muhimu, mbwa wanafundishwa kwa rangi, sasa kuwa makini na mavazi yaliyopo nyumbani kwako na muda yanapotumiwa.
Katika hali zote kuna uzembe hao watoto waliufanya ukawaponza wote.
Ona mbwa ingine mnadandiaga tu matreni Kwa mbele .... Nenda kasome comment#193 niliandika nini....halafu wewe na mwenzako wa commens za mbeleni mnasema Nini kama sio kilekile nilichokisema post za Nyuma.... Niliyekuwa namjibu hapa ni aliyesema "hao mbwa wasingeuliwa wangepelekwa polisi".... Ndio nikamjibu samaki mkunje ingali mbichi hata Kwa mbwa lakini Sio hao ... Mnasomeaga ujinga wapi ndugu ZANGU...ulichojibu ni pumbaaa uliemjibuu kakupotezea tuu ila nimeona nikwambieee hao sio mbwa wakusema utamfundisha akafundishikaaaa... akiwa anashambulia mtu wew mwenye nae huwezi mkataza zaidi atakugeukia na wewe.
samaki mkunje angali mbichi hii methali haiendani na unachokisemaa na tukio kijana rudi shuleee...!!Ona mbwa ingine mnadandiaga tu matreni Kwa mbele .... Nenda kasome comment#193 niliandika nini....halafu wewe na mwenzako wa commens za mbeleni mnasema Nini kama sio kilekile nilichokisema post za Nyuma.... Niliyekuwa namjibu hapa ni aliyesema "hao mbwa wasingeuliwa wangepelekwa polisi".... Ndio nikamjibu samaki mkunje ingali mbichi hata Kwa mbwa lakini Sio hao ... Mnasomeaga ujinga wapi ndugu ZANGU...
kwasababu sikuhizi inachanganywa na breed ya simba ama chui, hii niliona SA. enewei siyo ya kufuga hayaBulldog sio breed ya kufuga
Mkuu naona umeamua tu kukomaza shingosamaki mkunje angali mbichi hii methali haiendani na unachokisemaa na tukio kijana rudi shuleee...!!
hapo umefafanua vyemaaa... kumbe jamaa sio kijana wa ovyoooMkuu naona umeamua tu kukomaza shingo
Jamaa tangu mwanzo alisema aina hii ya mbwa siyo ya kufuga..labda kama umeanzia mjadala katikati.
Kuhusu hilo jibu ni kwa yule aliyesema kwanini wamewapiga risasi mbwa..ndio ikawa mbwa alishaleta madhara lazima auawe..licha ya kwamba si mbwa wa kufugwa,lakini pia hawezi pelekwa huko maliasili hali ya kuwa alishajeruhi watu na tayari ni mkubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia hao mbwa wanahitaji kuchangamshwa kama kutembezwa nje wakiwa wamefungwa ili wasiboreke. Wakiboreka wanapagawa ndio majangaPole Sana pia ukiachana na aina ya Mbwa wabongo hufuga mbwa Ila hawawapi chakula bora na kizuri cha kuishibisha akili na tumbo .
Hii chai..hata kama biology tuliishia Form 4: Mbwa na Simba au Chui ni species tofauti hawawezi kuzaa...chromosomes haziwezi shikanakwasababu sikuhizi inachanganywa na breed ya simba ama chui, hii niliona SA. enewei siyo ya kufuga haya
Bora kufuga chatu lakini si hawa mbwa wenye vinasaba vya shetaniMods unganisheni hii