Mchengerwa: Yeyote atakayejaribu kuichezea Serikali hatutamuacha salama

Mchengerwa: Yeyote atakayejaribu kuichezea Serikali hatutamuacha salama

CHADEMA Kwa nini mna panic si mlisema mumejitoa kwenye Maridhiano ambayo yangewasaidia kupata Katiba Mpya.

Sasa Rais amepiga chini hadi Jamii ipate uelewa wa Katiba Mpya na muafaka wa pamoja.

Saizi mumeishia kutukana Rais mitandaoni lakini very unfortunate haita wasaidia kitu,imeshawakata tungeni mbinu nyingine.

'Yeyote atakayejaribu kuchezea serikali hatutamuacha salama hata kidogo, hatutakubali hata kidogo. Misingi ya taifa letu Baba wa Taifa alikwishaiandaa, na sisi vijana wa karne hii tuliopata bahati ya kushuhudia utawala wa Rais wetu wa Awamu ya Kwanza [Hayati Mwalimu Nyerere] tumesema taifa hili litaendelea kuwa na amani na utulivu." - Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa
 
Waziri wa "Tamisemi" kuvaa Gwanda la "CCM" na kutoa kauli ambazo zilistahili kutoka kwa "Waziri wa mambo ya Ndani."

"Yeyote atakayejaribu kuchezea serikali hatutamuacha salama hata kidogo, hatutakubali hata kidogo. Misingi ya taifa letu Baba wa Taifa alikwishaiandaa, na sisi vijana wa karne hii tuliopata bahati ya kushuhudia utawala wa Rais wetu wa Awamu ya Kwanza [Hayati Julius Nyerere] tumesema taifa hili litaendelea kuwa na amani na utulivu." - Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa

Ni wazi maji yamewafika shingomi wana familia ya Mama Abdul.
Sasa tunaanza kuona rasmi akitekeleza kile alichoagizwa na Mama mkwe.

Mchengerwa, Acha kutumika vibaya maana 2025 inaweza ikakuacha kijiweni endapo hutakaa na Mama Abdul na kumwambia yafuatayo.

Mama yangu mpendwa ..
Ukweli ni kwamba sisi wachache ndio tunataka kuvuruga Amani ya nchi hii.

Madudu niliyoyakuta na yanayoendelea hapa TAMISEMI ni Ubadhilifu mkubwa Sana.

Pia hii DP-WORLD Mama nakushauri uachane nayo maana ndiyo imekuja kuwasha moto wa Hasira kutoka kwa wananchi.

Hivyo nilushauri Mama ama tuachane nao au tuurudie mkataba ma kuufanyia mabadiliko kabla ya kuusaini.
Mara yangu mpendwa usiwalaumu watu wa mitandaoni maana nimegundua ya kwamba wao ndio wakweli kuliko hawa wanaokuletea taarifa hapa ofisini.jaribu kuyatumia maoni yao mengi maana wao wako site mtaani.Na kweli huko hali ni mbaya mama.

Pia mama nakushauri uache kumtumia Abdul maana familia inazifi kuchafuka kupitia matendo yake kubainika hadharani na jamii.

Kisha mchengerwa unaweza kumalizia kwa kumshukuru kusema...Mama Naendelea kukushukuru kwa kinikubali na kuniruhusu kuwa mmojawapo wa familia hii ya mama Abdul.

Badala ya kuanza matisho kwa watanzania!
Ambayo hakika hayatakuacha salama.
Mambo ya usalama wa nchi waachie mawaziri wa wizara husika toka mambo ya ndani pamoja na wizara ya Ulinzi.

Wewe kaa hapo TAMISEMI maana ndio chimbuko la ufisadi.

 
Chadema vumilieni kutukana Rais humu jf na twitter hakuwasaidii kitu,mshapigwa na kitu Kizito tafuteni mbinu nyingine
 
cc Chadema na wafuasi wao,mkifanya mzaha kitakachowakuta ni 🔨🔨🔨🔨

Ni hayo Mimi ni mjumbe nafikisha ujumbe na kama ilivyo ada mjumbe hauwawi.

'Yeyote atakayejaribu kuchezea serikali hatutamuacha salama hata kidogo, hatutakubali hata kidogo. Misingi ya taifa letu Baba wa Taifa alikwishaiandaa, na sisi vijana wa karne hii tuliopata bahati ya kushuhudia utawala wa Rais wetu wa Awamu ya Kwanza [Hayati Mwalimu Nyerere] tumesema taifa hili litaendelea kuwa na amani na utulivu." - Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa
 
Waziri wa "Tamisemi" kuvaa Gwanda la "CCM" na kutoa kauli ambazo zilistahili kutoka kwa "Waziri wa mambo ya Ndani."
Ni wazi maji yamewafika shingomi wana familia ya Mama Abdul.
Sasa tunaanza kuona rasmi akitekeleza kile alichoagizwa na Mama mkwe.

Mchengerwa..Acha kutumika vibaya maana 2025 inaweza ikakuacha kijiweni endapo hutakaa na Mama Abdul na kumwambia yafuatayo...

Mama yangu mpendwa ..
Ukweli ni kwamba sisi wachache ndio tunataka kuvuruga Amani ya nchi hii.
Madudu niliyoyakuta na yanayoendelea hapa TAMISEMI ni Ubadhilifu mkubwa Sana.
Pia hii DP-WORLD Mama nakushauri uachane nayo maana ndiyo imekuja kuwasha moto wa Hasira kutoka kwa wananchi.
Hivyo nilushauri Mama ama tuachane nao au tuurudie mkataba ma kuufanyia mabadiliko kabla ya kuusaini.
Mara yangu mpendwa usiwalaumu watu wa mitandaoni maana nimegundua ya kwamba wao ndio wakweli kuliko hawa wanaokuletea taarifa hapa ofisini.jaribu kuyatumia maoni yao mengi maana wao wako site mtaani.Na kweli huko hali ni mbaya mama.

Pia mama nakushauri uache kumtumia Abdul maana familia inazifi kuchafuka kupitia matendo yake kubainika hadharani na jamii.

Kisha mchengerwa unaweza kumalizia kwa kumshukuru kusema...Mama Naendelea kukushukuru kwa kinikubali na kuniruhusu kuwa mmojawapo wa familia hii ya mama Abdul.

Badala ya kuanza matisho kwa watanzania!
Ambayo hakika hayatakuacha salama.
Mambo ya usalama wa nchi waachie mawaziri wa wizara husika toka mambo ya ndani pamoja na wizara ya Ulinzi.
Wewe kaa hapo TAMISEMI maana ndio chimbuko la ufisadi.View attachment 2747403
Onyo linakuhusu, Mchengerwa kaza hivyo hivyo

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1701686672377643381?t=0jdYJpc36nC9V4bv14RULw&s=19
 
Asitutishe! Na wao tunawaonya wasijaribu kutuchezea wananchi,Hii nchi ni Mali yetu wananchi,wao viongozi wamewekwa tu hapo watusaidie kiuongozi. Bahati mbaya sana wamejisahau na kuifanya nchi ni Mali yao! Uongozi yeyote atakayejaribu kutuchezea wananchi kipindi hiki atakiona cha mtema kuni! Tumechoka na sisi.
 
Waziri wa "Tamisemi" kuvaa Gwanda la "CCM" na kutoa kauli ambazo zilistahili kutoka kwa "Waziri wa mambo ya Ndani."
Ni wazi maji yamewafika shingomi wana familia ya Mama Abdul.
Sasa tunaanza kuona rasmi akitekeleza kile alichoagizwa na Mama mkwe.

Mchengerwa..Acha kutumika vibaya maana 2025 inaweza ikakuacha kijiweni endapo hutakaa na Mama Abdul na kumwambia yafuatayo...

Mama yangu mpendwa ..
Ukweli ni kwamba sisi wachache ndio tunataka kuvuruga Amani ya nchi hii.
Madudu niliyoyakuta na yanayoendelea hapa TAMISEMI ni Ubadhilifu mkubwa Sana.
Pia hii DP-WORLD Mama nakushauri uachane nayo maana ndiyo imekuja kuwasha moto wa Hasira kutoka kwa wananchi.
Hivyo nilushauri Mama ama tuachane nao au tuurudie mkataba ma kuufanyia mabadiliko kabla ya kuusaini.
Mara yangu mpendwa usiwalaumu watu wa mitandaoni maana nimegundua ya kwamba wao ndio wakweli kuliko hawa wanaokuletea taarifa hapa ofisini.jaribu kuyatumia maoni yao mengi maana wao wako site mtaani.Na kweli huko hali ni mbaya mama.

Pia mama nakushauri uache kumtumia Abdul maana familia inazifi kuchafuka kupitia matendo yake kubainika hadharani na jamii.

Kisha mchengerwa unaweza kumalizia kwa kumshukuru kusema...Mama Naendelea kukushukuru kwa kinikubali na kuniruhusu kuwa mmojawapo wa familia hii ya mama Abdul.

Badala ya kuanza matisho kwa watanzania!
Ambayo hakika hayatakuacha salama.
Mambo ya usalama wa nchi waachie mawaziri wa wizara husika toka mambo ya ndani pamoja na wizara ya Ulinzi.
Wewe kaa hapo TAMISEMI maana ndio chimbuko la ufisadi.View attachment 2747403
Kwani, si wale wazee wa kizimkazi walisema watawavimbisha matumbo wote wenye husuda na fitina?
 
Back
Top Bottom