Mchepuko akikuuliza maswali yafuatayo kuhusu mmeo au mkeo unatakiwa umjibuje?

Mchepuko akikuuliza maswali yafuatayo kuhusu mmeo au mkeo unatakiwa umjibuje?

Majibu yanapaswa kuwa hivi
Screenshots_2022-11-01-16-37-54.jpg
 
Sharti la kwanza...Mchepuko anatakiwa kujua mkeo/mumeo ni thamani kuliko yeye.

Pili, mkeo/mumeo Hana madhaifu yeyote ni basi tu wewe shetani kakupitia na umekubali akupitie ndio maana upo nae.

Tatu, ya nyumbani kwako, watoto na mke/mume hayamuhusu, akipata muda wa kuwa na wewe autumie vizuri na wewe maswali apeleke mahakamani.

Nne, Atambue hataweza kukutenganisha na mke/mumeo.

Tano, asijaribu Kwa namna yeyote kufanya chokochoko Kwa mke/mumeo maana mahusiano yenu ndio yataishia hapo na utamkana mara tatu kabla jogoo hajawika.
Mzoefu kwenye moja mbili [emoji1][emoji1]
 
  • Thanks
Reactions: Luv
Hata siku moja siwezi kujadili mambo ya familia yangu na mchepuko!
 
Muulizeni Samson alikataa kusema asili ya nguvu zake lakini with time alijikuta kusema kila kitu kabla hata ya kuulizwa [emoji108][emoji205][emoji4]
 
Kwa hiyo hoja inaonesha wewe ndiye unayemhitaji mchepuko kuliko yeye.
Na hili ndioo kosa namba moja.
Unapaswa yeye akuhitaji kuliko wewe ataanzaje kugomea sex wakati kwanza yeye ndio ananyenyekea mahusiano yaendelee?
Akisema hivyo namuacha dakika hiyo hiyo.
Mchepuko nae Ana umuhim wake mkuu
 
Kama mnachepukiana wote mna akili timamu hamtakua na mda wa kuulizana mambo ya upande mwingine. Mikikutana mtafanya yenu bas mmemalizana,,mambo ya kuulizana ni ushamba
 
Sharti la kwanza...Mchepuko anatakiwa kujua mkeo/mumeo ni thamani kuliko yeye.

Pili, mkeo/mumeo Hana madhaifu yeyote ni basi tu wewe shetani kakupitia na umekubali akupitie ndio maana upo nae.

Tatu, ya nyumbani kwako, watoto na mke/mume hayamuhusu, akipata muda wa kuwa na wewe autumie vizuri na wewe maswali apeleke mahakamani.

Nne, Atambue hataweza kukutenganisha na mke/mumeo.

Tano, asijaribu Kwa namna yeyote kufanya chokochoko Kwa mke/mumeo maana mahusiano yenu ndio yataishia hapo na utamkana mara tatu kabla jogoo hajawika.
Umesema vizuri sana na huu ndio msimamo ikiwa hujamwaga hadi ubongo huko mchepukoni
 
  • Thanks
Reactions: Luv
Kama mnachepukiana wote mna akili timamu hamtakua na mda wa kuulizana mambo ya upande mwingine. Mikikutana mtafanya yenu bas mmemalizana,,mambo ya kuulizana ni ushamba
Hiv unawezaje kuchepuka na mtu usiemjua hata kwa kias kidogo?? Mchepuko mwenye akili kwa usalama wake lazma amujue mke au mme wa anaechepuka nae, na humjua kupitia kwa anaechepuka nae
 
Sharti la kwanza...Mchepuko anatakiwa kujua mkeo/mumeo ni thamani kuliko yeye.

Pili, mkeo/mumeo Hana madhaifu yeyote ni basi tu wewe shetani kakupitia na umekubali akupitie ndio maana upo nae.

Tatu, ya nyumbani kwako, watoto na mke/mume hayamuhusu, akipata muda wa kuwa na wewe autumie vizuri na wewe maswali apeleke mahakamani.

Nne, Atambue hataweza kukutenganisha na mke/mumeo.

Tano, asijaribu Kwa namna yeyote kufanya chokochoko Kwa mke/mumeo maana mahusiano yenu ndio yataishia hapo na utamkana mara tatu kabla jogoo hajawika.
Michepukooooo mpite msome hapaaa, nataman mtu fulan a some hapa tena kwa vituo haswaaaa.
 
Hiv unawezaje kuchepuka na mtu usiemjua hata kwa kias kidogo?? Mchepuko mwenye akili kwa usalama wake lazma amujue mke au mme wa anaechepuka nae, na humjua kupitia kwa anaechepuka nae
Hapo usianze kuuliza subiri mchepuko wako akwambiw mwenyewe Wala hakuna haja ya kuuliza kabisaa
 
Kila mwanadamu akiwa na HESHIMA na UTIIFU kwa MUNGU Muumba wetu hakutakuwa na michepuko wala madanga.
Jitengeni na zinaa, acheni ukaidi, heshimuni maagizo ya MUNGU.
Amri za MUNGU na mafundisho yake ni kwa faida yenu wenyewe na wala sio MUNGU anayefaidika.
MUNGU aliwapa Amri na maagizo ili ziwaepushe na "kifo cha milele". Ni huruma na upendo tu wa MUNGU kwenu ninyi ndio maana akawapa hizo Amri ili ziwaongoze kwenye Uzima wa milele.
Mwenye masikio na asikie.
 
Mchepuko nae Ana umuhim wake mkuu
Sijasemabhana umuhimu ila hapaswi kuleta maswali ya kutaka kujilinganisha na nyumba kuu. Kwanza anapaswa afahali halingani na nyumba kuu yaani kama ni hela yeye anapata chenchi chenchi za nyumba kuu.
 
Back
Top Bottom