TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

Ni kwel wakuu nimepata picha dah its sad aseeh
 
Chinembe ni Mungu yupi huyo????? Mungu ni wa rehema na hataki hata mmoja apotee.

Kama huyo Mungu wa Lowasa anaua kila atakayemsema basi atauwa watu wengi sana. Lile kusudi la kazi ya msalaba litakuwa limefitinika.

Bwana wetu Yesu Kristo alifanyiwa kila namna ya uovu akasema Baba wasamehe hawajui wafanyalo. Huyo Mungu wa kulipiza papo kwa papo !!!!!!! Mh!!!!! Wapi kazi ya MSALABA???

Damu zilizomwagika hata sasa kama ni mapenzi ya Mungu zitaenda kwa AMANI. Kama ni umafya na ushirikina basi tegemeeni KISASI cha Bwana.

Queen Esther

Mtu asije akakudanganya neno wasamehe na kuwaombea Baraka ndio laana yenyewe,unapo muombea adui yako Baraka,Mungu hugeuza baraka kuwa laana ndiyo maana hata Yuda mwenyewe alichukua kitanzi akajitundika pamoja na kuombewa msamaha na Yesu.
 
Mchungaji mtikila amapata ajali ya gari na kufariki dunia
 
...ajuae bwana Mungu kwa mzima kuwa mfu, mgonjwa kuwa salama Leo tunampa pole....
 
Nadhani sasa mmejione umafya wa LOWASSA

Lowassa Anahusikaje Hapa? Endeeleni Kumsema Mpakwa Mafuta Wa Mungu. Mungu Atamnyoosha Kila Mmoja Aliye Msema Mtumishi wake Lowassa. Mtavuna Mlichopanda Mpaka Mwondoke Madarakani. Mungu Yupo Upande wa Lowassa.
 
Tivii yenu so leo mnakesha huko msibani ama? Wacha edo aje kutoa pole
 
Wakuu,

Kuna taarifa kwamba Mchungaji Christopher Mtikila amepata ajali ya gari mkoani Pwani alfajiri ya leo, taarifa zaidi tunasubiria kutoka kwa Kamanda wa Polisi mkoani humo.

=====
UPDATE:

JamiiForums imeongea na RPC na amethibitisha kutokea kwa tukio hili na kusema kuwa "Taarifa za mwanzo" zinasema amefariki saa 12 kasorobo asubuhi kijiji cha Msolwa, Chalinze.



Huyu ndiyo Mgombea wa Urais aliyetabiliwa atafariki? Au tusubiri mwingine? RIP Mch. Mtikila!
 
Duh. Kuna nini ? Mkangara alisema Lowasa ni mgonjwa Akafa yeye,Mtikila alisema Lowasa ni mgonjwa Amekufa yeye, bado wengine kama 3 wanaomsakama lowasa kwa ugonjwa na ni bahati Mtikila aliondolewa kwenye kinyang,anyilo cha Urais muda huu uchaguzi ungehairishwa hadi January 2016
Afya ya Lowasa sasa itakuwa imara sana! Amepona kabisa.
 
Alimkashifu lowasa kuhusu ugonjwa,mpaka akatishia kumshitaki mahakamani kwamba kwa nini anagombea wakati ni mgonjwa

Kwa hiyo kumbe Lowasa siyo mgonjwa? Kwa hiyo wewe unataka tumpeleke ikulu ili akapate nafuu ya kujitibia kwa fedha zetu na mfululizo wa ruhusa za mapumziko ya ugonjwa? Hivi unajua kuwa ikulu kulala ni bahati na kazi ni nyingi kuliko muda? Kama Mtikila atakuwa amekufa ujue hajafa na hoja hii. Swali liko pale pale. Ikulu siyo chaka la wagonjwa. Bora aende mtu mzima ugonjwa uanzie akiwa tayari ikulu na siyo aende nao eti tunamsindikiza sisi watanzania.
 
Kweli mch.amefariki gari imeacha njia na kupinduka watu 3 wamejeruiwa na 1ambaye ni mch. Mtikila amefarik
Rip mch.
Source:ITV
 
Chinembe ni Mungu yupi huyo????? Mungu ni wa rehema na hataki hata mmoja apotee.

Kama huyo Mungu wa Lowasa anaua kila atakayemsema basi atauwa watu wengi sana. Lile kusudi la kazi ya msalaba litakuwa limefitinika.

Bwana wetu Yesu Kristo alifanyiwa kila namna ya uovu akasema Baba wasamehe hawajui wafanyalo. Huyo Mungu wa kulipiza papo kwa papo !!!!!!! Mh!!!!! Wapi kazi ya MSALABA???

Damu zilizomwagika hata sasa kama ni mapenzi ya Mungu zitaenda kwa AMANI. Kama ni umafya na ushirikina basi tegemeeni KISASI cha Bwana.

Queen Esther

Kasome biblia vizuri usibwabwaje bwabwaje tu hapa.
Mwisho wa amri zake Mungu anasema....Mimi ni Bwana Mungu wako, Ni Mungu mwenye hasira. Nami huwalipiza visasi Maelfu kwa maelfu.....Na hata kizazi cha tatu na cha nne......
 
Lazima chadema mchunguzwe tena kwa kufo hiki na cha Chacha Wangwe. Huwezi kufurahia kifo cha binadamu kiasi cha kumpongeza eti Mungu wa Ukawa! Wachunguzi wa assassinations waitwe kubaini hii ajali inaweza kuwa ya kutayarishwa na nyie mlioupokea msiba huu kwa furaha.

kufo ndio nini jifunze kuandika.
 
R I P mchungaji Christopher mtikila...

Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi..
 
Wakuu,

Kuna taarifa kwamba Mchungaji Christopher Mtikila amepata ajali ya gari mkoani Pwani alfajiri ya leo, taarifa zaidi tunasubiria kutoka kwa Kamanda wa Polisi mkoani humo.

=====
UPDATE:

JamiiForums imeongea na RPC na amethibitisha kutokea kwa tukio hili na kusema kuwa "Taarifa za mwanzo" zinasema amefariki saa 12 kasorobo asubuhi kijiji cha Msolwa, Chalinze.

===>Haya mambo yenu ya kuambiana sijui nani mgonjwa anaumwa,naona sasa yaishe,hakuna anaeijua kesho yake,tuwe na adabu na watu!
 
Back
Top Bottom