Mchumba wa Jux, Jackie Cliff katoka jela China yuko bongo

Mchumba wa Jux, Jackie Cliff katoka jela China yuko bongo

Hawezi pewa adhabu na serikali kwa kutuchafua kimataifa. Labda miaka michache tena hv. Mana hawa watu ndio wanaleta ugumu wa VISA ktk haya mataifa yetu.
Mbona wanasiasa wenu wanaongoza kwa kuichafua nchi kwa kuiba pesa za wananchi na kwenda kuzificha huko huko kwa mabeberu, je wamewahi kupewa adhabu yoyote ?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Awe mpole muda ushamtupa mkono, kuna batch mpya ya slay queens town.
 
Mpk tattoo alijichora ya Jux...hujui au ulikua hujaja mjini?!![emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Sio hivyo tyuuh, kwan had mumewe alivyokua jela si hakutak hat kuambatan nae hat kwa msaada kisa n jux huyu, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanaoana wote warembo, mtoto anatoka mcharo kama cocastic [emoji8]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo nna furaha saana mommy, Jackie yupo uraian, afu cuzzoh/shostie/kidampa mwenzang Lil Nax (Montero baby) kachukua tuzo
Yaan leo niko full burudaaan, umejuaje sasa, weuweeeeeeeh.
 
Sana kuna siku nilimuona pale akiba anaenda kile kihotel cha mwarabu magari yalisimama aisee. Na sketi alivaa fupi nyeusi daaah
Nani huyo? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom