Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,231
- 22,494
Usithubutu kumpa nafasi mchepuko kuzungumzia familia yako!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzoefu kwenye moja mbili [emoji1][emoji1]Sharti la kwanza...Mchepuko anatakiwa kujua mkeo/mumeo ni thamani kuliko yeye.
Pili, mkeo/mumeo Hana madhaifu yeyote ni basi tu wewe shetani kakupitia na umekubali akupitie ndio maana upo nae.
Tatu, ya nyumbani kwako, watoto na mke/mume hayamuhusu, akipata muda wa kuwa na wewe autumie vizuri na wewe maswali apeleke mahakamani.
Nne, Atambue hataweza kukutenganisha na mke/mumeo.
Tano, asijaribu Kwa namna yeyote kufanya chokochoko Kwa mke/mumeo maana mahusiano yenu ndio yataishia hapo na utamkana mara tatu kabla jogoo hajawika.
Tupe maujanja kiongoziNaenda ndio, mwanamke kuna mbinu ya kumshawishi ili asiwe na wivu.
Mchepuko nae Ana umuhim wake mkuuKwa hiyo hoja inaonesha wewe ndiye unayemhitaji mchepuko kuliko yeye.
Na hili ndioo kosa namba moja.
Unapaswa yeye akuhitaji kuliko wewe ataanzaje kugomea sex wakati kwanza yeye ndio ananyenyekea mahusiano yaendelee?
Akisema hivyo namuacha dakika hiyo hiyo.
Umesema vizuri sana na huu ndio msimamo ikiwa hujamwaga hadi ubongo huko mchepukoniSharti la kwanza...Mchepuko anatakiwa kujua mkeo/mumeo ni thamani kuliko yeye.
Pili, mkeo/mumeo Hana madhaifu yeyote ni basi tu wewe shetani kakupitia na umekubali akupitie ndio maana upo nae.
Tatu, ya nyumbani kwako, watoto na mke/mume hayamuhusu, akipata muda wa kuwa na wewe autumie vizuri na wewe maswali apeleke mahakamani.
Nne, Atambue hataweza kukutenganisha na mke/mumeo.
Tano, asijaribu Kwa namna yeyote kufanya chokochoko Kwa mke/mumeo maana mahusiano yenu ndio yataishia hapo na utamkana mara tatu kabla jogoo hajawika.
Hiv unawezaje kuchepuka na mtu usiemjua hata kwa kias kidogo?? Mchepuko mwenye akili kwa usalama wake lazma amujue mke au mme wa anaechepuka nae, na humjua kupitia kwa anaechepuka naeKama mnachepukiana wote mna akili timamu hamtakua na mda wa kuulizana mambo ya upande mwingine. Mikikutana mtafanya yenu bas mmemalizana,,mambo ya kuulizana ni ushamba
Michepukooooo mpite msome hapaaa, nataman mtu fulan a some hapa tena kwa vituo haswaaaa.Sharti la kwanza...Mchepuko anatakiwa kujua mkeo/mumeo ni thamani kuliko yeye.
Pili, mkeo/mumeo Hana madhaifu yeyote ni basi tu wewe shetani kakupitia na umekubali akupitie ndio maana upo nae.
Tatu, ya nyumbani kwako, watoto na mke/mume hayamuhusu, akipata muda wa kuwa na wewe autumie vizuri na wewe maswali apeleke mahakamani.
Nne, Atambue hataweza kukutenganisha na mke/mumeo.
Tano, asijaribu Kwa namna yeyote kufanya chokochoko Kwa mke/mumeo maana mahusiano yenu ndio yataishia hapo na utamkana mara tatu kabla jogoo hajawika.
Muongoooooo, wee tenaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usithubutu kumpa nafasi mchepuko kuzungumzia familia yako!
Hapo usianze kuuliza subiri mchepuko wako akwambiw mwenyewe Wala hakuna haja ya kuuliza kabisaaHiv unawezaje kuchepuka na mtu usiemjua hata kwa kias kidogo?? Mchepuko mwenye akili kwa usalama wake lazma amujue mke au mme wa anaechepuka nae, na humjua kupitia kwa anaechepuka nae
Sijasemabhana umuhimu ila hapaswi kuleta maswali ya kutaka kujilinganisha na nyumba kuu. Kwanza anapaswa afahali halingani na nyumba kuu yaani kama ni hela yeye anapata chenchi chenchi za nyumba kuu.Mchepuko nae Ana umuhim wake mkuu
Ahaaa umetokea wapi?😄Muongoooooo, wee tenaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]