Mchepuko akikuuliza maswali yafuatayo kuhusu mmeo au mkeo unatakiwa umjibuje?

Mchepuko akikuuliza maswali yafuatayo kuhusu mmeo au mkeo unatakiwa umjibuje?

Hapo usianze kuuliza subiri mchepuko wako akwambiw mwenyewe Wala hakuna haja ya kuuliza kabisaa
Asipokwambia je?? Huoni kwamba Ni risk Sana kuchepuka na mme au mke wa mtu ukiwa humfaham mme au mke wake?? Sku moja mke au mme wake akikuvizia kukupga Kama humfaham huon kuwa ni hatari Sana kwa usalama wako?? Mchepuko mwenye akili lazma amuulize anaechepuka nae kujua Kama ameoa au kaolewa na nani, pia anafananeje,haya maswali anatakiwa ayaulize kabla hata hawajakulana
 
Sijasemabhana umuhimu ila hapaswi kuleta maswali ya kutaka kujilinganisha na nyumba kuu. Kwanza anapaswa afahali halingani na nyumba kuu yaani kama ni hela yeye anapata chenchi chenchi za nyumba kuu.
Hiv unaweza ukaniambia Kat ya michepuko na wake za watu nan anapendeza Zaid kwa nguo za gharama??? Jibu Ni kuwa michepuko ndo inayoongoza kupendeza na kuvaa nguo za gharama kuliko wake za watu!! Sasa Kama michepuko huwa inapata hela za chenji imewezaje kupendeza kuliko huyo mkeo unaempa pesa nying ??? Pia jaribu kufuatilia watoto wa michepuko ndo wanaongoza kusoma shule nzuri
 
Napendaa vilee unajimwaga kuhoji ili kupataa ukweli Kuna kituu najifunzaa hapaaa asantee
Hiv unaweza ukaniambia Kat ya michepuko na wake za watu nan anapendeza Zaid kwa nguo za gharama??? Jibu Ni kuwa michepuko ndo inayoongoza kupendeza na kuvaa nguo za gharama kuliko wake za watu!! Sasa Kama michepuko huwa inapata hela za chenji imewezaje kupendeza kuliko huyo mkeo unaempa pesa nying ??? Pia jaribu kufuatilia watoto wa michepuko ndo wanaongoza kusoma shule nzuri
 
Sharti la kwanza...Mchepuko anatakiwa kujua mkeo/mumeo ni thamani kuliko yeye.

Pili, mkeo/mumeo Hana madhaifu yeyote ni basi tu wewe shetani kakupitia na umekubali akupitie ndio maana upo nae.

Tatu, ya nyumbani kwako, watoto na mke/mume hayamuhusu, akipata muda wa kuwa na wewe autumie vizuri na wewe maswali apeleke mahakamani.

Nne, Atambue hataweza kukutenganisha na mke/mumeo.

Tano, asijaribu Kwa namna yeyote kufanya chokochoko Kwa mke/mumeo maana mahusiano yenu ndio yataishia hapo na utamkana mara tatu kabla jogoo hajawika.
Mkuu umemaliza maelezo yote asiye elewa hapa aende Mahakamani[emoji23]
 
  • Thanks
Reactions: Luv
Mkuu umemaliza maelezo yote asiye elewa hapa aende Mahakamani[emoji23]
Nyiny tatizo lenu ukweli mnauficha,yaan mnabaki nao moyoni,harafu kwa nje ndo mnajimwambafai et kwa kusema mchepko Hana nafas kwa mke!! Ni uongo mno tena mno
 
Habarini za asubuhi wadau wa jukwaa hili! Bila Shaka weng wenu Ni wazma, wenye changamoto pia nawapa pole.

Nisiwapotezee muda niende kwenye mada:

Bila Shaka wazoefu wa michepuko mshawahi kukutana na maswali mengi Sana kutoka kwa mchepuko wako yanayohusu familia yako wakiwemo mke na watoto. Pia Kama mnavyojua kwa sis wanaume michepuko huwa tunaibembeleza Sana na huonesha Waz kuwa tunaipenda kuliko wake zetu.

Mchepuko akikuuliza maswali haya utamjibu nn?

• Namzid nini mkeo au mmeo mpaka umeamua kunipenda?
•Kati ya mimi na mmeo au mkeo Nani anakurisha Zaid kimapenz?
Rule #1: Mchepuko ni marufuku kujilinganisha na mke kwa namna yoyote
 
Nikuulize wewe hata huyo mmoja Mkuu ni yupi
Wanawake wengi hampendagi kuweka Mambo yenu hadharan na ndo maana kwenye huu uz wanawake waliochangia Ni mmoja tu,wengne ni kujifanya kuwa hawajawahi kuchepuka!!! Hongera Sana mkuu Kama hujawahi kuchepuka
 
Wanawake wengi hampendagi kuweka Mambo yenu hadharan na ndo maana kwenye huu uz wanawake waliochangia Ni mmoja tu,wengne ni kujifanya kuwa hawajawahi kuchepuka!!! Hongera Sana mkuu Kama hujawahi kuchepuka
Mi nikiachana napata Mwingine,sasa kwann nichepuke mkuu
 
Back
Top Bottom