Mchepuko akikuuliza maswali yafuatayo kuhusu mmeo au mkeo unatakiwa umjibuje?

Mchepuko akikuuliza maswali yafuatayo kuhusu mmeo au mkeo unatakiwa umjibuje?

Point yako ni sahihi kikawaida lakini mawazo yako ya moyoni lazma yawe tofaut, michepuko tunawapenda Sana kuzd hata wake zetu,maana kupenda tunaongozwa na moyo na sio reality, wew umeongelea reality ila sio kuuskiliza moyo unasema nin
Moyo tena. 🤣 🤣
Una tatizo
 
Moyo tena. 🤣 🤣
Una tatizo
Kwa taarifa yako michepuko ndo inapendwa Sana kuzd wake,wanaume weng wakifka kwa wake zao huongea nao kwa kuwafokeafokea tu,lakin wakiwa kwenye michepuko yao huwa wananyenyekea mno!! Fanya research harafu utuletee majibu hapa
 
Hiyo inwezekana vp?

Typical mwanaume akichepuka na mke wa mtu hana mda wa kuuliza hayo maswali

Typical mwanaume akiisaliti ndo yake Kwa kutembea na mchepuko hamrusuh huyo mchepuko kuizungumzia familia yake iwe Kwa mazuri au mabaya
Ukikua utaacha kudhani hivi
 
Kwa taarifa yako michepuko ndo inapendwa Sana kuzd wake,wanaume weng wakifka kwa wake zao huongea nao kwa kuwafokeafokea tu,lakin wakiwa kwenye michepuko yao huwa wananyenyekea mno!! Fanya research harafu utuletee majibu hapa
Mke na mume kufokeana ni jambo la kawaida na mchepuko ni mchepuko tu hana thamani zaidi pale anapohitajika katika ngono. Hakuna mwanaume mwenye akili timamu akampa thamani mchepuko kuliko mama watoto wake unless kuna tatizo kubwa kwenye ndoa.
 
Point yako ni sahihi kikawaida lakini mawazo yako ya moyoni lazma yawe tofaut, michepuko tunawapenda Sana kuzd hata wake zetu,maana kupenda tunaongozwa na moyo na sio reality, wew umeongelea reality ila sio kuuskiliza moyo unasema nin
Sasa kama unampenda si umuache mke halafu uoe mchepuko. Mkuu yan kimaandishi unaonekana bado hujui kwa nini una mchepuko au unae kwa sababu tu imekua ivyo lakini hauna mantiki ya kuwa na mchepuko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mke na mume kufokeana ni jambo la kawaida na mchepuko ni mchepuko tu hana thamani zaidi pale anapohitajika katika ngono. Hakuna mwanaume mwenye akili timamu akampa thamani mchepuko kuliko mama watoto wake unless kuna tatizo kubwa kwenye ndoa.
Mkuu unaishi kweny jamii gan?? Unashindwaje kufanya research kwenye jamii inayokuzunguka ili ujionee mwenyewe haya ninayokwambia?? Wanaume wa Shinyanga wakivuna mpunga huuza wote na kuhonga michepuko huku wake na watoto wao wakibaki hawana nguo na chakula
 
Sasa kama unampenda si umuache mke halafu uoe mchepuko. Mkuu yan kimaandishi unaonekana bado hujui kwa nini una mchepuko au unae kwa sababu tu imekua ivyo lakini hauna mantiki ya kuwa na mchepuko

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inaonekana hujafanya tafit za kutosha! Nenda Shinyanga ukajionee,then unijibu kwanin wanaume wa kule wakivuna mpunga huuza na kumaliza hela zote kwa michepuko huku mke na watoto wakiachwa hawana kitu!!
 
Basi ni wapumbavu
Sasa Kama michepuko haipendwi hao inakuwaje wanamalizia Mali zao kwa michepuko?? Mim nataka ukubaliane kuwa michepuko inapendwa Zaid ya wake!! Naomba unijibu pia acha kuzunguka zunguka
 
Sio point mkuu,kiuhalisia mchepuko ndo wathaman kuliko mke,maana wengne wanahonga had magari pia had huvunja ndoa zao kwa sababu ya mchepuko

Wewe ni mchepuko na utakuwa umeshadanganywa!!!! Sisi wanaume hutujui wewe yani mchepuko umzidi mke wangu kivipi? Ni tamaa zangu tu lakini sijawai kutana na mchepuko akanipenda kama mke wangu anavyonipenda...... na wengine huwa siwaambii kama nimeoaa utasikia ananiambia hautapata mwanamke akakupenda kama mimi ninavyokupenda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa Kama michepuko haipendwi hao inakuwaje wanamalizia Mali zao kwa michepuko?? Mim nataka ukubaliane kuwa michepuko inapendwa Zaid ya wake!! Naomba unijibu pia acha kuzunguka zunguka
Sasa kama unaishi kwenye jamii ya aina hiyo mm nakupinga kwa nn?

Huku kwetu michepuko inataka pesa na wenye michepuko wanataka ngono wakimaliza wanarudi kwa wake zao. Ni biashara hakuna mapenzi.
 
1. Hakuna ulichomzidi mke wangu, ni tamaa zangu tu

2. Mke wangu, sababu ndie ananivumilia kwenye shida na raha
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Sasa kama unaishi kwenye jamii ya aina hiyo mm nakupinga kwa nn?

Huku kwetu michepuko inataka pesa na wenye michepuko wanataka ngono wakimaliza wanarudi kwa wake zao. Ni biashara hakuna mapenzi.
Sasa Kama wake zao wanawapenda kulipo michepuko kwann wakaombe ngono kwa mchepuko na si kwa mkewe
 
Sasa Kama wake zao wanawapenda kulipo michepuko kwann wakaombe ngono kwa mchepuko na si kwa mkewe
Tamaa za ngono za sisi wanaume tunazijua wenyewe, na tunajua namna ya kupambana nazo, huwezi nielewa.
 
Back
Top Bottom