Mchezaji mpira maarufu Senegal Sadio Mane afunga ndoa na mchumba wake, binti wa miaka 18

Mchezaji mpira maarufu Senegal Sadio Mane afunga ndoa na mchumba wake, binti wa miaka 18

Halafu vitu vingine vya ajabu, ameolewa na miaka 18 mnashangaa, hata akiwa na 16 kaishabalehe ana mahitaji ya kimwili ruksa, yaani binti wa miaka 18 kuolewa sio sawa, ila kutom..bwa, kuziniwa sio suala, abebe mimba azae na arudi shuleni, yani ni ruksa tu binti kutafunwa ila sio kuolewa.
😂🤣
Bigi unamtoto wa kike?
 
Halafu vitu vingine vya ajabu, ameolewa na miaka 18 mnashangaa, hata akiwa na 16 kaishabalehe ana mahitaji ya kimwili ruksa, yaani binti wa miaka 18 kuolewa sio sawa, ila kutom..bwa, kuziniwa sio suala, abebe mimba azae na arudi shuleni, yani ni ruksa tu binti kutafunwa ila sio kuolewa.
😂🤣
Bwana wee waafrika aie wajinga san kuwafuata hawa wadhungu
 
Sadio kaamua kuchukua ndinga kwenye mkarqtasi yake, yaani ule unyunyu wa ndinga mpya kabisa.

Kiasili wanawake wa zamani waliolewa na umri kama huo, 16-20. Leo unaoa 25+ jua tu kuwa some dịçk§ have dug in there countless times, you have to bear with it.
 
Mchezaji mpira maarufu Sadio Mane juzi amefunga ndoa na mchumba wake, binti mdogo Mwenye umri wa miaka 18.

Mwamba ameamua kuoa dogo dogo kuwahi bikira kabisa kabla wahuni hawajaitoa.

Cha kushangaza wanasema ni long time girl friend wake. Nawaza tu mahusiano walianza binti akiwa na miaka mingapi?

Girl friend anaweza kuwa wa umri wowote !
Tatizo la Waafrika wanawaza ngono ngono ngono ngono ngonoooooo tuuuuu.
 
Kweli kabisa mwanamke akifika 15 tuu tunapaswa kuwowa aisee maana nakuwa tayari anaweza mbeba mtu mzima kifua i mwake
15 years mkuu

Unawajua mabinti wa 15 years ??...

Hako si kapo form 2 or 3

Kwa hiyo unadhani mtu akishajua kusex tu yupo tayari kwa ndoa

Kumtwika binti wa miaka 15 au 16 jukumu la kuwa mke na mama wa familia haswa kwa karne hii ni kumuonea. Kwanza kwa umri huo labda awe vizuri kimwili la sivyo, anakuwa kwenye ule umri rahisi wa kupata matatizo ya uzazi
 
Back
Top Bottom