Uko sahihi kabisa, na kizazi hiki wamekwisha.CCM wanatabia wakiona maji shingoni, mahubiri ya amani yanaanza.
Hakuna wakuwaokoa kipindi hiki... it is going down.
Unauliza kibri anaipata wapi wakati anakemea watu wanaojaribu kuichezea salama na amani yuliyonayo?Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.
Swali.
Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.
Hii kibri anapata wapi?
Webibi ameeleza niwatu gani specific au anatisha watu jumlajumla!! Awataje live niwapi hao anaowakusudia je niwale wapinga katiba mpya? Au niwale wanaogawa rasilimali kama bandari Kwa mikataba ya hovyo, au niviongozi wazembe wanaotafuna kodizetu? Au viongozi wanaopeana vyeo kiundugu mfano wakwe kuteuana? Au niwanaoiweka nchi gizani? Au wabunge walojiongeza posho na mishahara? Au wanaoibaga kura? Au wanaosababisha mafuta yawe shida? Au wanaopinga wizi,udhalimi na matumizi mabaya ya kodizetu?Unauliza kibri anaipata wapi wakati anakemea watu wanaojaribu kuichezea salama na amani yuliyonayo?
Kwanini huwaulizi wajivuni wanaotaka kuichezea amani? Kibri hiyo wanaitowa wapi?
Au na wewe ni katika hao wanaotaka kuharibu amani ya nchi?
Yeyote.Webibi ameeleza niwatu gani specific au anatisha watu jumlajumla!! Awataje live niwapi hao anaowakusudia je niwale wapinga katiba mpya? Au niwale wanaogawa rasilimali kama bandari Kwa mikataba ya hovyo, au niviongozi wazembe wanaotafuna kodizetu? Au viongozi wanaopeana vyeo kiundugu mfano wakwe kuteuana? Au niwanaoiweka nchi gizani? Au wabunge walojiongeza posho na mishahara? Au wanaoibaga kura? Au wanaosababisha mafuta yawe shida? Au wanaopinga wizi,udhalimi na matumizi mabaya ya kodizetu?
Niwepi haswaaa??? inaonesha umelewa vyema! Au Nicole mwenzio ktk Imani basi unashedadia...
Aliambiwa Jakaya itamfia...Uko sahihi kabisa, na kizazi hiki wamekwisha.
....ni katika haohaoUnauliza kibri anaipata wapi wakati anakemea watu wanaojaribu kuichezea salama na amani yuliyonayo?
Kwanini huwaulizi wajivuni wanaotaka kuichezea amani? Kibri hiyo wanaitowa wapi?
Au na wewe ni katika hao wanaotaka kuharibu amani ya nchi?
KWANI WEWE Fortilo ULIKUWA NA MPANGO WA KUIVURUGA AMANI YETU WATANZANIA?, KIPI KIMEKUCHUKIZA?Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.
Swali.
Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.
Hii kibri anapata wapi?
View attachment 2747361
Mmechukizwa kweli wenye malengo ya ugaidi na wote msioitakia mema Tanzania yetu.Hana maana huyo maana Rufiji kumejaa ufukara wa kutupwa hakuna barabara ya maana. Ukitoka pale Temeke Sudani kwenda Mloka unafika saa 12 jioni. Yaani kule kwetu nadhani kuna laana ya maisha. Huyo kafungia Kiredio anaonekana mkombozi kweli apambane na ufukara wa Rufiji yote halafu aje na viroja vyake. Huyu hakufaa kbs kuwa Waziri. Very bogus man.
Naunga mkono hoja ,tukicheka na nyani....Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.
Swali.
Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.
Hii kibri anapata wapi?
View attachment 2747361