Mchepuko akikuuliza maswali yafuatayo kuhusu mmeo au mkeo unatakiwa umjibuje?

Kama hamzid mkeo au mmeo kwake umefata nin?? Au kwanin unapeana nae mapenz Kama hamfkii mme au mkeo? Hebu fafanua hapa
Unamwambia ni kwa mujibu wa matokeo ya sensa
Kama hamzid mkeo au mmeo kwake umefata nin?? Au kwanin unapeana nae mapenz Kama hamfkii mme au mkeo? Hebu fafanua hapa
Nawe una muuliza ina maana hajasikia matokeo ya sensa? Akisema bado mwambie afuatilie matokeo kwanza halafu ndo aje kuuliza hilo swali
 
Nitamdanganya yeye mchepuko Ni Bora Sana Mara Mia,ili niendelee nimuibie vizuri
Hakuna sababu ya kumuongelea mke/mume ukiwa na mchepuko, nafasi ya mke/mume hailinganishwi wala kujadiliwa popote.
 
Principle ya pale Ni wote mnaibiana tu,we mwanamke ikitokea umepigwa mimba je huon kuwa itakuwa imekula kwako?
Imekula kwake kupata mimba?Amepata faida unasema imekula kwake?Huwa huoni wasiopata mimba wanavyolalamika?
 
We mkuu umesahau nin ? Maana mkiwa mnakulana Kuna stor znakujaga tu from no where,na lazma ukiulizwa utajibu tu!! Nguvu ya mbususu ni kubwa kuliko unavyozani
Usiwe unawaza stori zinakuja tu.Kuwa makini kila wakati katika uongeaji wako.Usijiachieachie tu.Akijua una udhaifu kwenye kuongea atakuumiza.
 
Sasa huo si uzuzu kumpendelea mchepuko kuliko nyumba kuu mtu mnayefight naye.
Binafsi namchukulia mchepuko kwa heshima ya sexual partner na si zaidi.
Na akianza kuuliza hayo maswali inan aaa anataka kujiupgrade kitu ambacho si sahihi.
 
Mkuu hata mimi michepuko yangu hua naiambia kwamba naipenda, ila wote hapa tunajua kwamba siipendi wala nini. Hiyo ni lugha tuu ya mchezo

Kuhusu mawazo yangu ku apply kwa wanaume wachache inawezekana ni kweli maana hata hivyo ktk jamii watu wajanja hua ni wachache kuliko wajinga wajinga.
 
True
 
Sasa huo si uzuzu kumpendelea mchepuko kuliko nyumba kuu mtu mnayefight naye.
Binafsi namchukulia mchepuko kwa heshima ya sexual partner na si zaidi.
Na akianza kuuliza hayo maswali inan aaa anataka kujiupgrade kitu ambacho si sahihi.
Kumbuka kuwa mbususu za michepuko zna nguvu kubwa mno kuliko unavyozani, yaan Kama unakula mbususu ya mchepuko ni lazma tu uwe zezeta wakat unakula mbususu yake!!!
 



Namba 5 [emoji115] nakazia.

Sema ni wale michepuko matured na wenye akili na moyo Safi na wenye financial freedom ndio huweza kufanya hivyo lakini majority ni wajinga, wapumbavu, wahalifu, vivuruge, waovu wakubwa wavunja unyumba wa watu kitu kibaya sana chenye laana na malipo.

Mungu mwenyewe anachukia kuachana ijapokuwa hajakataza kuachana , fikiria wewe mwanamke mchepuko unayesababisha wanandoa kuachana Na kuroga kwako unazani unabaki salama? Fahamu kuwa Mungu amesisitiza kuwa anachukia kuachana akiangalia alosababisha ni nani mchepuko fulani ndugu utavuna ulichopanda [emoji108]
 
Mkuu! Nimependa sharti la Tano.
 
Kuchepuka Ni vibaya,pia ni dhambi,Hilo nalijua mkuu,ila kwa vile binadam tumeumbwa na madhaifu ndo tunajikutaga tunafanya hivyo mkuu
Sijafika level hiyo ya kuanza kuhoji eti mie na mkeo unampenda nani zaidi[emoji23],

Wakati najua kuwa anampenda mkewe zaidi ndiyo maana kamuoa/ndoa,
 
Mchepuko mwenye akili lazma amuulize kuhusu familia yako
Ukishajua kuhusu family ya mchepuko itakusaidia nini??

Mwanaume mpumbavu tu ndiye mwenye huo muda wa kukaa na mchepuko kuanza kuongelea family yake.
 
Mchepuko hakuwai kuwa Bora kuliko mkewangu,alitaka kujua kichaa changu basi aanze ujinga kuhusu mkewangu
 

1. Tamaa zangu tu zimezidi
2. Nafuata tamaa zangu tu.

Ukimjibu hivyo, hatarudia kukuuliza tena maswali ya kiwaki kama hayo.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…