Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,413
- 23,592
Huyu alikaidi maagizo ya kuzuia mikusanyiko mikubwa zaidi ya watu kumi ili kujilinda na kutoambukizana. Huyu alitaka waumini wake wasiogope coronavirus akidai Mungu atawalinda na hivyo waendelee tu kama zamani. Alichosahau huyu Askofu ni kwamba Mungu anakutaka ujilinde, Mungu hajaribiwi.yah yupo sahihi na huo ndo ukweli na utabaki hivyo milele
allah akbar