Mchepuko akikuuliza maswali yafuatayo kuhusu mmeo au mkeo unatakiwa umjibuje?

Mchepuko akikuuliza maswali yafuatayo kuhusu mmeo au mkeo unatakiwa umjibuje?

1. Hakuna ulichomzidi mke wangu, ni tamaa zangu tu

2. Mke wangu, sababu ndie ananivumilia kwenye shida na raha
Kumbe humpendi mkeo kutoka moyoni ila unajilazimisha kumpenda kwa sababu anakuvumiliaga kweny shida na Raha ????
 
Kumbe humpendi mkeo kutoka moyoni ila unajilazimisha kumpenda kwa sababu anakuvumiliaga kweny shida na Raha ????
Wewe sio mwanaume nimeshaona hilo.
 
Tamaa za ngono za sisi wanaume tunazijua wenyewe, huwezi nielewa.
Kumbe umekubaliana na mim kwamba michepuko tunaipenda kutoka moyoni ila huwa tunajizuia tu ili kulinda heshma za ndoa zetu nk! Ko msemo wako wa kusema wake tunawapenda kuliko michepuko sio sahihi
 
Mbona wanawake hamji? Au nyiny hamna michepuko ?
 
Akigomea mzgo,akisema nenda kwa mkeo utasemaje mkuu??
Kwa hiyo hoja inaonesha wewe ndiye unayemhitaji mchepuko kuliko yeye.
Na hili ndioo kosa namba moja.
Unapaswa yeye akuhitaji kuliko wewe ataanzaje kugomea sex wakati kwanza yeye ndio ananyenyekea mahusiano yaendelee?
Akisema hivyo namuacha dakika hiyo hiyo.
 
Sasa Kama michepuko haipendwi hao inakuwaje wanamalizia Mali zao kwa michepuko?? Mim nataka ukubaliane kuwa michepuko inapendwa Zaid ya wake!! Naomba unijibu pia acha kuzunguka zunguka
Wengi ya wanaosema hivyo hawajui hasa maana ya mchepuko. Wanafanisha wale wa kuchukuwa kwa dhararu na mchepuko! Ukikutana na mchepuko uliokamilika utakumbuka kwenu?
 
Sasa Kama michepuko haipendwi hao inakuwaje wanamalizia Mali zao kwa michepuko?? Mim nataka ukubaliane kuwa michepuko inapendwa Zaid ya wake!! Naomba unijibu pia acha kuzunguka zunguka



Michepuko wengi hata wake wa ndoa ni washirikina na wachawi.

Ukibahatika kufanya simple survey ya waganga watakuambia jinsi wanawake wanavyopishana kwa waganga na nazi na mayai na kuku kwa kuroga wanaume wawashike akili. [emoji108]

Ni wachache sana wanaoishi kawaida!

Tena afadhali wanaume wale ambao kila mara wanajicheki miili yao lakini walio wengi wanarogwa vibaya sana!
 
Sasa Mwanaume mwingine na anarogwa ndani na nje ya ndoa.

Ndio maana wengi ni dhaifu [emoji108]

Wanalishwa uchafu mwingi sana wa kichawi ili washikwe akili.
 
Kuna mmoja juzi kati alikuwa anamshauri mwanamke mmoja jinsi ya kumshika akili Mwanaume wake na awe anafanya kila anachomwambia including kumpa hela kila atakapo.

Yani niliona huruma sana! [emoji848][emoji848]

Wanaume wanalishwa vitu vya ajabu sana,

Vingine vya kuwekewa chini kwenye papuchi ukigusa umenasa huyo mwanamke hata usiku akitaka hela utampa hata kwa kukopa.

Nakwambia ukinasa ni mazima !
 
Sharti la kwanza...Mchepuko anatakiwa kujua mkeo/mumeo ni thamani kuliko yeye.

Pili, mkeo/mumeo Hana madhaifu yeyote ni basi tu wewe shetani kakupitia na umekubali akupitie ndio maana upo nae.

Tatu, ya nyumbani kwako, watoto na mke/mume hayamuhusu, akipata muda wa kuwa na wewe autumie vizuri na wewe maswali apeleke mahakamani.

Nne, Atambue hataweza kukutenganisha na mke/mumeo.

Tano, asijaribu Kwa namna yeyote kufanya chokochoko Kwa mke/mumeo maana mahusiano yenu ndio yataishia hapo na utamkana mara tatu kabla jogoo hajawika.
If u really loved them
Usingesaliti
 
Kumbe umekubaliana na mim kwamba michepuko tunaipenda kutoka moyoni ila huwa tunajizuia tu ili kulinda heshma za ndoa zetu nk! Ko msemo wako wa kusema wake tunawapenda kuliko michepuko sio sahihi
Unalazimisha mambo na hujui tofauti ya tamaa na mapenzi.
 
Yani mwanamke wa ndoa kama umeamua kusali maanisha @ Mpendwa.

Usi-beep

Walionje hawana muda wa kupoteza [emoji108]

Ni wachache sana ambao wako honestly kati ya michepuko wengi.

Wengi ni waharibifu wakubwa. Mioyo yao imejaa uovu mwingi.

Utashangaa na mume wako hamuelewani unamjibu makavu na kununanuna kumbe mchepuko kawaroga kawatia mfaraka na uadui.
Penzi limepotea baina yenu! Kicheko na
tabasamu hakunaga tena!

Uchawi ni kitu kibaya sana ndio maana Mungu akachukia na kuandika “asiachwe mwanamke Mchawi kuishi”
Maana yake auwawe.

Mwanamke akiwa mchawi anakuwa mbaya zaidi kuliko mchawi Mwanaume.
 
Mkuu, Acha kuchepuka kishamba.

Kwa mchepuko, Mkeo/Mmeo/Watoto wako unawataja wa nini.

Usihusishe familia yako na hayo Mambo.
 
Wanawake wengine wanapoolewa wanaambiwa kabisa mapema na mama zao na ndugu zao wakike kuwa Mwanaume ili muelewane lazima umroge la sivyo walio nje (michepuko itakusaidia kumroga) na looser utakuwa wewe mke wa ndoa na mumeo na familia.
 
Wakistukiwa wanajifanya kusema Eti oooh ni Kwa wema tu !

Wema gani mpaka kurogana ?

Madhara ya huo uchawi ni mabaya kiasi gani kwa huyo Mwanaume?

Ndio wengine wanapata magonjwa ya ajabu mwilini.

Wengi kuharibiwa kazi wengine hata kifo! [emoji24]

Inasikitisha sana!
 
Back
Top Bottom