Mchezaji mpira maarufu Senegal Sadio Mane afunga ndoa na mchumba wake, binti wa miaka 18


Umeshasema zamani mkuu, nina uhakika kuna mabinti wa 2000's au late 1990's wamewazidi mama zao na dada zao body counts

Achana na hiki kizazi kabisa yaani exposure ya sex imekuwa kubwa kiasi ile hofu ya zamani imebakia kidogo sanaaaa. Body count sio issue tena kama zamani mkuu
 
Ni chombo hasa, tena bado kako fresh, ila hili la kusomesha mchumba kibongo bongo yataka moyo wa chuma

Kila la kheri niwatakie
Ana bahati kwa kuwa ana kitita
Nafikiri anahudumia mpaka mashangazi na wajomba
Sasa kibongo hata wazazi au anakotoka hujui
Wasichana huko wako kimaslahi kwa sababu ya njaa
 
Kadada kazuri,japo she looks 25!atakuwa kambemenda Kwa muda mrefu Binti wa watu
 
Sahihi kabisa brother.
 

Attachments

  • FB_IMG_1704857591498.jpg
    67.7 KB · Views: 4
Kadada kazuri,japo she looks 25!atakuwa kambemenda Kwa muda mrefu Binti wa watu

Kwenye video kanaonekana katoto zaidi.

Binti wa 18 ukigusa tu mimba hiyoo. Mayai yake yanakuwa na nguvu sana
 

Attachments

  • 3a1506a7823bbb17784801c4a0f8111f.mp4
    1.9 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…