Mchengerwa: Yeyote atakayejaribu kuichezea Serikali hatutamuacha salama

Mchengerwa: Yeyote atakayejaribu kuichezea Serikali hatutamuacha salama

Tatizo akiongea inaonekana kana kwamba anasukumwa na maslahi yake binafsi ya kifamilia badala ya yale ya wengi Yaani Umma wa watanzania.

Ako na conflict of interest.

Uhalali wake wa kunena unakuwa impaired sababu hayuko huru yuko biased .?!
 
Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.


Swali.

Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.

Hii kibri anapata wapi?

View attachment 2747361
Yaani mnataka amani lakini hamtakubali wengine watawale? Mbona ni conflict? You contradict yourself!!
 
Hana maana huyo maana Rufiji kumejaa ufukara wa kutupwa hakuna barabara ya maana. Ukitoka pale Temeke Sudani kwenda Mloka unafika saa 12 jioni. Yaani kule kwetu nadhani kuna laana ya maisha. Huyo kafungia Kiredio anaonekana mkombozi kweli apambane na ufukara wa Rufiji yote halafu aje na viroja vyake. Huyu hakufaa kbs kuwa Waziri. Very bogus man.
Mkwe hafai kuwa waziri!
 
Atatufanya nini?
Acheni kutishia watu
Tukio la kukamatwa Lissu kukamatwa ingekuwa hata hapo jirani mngesikia kitimutimu chake..
WaTz wapole sana msiwabatize tabia za uongo…
Hii nchi ni yetu sote sio yenu sisiem
Hii sio nchi ya kifalme tuanzie hapo

Kuna siku meza zitageuzwa sijui endeleeni kukomaza shingo.
 
Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.


Swali.

Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.

Hii kibri anapata wapi?

View attachment 2747361
Lazima atape tape maana anajua mkwewe akiondolewa madarakani, na yeye automatically ataondoka.
Yaani nchi mharibu wenyewe hadi mnataka kuiuza kabisa, halafu watu waendelee kuwanyamazia tu?!
Anyway kama mmejiandaa kuua wakosoaji wa serikali, basi hii awamu yenu mtavunja rekodi, toka tupate uhuru kwa mauaji mtakayofanya.
Maana ni ukweli ulio wazi kwamba Watanzania wengi wamechoshwa na utawala wenu unaowanufaisha wachache na kuwanyonya wengi.
 
Unauliza kibri anaipata wapi wakati anakemea watu wanaojaribu kuichezea salama na amani yuliyonayo?

Kwanini huwaulizi wajivuni wanaotaka kuichezea amani? Kibri hiyo wanaitowa wapi?

Au na wewe ni katika hao wanaotaka kuharibu amani ya nchi?
Alikuwepo Jiwe na Mwamba hapa nchini

Lakini leo ni udongo na mifupa

Hao ndio wanaosababisha Taifa kushangilia wapatapo matatizo

Hao ndio husababisha Taifa kuanza sala kama sala za kuomba aondoke
 
Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.


Swali.

Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.

Hii kibri anapata wapi?

View attachment 2747361
Hiyo speech peke yake ni kiashiria cha umwagaji damu.

Ni mjinga na mpumbavu pekee ambaye anakubaliana naye
 
Anachotakiwa kujua ni kwamba “ Public interests must come first before any other interest including personal and family one [emoji3516]
 
Tena yeye ndiye alipaswa kunyamaza kabisa.

Kwenye jamii ya waelewa wa mambo anapaswa kunyamaza kimyaa.

Maana kila atakapoongea ataaambiwa wewe unaongea sababu ya maslahi yako binafsi na familia yako [emoji108]

Of which Ndiyo ukweli.

Msingi wa msukumo wake upo hapo?!
 
Back
Top Bottom