Mchumba wa Jux, Jackie Cliff katoka jela China yuko bongo

Watu wanasema eti bado yuko mwaaa, nawacheka[emoji23] uyo batch ya kina wolper[emoji23]. Wolper ukiliona sasa hiv na mipengo yake alafu kuna kina paula unachoka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
KUKAA china miaka unadhani mchezo mpaka kaanza kufanana na wachina[emoji848]
 
Kwahiyo huyo ndio mchumba wa jux mpaka SASA au alikua?
 
Kumbe wewe ni Nazi Nazi leo ndo nimejua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo nna furaha saana mommy, Jackie yupo uraian, afu cuzzoh/shostie/kidampa mwenzang Lil Nax (Montero baby) kachukua tuzo
Yaan leo niko full burudaaan, umejuaje sasa, weuweeeeeeeh.
 
Ndio maana nikamweka kundi moja na Wema maana ndo wazee wenzake..[emoji23][emoji23][emoji23]

Anaonekana veteran sababu ya jela aisee jiulize asingeenda angekuaje..
Ila Huyu manzi amepigana vita nyingi sana! Nakumbuka enzi hizo anasoma cbe, alikua anapush rav 4 nyekundu hivi wadau wakawa wanazusha kahongwa na Liyumba.
 
Awe raia mwema sasa vinginevyo saiv tunapiga shaba tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…